Huyu Mzee ni kama Milner na Henderson wamem weka mtu kati yaaani bila wao kikosi hakikamiliki.Klopp anaibomoa Legacy yake mwenyewe
Huyu Mzee ni kama Milner na Henderson wamem weka mtu kati yaaani bila wao kikosi hakikamiliki.
Leo nikumuona Milner nitashangaa sana Klopp anatupeleka wapi
YNWA
ni kweli ila naona tunajificha sana kwenye kichaka cha henderson na milner, maana kuna siku wanakuwa hawapo ila dizaini ni ile ile, tunawaonea aibu fabinho, VVD, Trent, firmino nk, pengine leo tusitoke bila kuruhu goli ama kutanguliwa kabisa kufungwa , liverpool mtu ni Allison pekee ndio mwenye consinstencyHuyu Mzee ni kama Milner na Henderson wamem weka mtu kati yaaani bila wao kikosi hakikamiliki.
Leo nikumuona Milner nitashangaa sana Klopp anatupeleka wapi
YNWA
Me uwa naamin kuna kipind kocha akifika level fulan ya mafanikio asa kama Klopp inabid aache tu mwnyw au management wawe clever enough kua brave na kuanzisha project mpy na ndicho Klopp angekua muelea na watu wake wangefny ivo maana kwa level aliyofika kashinda kila ki2 ilitakiwa tu awaambie bna inatocha me hapa sina way up zaid ya down pekee.Klopp anaibomoa Legacy yake mwenyewe
Download app inaitwa CYPRUS TV ipo playstore utaangalia game yoyote kubwa kwny ligi kubwa mwaka mzima bure mb zako tu.Kuna mwenye link ya mechi ya leo
Naona matv hayaelewekiDownload app inaitwa CYPRUS TV ipo playstore utaangalia game yoyote kubwa kwny ligi kubwa mwaka mzima bure mb zako tu.
Uliyochukua lbd sioNaona matv hayaeleweki





Acha basi kuwasanifu liverAjax wapo vizuri.Hii mechi bila Milner hakieleweki.

Unataka utukanwe sioAjax wapo vizuri.Hii mechi bila Milner hakieleweki.
Unataka utukanwe sio
Mashabiki wa Liva wamekata moto, siku hizi tumemis kingereza kwenye kwenye hili jukwaa 🤣🤣🤣😂Unataka utukanwe sio