Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Anajitoa ufahamu, hajui Arsenal imekuwa ikipitia phase tofauti kuanzia aje Arteta katika kutengeneza timu, katika kuweka style of play, had ku recruit wachezaji wanaoingia kwenye huo mfumo.

Ni kweli Liverpool na city walitufunga mech zote msimu uliopita ,ila Kama aliangalia hizo game hasa za round ya 2 angeelewa Arsenal inaelekea wapi , Mancity pale Emirates alikutana na arsenal tofaut kabisa na ya round ya 1, bila red card, arsenal kunyimwa penalty ,had 2nd half mancity muda mwingi alikuwa forced kukaa nyuma

Mech ya Liverpool pia asilimia 90 ilikuwa balance kabla 2nd half magoli ya fitminho na jota ,but performance ilikuwa tofaut na Liverpool aliyoizoea akikutana na Arsenal , na Baada ya mech ikafichuka GK aliumia akaendelea kudaka rejea goli la jota,

Na hiyo mech ndio Arnod Trent alisumbuliwa Sana na Gab Martinell

But for me Zile performance mbili dhidi ya city na Liverpool zilinipa mwanga ,Arteta anaipeleka hii timu wapi .Hata performance ya msimu huu sijawa surprised ,niliiona zaman .

Kwahiyo hata mechi ya jumapili ,Ni mech ambayo Liverpool ajiandae kukutana na Arsenal ambayo sio ile aliyoizoea ya kucheza kaunta au kuogopa ,itakuwa mech ya kupishana

For me Tukipata matokeo hi mechi nitatangaza Rasmi Sasa tunaenda kubattle epl na Huyo city , maana Hizi middle teams hazitusumbui Tena .
Mkuu unasubiri hadi tumuadhibu Liverpool? Unachelewa kutangaza nia

Mimi msimu huu nshasema
Arsenal NDOO
haaland kiatu


Pep ameamua kupiga kwenye mshono

Pep Guardiola on Manchester City’s start to the season: “We cannot forget one thing, ladies & gentlemen, there is one team that have been better than us, this is the reality. Arsenal have been better than us, so far. We are not top of the league.” #afc
 
Anajitoa ufahamu, hajui Arsenal imekuwa ikipitia phase tofauti kuanzia aje Arteta katika kutengeneza timu, katika kuweka style of play, had ku recruit wachezaji wanaoingia kwenye huo mfumo.

Ni kweli Liverpool na city walitufunga mech zote msimu uliopita ,ila Kama aliangalia hizo game hasa za round ya 2 angeelewa Arsenal inaelekea wapi , Mancity pale Emirates alikutana na arsenal tofaut kabisa na ya round ya 1, bila red card, arsenal kunyimwa penalty ,had 2nd half mancity muda mwingi alikuwa forced kukaa nyuma

Mech ya Liverpool pia asilimia 90 ilikuwa balance kabla 2nd half magoli ya fitminho na jota ,but performance ilikuwa tofaut na Liverpool aliyoizoea akikutana na Arsenal , na Baada ya mech ikafichuka GK aliumia akaendelea kudaka rejea goli la jota,

Na hiyo mech ndio Arnod Trent alisumbuliwa Sana na Gab Martinell

But for me Zile performance mbili dhidi ya city na Liverpool zilinipa mwanga ,Arteta anaipeleka hii timu wapi .Hata performance ya msimu huu sijawa surprised ,niliiona zaman .

Kwahiyo hata mechi ya jumapili ,Ni mech ambayo Liverpool ajiandae kukutana na Arsenal ambayo sio ile aliyoizoea ya kucheza kaunta au kuogopa ,itakuwa mech ya kupishana

For me Tukipata matokeo hi mechi nitatangaza Rasmi Sasa tunaenda kubattle epl na Huyo city , maana Hizi middle teams hazitusumbui Tena .
Mungu awatangulie mchukue Epl msimu huu.
 
Msimu ujao inasemekana atakuwa ghali sana sasa sijui Klopp atamfata mazima au la!
Screenshot_20221007-222213.jpg
 
Arsenal wapo vizuri ila itakua ngumu sana kupata ushindi dhidi ya Liverpool na Man City
Aisee ndugu Liverpool hii hii ya Hendo Milner VVD ama nyingine....
Tupo ugenini na Arsenal wana kikosi changa sana hivyo Klopp akijipeleka na 4 3 3 tumeumia mapema tu angalau kwa kesho akomae na 4 2 3 1 inakua compact kiasi fulani...

Timu yetu imejaa wazee no wonder tunahenyeshwa balaa kwa sasa.

YNWA
 
Kesho mnacheza na washika manati, achana na mambo ya mahela. msije mkaloanishwa na wale watoto wa chekechea
Kutesa kwa zamu.... Arsenal ni wakati wao sasa wana kikosi kizuri sana kichanga hivyo watumie vizuri hii fursa na momentum walioyonayo na watafika mbali...

Sie bado tunajitafuta upi mfumo utakaotuvusha salama kipindi hiki..

YNWA
 
Aisee ndugu Liverpool hii hii ya Hendo Milner VVD ama nyingine....
Tupo ugenini na Arsenal wana kikosi changa sana hivyo Klopp akijipeleka na 4 3 3 tumeumia mapema tu angalau kwa kesho akomae na 4 2 3 1 inakua compact kiasi fulani...

Timu yetu imejaa wazee no wonder tunahenyeshwa balaa kwa sasa.

YNWA
watapata goli ila na sisi tutapata magoli, Arsenal ni wazuri kwa hizi timu ndogo ndogo, kwa timu kubwa bado ni wadhaifu ( ukiacha Spurs ambao wamezoeana na Arsenal)
 
Kutesa kwa zamu.... Arsenal ni wakati wao sasa wana kikosi kizuri sana kichanga hivyo watumie vizuri hii fursa na momentum walioyonayo na watafika mbali...

Sie bado tunajitafuta upi mfumo utakaotuvusha salama kipindi hiki..

YNWA
You deserve kuwa fan wa LIVERPOOL

Umeongea kisoka sana
Japo mpira unamatokeo matatu. Lolote linaweza kutokea
 
Leo ndo tunaanza ligi ipo hivi, leo LAZIMA tushinde Tena ushindi mzuri tu. Najua mashabiki wa arse8 watadiss Ila ndo ukweli graph yao inaanza kushuka Leo rasmi. City atabaki namba moja huku pupils wakibaki mbili. Ndio watakavokua wanashuka taratibu Hadi mwisho wa msimu watakaua wanapigania top four...
Liverpool 3 Arsenal 1

#YnWa
 
Klopp analenga vilema tu anatujazia hii ni danganya toto huezi muacha Nunez mido tam kabisa na umri mdogo ukabebe Athor ambae kimsingi sio m baya ila ameshaonekna kama ni kimeo kwenye tim hivyo atolewe tu yey kabeba.

Tunatia aibu sana msimu huu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom