Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Klopp kaona arudi kwenye 433 lakini wapi
IMG-20221009-WA0016.jpg
 
Mnakera Sana mnashindwa kumfunga Yule pimbi asenyeto ,mnafungwa na kumuachabkuendelea kuchonga mdomo , stupid kabisa
 
Haya Arsenal ndugu zangu DullyJr na Aaron Arsenal nawapa hongera sana.
Mkimbizeni Kipara tuliemshindwa mpaka alegee. Nawapa sapoti yangu msimu huu mpo vzuri mna benchi safi nimeona hata sub mnatoa jembe mnaingiza jembe kwa kweli mambo mazuri sana kwenu.

Kwa sasa Liverpool wazee wetu hakuna namna wapo hoi sana tutakwenda hivi hivi mpaka dirisha la January kama Klopp ataacha ubishi asajili angalau tupambane kuingia Europa... Kwa hawa wachezaji ni ishara sasa wameshafika mwisho wanahitaji damu changa kuwaamsha na kuwapa changamoto...

Hii ndio madhara ya kikosi kua finyu wachezaji wametumikaaaa mpaka basi aafu they care less wanavyocheza sababu wanajua namba watapata tuuuuuuuu next gemu...

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom