Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hahahaaaa hali mbaya sana
Screenshot_20221009-213337.jpg
 
Yaani beki anamsindikiza mtu anaingia nae mpk ndani ya box.mabeki wamepwaya sana
Pazuri Klopp alitonywa mapema sana around Mei 2022 usajili unaotakiwa ili kumpiku Kipara lakini kama unavyojua mzee wetu Klopp hua hapangiwi yeye ni much know... Alishauriwa vyema sana asajili MF wawili na awaachie Kieta na Ox, asajili CB mmoja na strika mmoja...hapo ilikua pia kumbakisha Mane kikosini tena Carragher alimwambia ampe Mane anachotaka ili mradi dogo abakie Liverpool.. Lakini Klopp wala hakutaka kupangiwa aliona as usual anajua kila kitu sasa mambo yalivyoanza kua sivyo baada ya kuumia Henderson Klopp huyu huyu akajikataa na kusema maswali ya usajili sio yeye wa kujibu hivyo asiulizwe kabisaaa... Mambo yalivyokua taiti sana huyooo kwa Melo baada ya kujaribu kununua dakika za mwishoni dirisha kufungwa bila mafanikio...

Haya yanayotukuta sasa ni Klopp tu ameyataka kwa sababu alikua na nafasi nzuri sana kukomaa Gini na Mane wabakie Liverpool lakini yeye aliona wala sio muhimu sababu tunao Milner na Henderson why worry...

Ndugu zangu tutulie tu na wengine nao wale ma good times...

Ni wakati wa Arsenal sasa nao wa enjoy while they can.

YNWA
 
Looking for the negative side sana... Mbona Ile elbow aliyopigwa Jesus huileti, na ilikuwa red card kwa Tmiskas.... Kubali tu tumekufunga leo since 2016/17 2016/17 season ulipokufa 4-1, kwa kukuzidi shot on target, msimu wa 2018/19 tulikufunga ila ulituoutshine in every aspect tofauti na leo
 
Regardless ya hii ishu we were beaten ki roho safi....
Yaaani timu sasa zimetujulia zinacheza mpira wetu ku recover mipira high up the field na kupiga kaunta za fasta sana ndio maana hata leo yametukuta na Arsenal hawakua clinical enough maana mara kibao dogo Tsimikas alikutwa amepanda kushambulia na akawa anashindwa kasi ya kumbana Sako lakini haikua na madhara sasa imagine vs Manchester City itakua aje....

YNWA
 
Tulistahili kupata sare
Penalty ya Arsenal sio halali
Na penalty yetu ni halali tumenyimwa
Tunarudi Anfield kujipanga
 
Haya Arsenal ndugu zangu DullyJr na Aaron Arsenal nawapa hongera sana.
Mkimbizeni Kipara tuliemshindwa mpaka alegee. Nawapa sapoti yangu msimu huu mpo vzuri mna benchi safi nimeona hata sub mnatoa jembe mnaingiza jembe kwa kweli mambo mazuri sana kwenu.

Kwa sasa Liverpool wazee wetu hakuna namna wapo hoi sana tutakwenda hivi hivi mpaka dirisha la January kama Klopp ataacha ubishi asajili angalau tupambane kuingia Europa... Kwa hawa wachezaji ni ishara sasa wameshafika mwisho wanahitaji damu changa kuwaamsha na kuwapa changamoto...

Hii ndio madhara ya kikosi kua finyu wachezaji wametumikaaaa mpaka basi aafu they care less wanavyocheza sababu wanajua namba watapata tuuuuuuuu next gemu...

YNWA
Nipo safari na nimepata notification ya pongezi hizi tunashukuru sana kwa niaba ya Gunners fans,
Karibuni Gunners ktk dunia ya soka,
Huyu City tutampiga kama ngomaaaaaaaaa na hamtoamini macho yenu...
 
Kwahiyo Salah mpaka Jana ana magoli mawili tu dah 🤔🤔 by the way, for now at least for this season he needs to forget about golden boot because Halaand is there to take it.
 
Keita injury

Thiago injury prone

Diaz ligament huenda imevunjika

Henderson huenda akala rungu zito kutoka FA

Arthur Melo moja ya Sajiri ya kitapeli

Habari za kusikitisha kwa Arthur Melo. Kiungo huyo wa kati wa Brazil anahitaji kufanyiwa upasuaji na huenda akakaa nje kwa miezi mitatu hadi minne.🎯
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom