Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

But hiyo Level unayoisema bado Klopp hajafikia, kwa miaka 7 aliyokaa Liverpool Klopp alideserve more than 1 EPL and 1UCL.
His pride ndiyo imemueka pale alipo.
Pride yake lkn ubora wa Pep na City ni tatz sana.. Kama sio pep Klopp angekua hata na epl 4 ndo ivo yupo wkt mbaya na mtu anayeweza marathon za ligi kwny team bora kila idara.
 
Pride yake lkn ubora wa Pep na City ni tatz sana.. Kama sio pep Klopp angekua hata na epl 4 ndo ivo yupo wkt mbaya na mtu anayeweza marathon za ligi kwny team bora kila idara.

Amepoteza UCL 2 kwa Timu moja hiyohiyo (Real Madrid) je nao ni ubora wa City? Hapana ni uzembe wake wa kutokuwa na kikosi kipana na wachezaji muhimu.

Alishawahi kuwa katika position ya kubeba Ubingwa mara mbili dhidi ya Man City lakini akashindwa kutokana na uzembe wake wa kutokuwa na kikosi kipana na wachezaji sahihi kwenye maeneo muhimu.

Hivyo ubora wa City ni kwasababu Pep ameutengeneza kwanini nayeye asiutengeneze ubora wa Liverpool?

Huwezi kuwa na Wachezaji aina ya Milner au Elliot ikisha ukasema umekosa Ubingwa kwasababu ya Man City.
 
Pride yake lkn ubora wa Pep na City ni tatz sana.. Kama sio pep Klopp angekua hata na epl 4 ndo ivo yupo wkt mbaya na mtu anayeweza marathon za ligi kwny team bora kila idara.
Sio sahihi Pep ni bora sababu hang'ang'anini wachezaji anabadalika kutokana na mahitaji ya klabu na pia ana wamiliki wasikivu..

Klopp kashajipachika mtenda miujiza wa FSG, haya ya kukosa ubingwa mara kadhaa sio kwa bahati mbaya.

YNWA
 
Hapa ndio tumesha fanya usajili mazimaaa , hatuhitaji tena mido.
Screenshot_20220916-205814.jpg
 
Jamaa sijui hata nani amemroga aisee..Anapambana na akina Milner Dah!
Mkuu natamani hata tungekupa timu wewe uwe manager.
Klopp needs to stop playing Milner, and loses will turn into draws, and draws will turn into wins.

No matter how Milner ni good in the dressing room, kama hana anacho-offer kwenye pitch, hatakiwi kucheza.

Arrogance, stubbornness & being naive, ndiyo huwa inakuwa downfall ya managers wengi sana kwenye football, if the world & 90% of LFC fans (even proper reds), most respected football pundits (ex players & coaches), biased LFC jornos (Doyle, Pearce, Maddock, Bascombe, Hughes) etc, are telling you to stop playing Milner, you just LISTEN, because its clearly wanaona kitu WRONG.

Attachments kwenye football will take you nowhere, Sir. Alex Ferguson, ali-part ways na wachezaji ambao alianza nao tangu wakiwa makinda, na kitu kilimfanya awe na uwezo wa ku-refresh kikosi chake kila baada ya 1-2 seasons, Pep Guardiola got rid of his main men (Fernandinho & Sterling), angeweza kumuomba Ferna abaki hata msimu mmoja (1 year extension), but NO, kamruhusu aende, same for Raheem Sterling, one of City's best goal-scorers ambaye ndiyo kwanza ana miaka 27, Arteta got rid of Ozil (his fellow ex-teammate), got rid of Aubameyang, got rid of Lacazette, got rid of Leno etc, and you can clearly see what he's trying to build at Arsenal.

BUT, look at Jurgen Klopp.
 
Hapa ndio tumesha fanya usajili mazimaaa , hatuhitaji tena mido.View attachment 2359009
We will try to sign a midfielder in January.

Wont be a fancy name or expensive, but we will give a big push.

Deal ya Arthur, Ward alii-structure vizuri, option to buy kwa £37m, ambayo can be paid in 2 installments.

So kama aki-impress, and Klopp aki-fail kum-tie down Keita, then i can see us sunctioning it.

But, again it depends na jinsi gani Klopp atam-treat Arthur, he doesnt like last-minute loan deals or cheap buys (Ozan & Ben Davies).

We have ruined Ben Davies career lakini, Ozan is doing fine at Hoffenheim.
 
Klopp needs to stop playing Milner, and loses will turn into draws, and draws will turn into wins.

No matter how Milner ni good in the dressing room, kama hana anacho-offer kwenye pitch, hatakiwi kucheza.

Arrogance, stubbornness & being naive, ndiyo huwa inakuwa downfall ya managers wengi sana kwenye football, if the world & 90% of LFC fans (even proper reds), most respected football pundits (ex players & coaches), biased LFC jornos (Doyle, Pearce, Maddock, Bascombe, Hughes) etc, are telling you to stop playing Milner, you just LISTEN, because its clearly wanaona kitu WRONG.

Attachments kwenye football will take you nowhere, Sir. Alex Ferguson, ali-part ways na wachezaji ambao alianza nao tangu wakiwa makinda, na kitu kilimfanya awe na uwezo wa ku-refresh kikosi chake kila baada ya 1-2 seasons, Pep Guardiola got rid of his main men (Fernandinho & Sterling), angeweza kumuomba Ferna abaki hata msimu mmoja (1 year extension), but NO, kamruhusu aende, same for Raheem Sterling, one of City's best goal-scorers ambaye ndiyo kwanza ana miaka 27, Arteta got rid of Ozil (his fellow ex-teammate), got rid of Aubameyang, got rid of Lacazette, got rid of Leno etc, and you can clearly see what he's trying to build at Arsenal.

BUT, look at Jurgen Klopp.
Sijui hata tunafanya aje Mkuu Dah!
Naanza kumtamani Pep.,Klopp ameshindwa japo kuiga kwa mwenzie.
 
Sio sahihi Pep ni bora sababu hang'ang'anini wachezaji anabadalika kutokana na mahitaji ya klabu na pia ana wamiliki wasikivu..

Klopp kashajipachika mtenda miujiza wa FSG, haya ya kukosa ubingwa mara kadhaa sio kwa bahati mbaya.

YNWA
Last season, we lost a league by 1 point, but if you look back through the season, games ambazo tuli-draw/drop points, Thiago/Keita hawakuwepo, so kama tungekuwa na good backup ya Thiago or a good/WC box to box MF at LCM or RCM, we wouldve won the League.

Klopp & his bench team, walikaa na kupitia short-comings zote za msimu uliopita, na ikaonekana kuwa tatizo ni MF, went hard on Tchou na we got priced out, after that wakakaa tena na kuona, "ngoja tuendelee na tulichonacho", yaani tatizo la MF liliisha baada ya kumkosa Tchou, we knew Jude wasnt for sale at all and theres no way Perez ange-entertain offer yeyote ile ya Fede, and its funny because how can you rule Fede out of Madrid?

Klopp is so stubborn.

Confirmed news from South America, kuwa we will try for Joao Gomes, and then try for Enzo Fernandez in the summer, i think Benfica will auction Enzo, but it wont be chini ya £70m, Benfica got him kwa €10m from River Plate this SUMMER.

Majina kama haya kila siku tunayatuma kwenye recruitment team feed, but our manager and his bench wapo so obsessed na players ambao ni very easy kuwa priced out, kama you cant manage 60-100m signings kwanini usiwekeze kwenye undiscovered gems? ok, we want Jude now, and i can understand why we want him, but its so clear kuwa Madrid & City will try to sign him, na unless Jude awe amempa Klopp his words, i cant see him rejecting big wages from Man City/Madrid, na hata kama Jude atakuwa kampa Jurgen his words, tuna uhakika kiasi gani kuwa Dortmud hawatapaisha bei yake? esepcially enquiries kutoka.Madrid/City zikifika kwenye board yao?

I can tell you kuwa, we were among the first clubs to spot Antony tangu akiwa bado haja-make his debut kwenye Sao Paolo senior team, we waited, ili kuangalia development yake akiwa na team ya europe, juzi hapa baada ya kuona interest ya United ni firm, tukaanza ku-sumbua his camp, kuwa wasubiri & blah blah kibao, we didnt have money, pesa yote imeenda kwa Nunez, we were the ones ambao tulikuwa tunajaribu ku-hold up deal ya Utd behind the scenes, maneno na unsportmanship nyingi, wakati HUNA pesa ya ku-offer, the kid is from favela, moja kati ya maeneo maskini zaidi duniani, he had only 1 dream, to get out from there, and football was his only hope, you think atakataa offer ya united? you think atakataa chance ya kuwa millionaire over night? Brazilians/South Americans wamekuja Europe kutafuta hela kupitia mpira.

And theres no way, tungeweza ku-match kiwango walicho-offer United, kwa Ajax na kwa mchezaji pia, BUT kama tungewahi wakati yupo Brazil, ingekuwa easy, we got lucky kwa Luis Diaz because it was Spurs, tusingempata kama ingekuwa ni United, Madrid, PSG or Chelsea.

Enzo Fernandez ameanza ku-attract macho ya wengi now, Benfica are doing good kwenye CL, na yeye ndiyo stand-out player mpaka sasa, so it wont be easy kupata signature yake, na kama akiwa na good world cup, if Scaloni will give him minutes, we are DOOMED.
 
Sio sahihi Pep ni bora sababu hang'ang'anini wachezaji anabadalika kutokana na mahitaji ya klabu na pia ana wamiliki wasikivu..

Klopp kashajipachika mtenda miujiza wa FSG, haya ya kukosa ubingwa mara kadhaa sio kwa bahati mbaya.

YNWA
Mtenda miujiza yupo Anfield
Amebeba jahazi na analizamisha
 
Liverpool’s October 2022:

• Brighton [H]
• Rangers [H]
• Arsenal [A]
• Rangers [A]
• Manchester City [H]
• West Ham [H]
• Nottingham Forest [A]
• Ajax [A]
• Leeds United [H]

Thoughts
Hapo, tough game on paper ni Man City tu.

With Thiago back, and a good rest we should be fine.

Matip & Jota back too, so its looking good.

For the meantime Klopp needs to find a way/kuangalia uwezekano wa kuachana na RCM experiment kwasasa, maybe move to 4231, Thiago+Fabinho in a pivot and Carvalho/Elliot/Firmino as a 10

Against Ajax, we switched to 4231 in the 65th minute, and we managed to play our beautiful football this season.

RCM in a klopp's 433 ni very tricky, especially now we are trying to play with a typical number 9, Salah playing so wide, Trent playing as an inverted RB, ni disaster kwenye ku-defend transitions, as our RCM (Elliot), hana defensive output ya ku-cover line/gap between Salah & Trent. because the kid lacks pace/physicallity, Elliot is special but siyo RCM, ni wide forward au a 10, in Klopp 433, his RCM ahitaji kuwa work-horse/runner na big physical presence, Elliot hana vyote hivi.

Play 4231, october yote, then evaluate/see if its sustainable during the WC, then january jaribu kwa Joao Gomes, tukimpata, revert back to your 433.

Watu hawampendi Keita because of his injury, but he's our best RCM, he lacks pace but ni ana physical presence, good tackler, good hold-up play, transitional merchant, ball carrier etc. attributes alizonazo Keita, ndiyo anazo Thiago, tofauti yao ni passing ability and ball progression, ndiyo they both can play at LCM and RCM kwenye shape yeyote ile ya Klopp, problem kubwa ni kuwa they cant stay fit, though huwa tunamuhitaji Thiago zaidi because of his on-pitch switch-ups, ball retention, controller and most of all LEADERSHIP.
 
ni kweli ila naona tunajificha sana kwenye kichaka cha henderson na milner, maana kuna siku wanakuwa hawapo ila dizaini ni ile ile, tunawaonea aibu fabinho, VVD, Trent, firmino nk, pengine leo tusitoke bila kuruhu goli ama kutanguliwa kabisa kufungwa , liverpool mtu ni Allison pekee ndio mwenye consinstency
LFC imecheza games 8 mpaka sasa, 6 PL games, and 2 CL games.

Katika League, ukiachana na Bournemouth & Everton, game zote 4 (Fulham, Palace, Utd, Newcastle), tuli-concede goals, na katoka hizo games 5, tulishinda moja tu, with 3 draws and 1 loss.

Goal la pili la Fulham ni direct mistake ya Henderson, goal la Palace ni direct mistake ya Henderson, goals za United ni direct mistakes za Henderson, goal la Newcastle ni direct mistake ya Henderson.

At Goodson Park, Coady's goal was rejected by VAR, but Milner was at fault for that goal, Milner ruined the entire team-tone at Napoli, giving away a stupid penalty ndani ya dk 5, tena away at home and proceeded kutoa one of the worst performances kuwahi kutokea kwenye CL games.

You watch these games as a fan, na bado unahisi watu wanajificha kwenye kichaka cha Henderson & Milner?

Football, ni mchezo wa wachezaji 11 kwenye team moja, kila number kwenye uwanja ina-count, kila number kwenye pitch ina-count, huwezi kutegemea wachezaji wengine waendelee kucheza kwa 100% wakati kuna wenzao hawapo kwenye level inayohitajika, how can you blame VVD kwa performance ya Henderson & Milner away at OT? these are senior pros, but wana-make mistakes za kitoto on daily basis, unadhani senior players wenzao wanajisikiaje? unadhani Salah, Fabinho, VVD, Alisson etc walijisikiaje baada ya Milner kugive out a penalty ndani ya dk 5 tu away at Napoli? na ukizingatia performances za milner games zilizopita? na pia wakijua kabisa tumefanya uzembe kwenye transfer window? VVD, Fabinho na Alisson, wote walijotokeza kwenye medias kuongelea suala la good squad depth, achana na VVD & Alisson, Fabinho ambaye anacheza na Henderson & Milner, ali-demand in-direct quality depth kwenye MF, WHY? because Henderson na Milner ni mizigo right now, and they have proved it this season, unahitaji macho tu kuona hili.

And, its sad, na huwa naumia sana kuona, WC class players wanapolaumiwa kwa performances mbovu za wachezaji wengine, Alisson, VVD, Fabinho, Salah, Firmino, Trent, Robertson, Matip, even Gomez (anapata a lot of sticks now), wapo LFC muda mrefu sana na wamekuwa wakiwabeba hawa bums seasons after seasons, wamechoka now, fatigue & anxiety, tumecheza a lot of games last season, missed out on the league & CL katika space ya week, they knew we needed new blood in the team, but the club stood still, mchezaji wetu bora msimu huu mpaka sasa ni Diaz, hii ni new blood, sasa kama this summer tungeongeza 2 new bloods on top of Nunez, tungekuwa wapi? how can you blame players ambao wamejitoa for years for this team?

Unaamini kuwa Henderson deserved that award over Mane? praises za Mane zilikuwa wapi msimu ule? praises za kina VVD, Salah, Firmino, Gini, Alisson, Trent etc zilikuwa wapi msimu ule? tulikuwa tunaambiwa Henderson ni GLUE ya team, team yenye WC talents kama Alisson, VVD, Matip, Trent, Robertson, Fabinho, Gini, Mane, Salah, Firmino etc, now we are struggling, suddenly tunaonekana tunawaonea kina Henderson? si ni GLUE na ni CAPATAIN? kwanini asinge-step up? au tunasubiria FABINHO awe kwenye good form na ku-cover flaws za Henderson ili tuanze kumsifia tena? au kina VVD ku-put their body on the LINE ili ku-cover his mistakes? NO, they are tired now.

Umeangalia game ya AJAX, Thiago came in, and took the game on his shoulder, elevated everybody around him, Fabinho was playing like himself again, it was VVD best game this season so far, Trent was himself again, no SHOUTING, no POINTING FINGERS at your teammates etc, he was LEADING by PLAYING FOOTBALL.

I have been watching Henderson for more than 11 years, and my opinion on him haijawahi ku-change na HAITAKUJA ku-change, he is just a CHANCER, na he was lucky Rogders attempt ya kumuuza Fulham at that time ili-fail, na he was lucky again for being a regular senior BRITISH player at LFC when SG left us, and he was lucky, Fabinho, Gini, Mane, Salah, Firmino, VVD, Matip, Robertson, etc joined LFC.

Klopp changed Gini playing style to cover Henderson flawas, scored 2 goals that took us to CL final, was paid 70k p/w, when he wanted a pay-raise, FSG refused, Klopp gave his ok, and he got booted out of the Club like he was nothing, failed at PSG because alishindwa ku-move on from his 2nd holding MF role aliyokuwa nayo at LFC, Henderson & Milner got extensions, FOR WHAT?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom