It's about time tuachane na wamiliki wa kimarekani. Tom Hicks na George Gillet walitutumbukiza kwenye shimo ambalo ilichukuchua almost a decade kutoka, tukaangukia mwikononi mwa Yankees wenzao tena in FSG ambao walituinua ila kwa sasa ni kama walisha break even na wanaiona Liverpool kama investment ya kujipatia hela baada ya brand kukua.
Money ball hailipi tena kwenye hili soko lililo tawaliwa na big time spenders in the name of Arab oil money (Man City, PSG and the likes).
Tuachane na hawa Yankees asee la sivyo we are heading back to being mediocre. Tutaishia kumlaumu kocha ila mwekezaji ndio tatizo. Hataki kuendana na soko lilivyo.
Get the Arabs in.
MosDef Captain Marvelous niambieni kama nakosea, maoni yenu kama wadau tunaolijua soka na tunaoijua team yetu ni muhimu.
Tupeni analysis ya kinachoendelea kwenye club yetu. Who's to blame? An ageing squad, poor business model, the gaffer or the players?
Problem kubwa at LFC right now, ni matokeo ya lack of spending/investment & proper squad planning.
Team tuliyo-field jana, ni the same team ambayo tuli-field against Napoli 3/4 years ago, ni Mane & Lovren tu ndiyo hawapo at LFC now, and Henderson is out injured, but when its all said and done, this just shows aina ya owners tulionao.
LFC ni their cashcow, and i dont think they will sell this property anytime soon, unless fans waanze ku-protest/demand more actions, but again we were getting abuses kwa kuwakosoa FSG back in 2018, the sigbs were there, FSG dont care about winning as long as wanapata pesa kwa club kumaliza Top 4 every season.
Its actually surreal, Club ambayo imepata PL & CL in the last 2-3 years, bado ina-field wachezaji aina ya Milner na kutegemea wataleta impact, na worse enough, tunategemea Arthur a last minute loan deal, ataleta impact pia this season.
Club, imekuwa ikijipambanua kuwa ipo runned properly, but naweza kusema ndiyo club yenye flaws kubwa sana kwa sasa, huwezi ku-claim kuwa unasubiria "right players" kwenye Transfer window, then kila siku una-field players like Milner & Henderson on the pitch, huna proper back up for Trent, playing a 19 year-old winger at RCM etc, hizi zote zinaonesha glaring failures za FSG as owners, they have been riding on Klopp miracles for too long, but the circle is slowly coming to an end now, and i think people now will realise jinsi walivyo hovyo as owners.
People can throw abuses, but your so stupid & stone head if you think owners ambao wana only two major trophies to showcase ndani ya miaka 12, ni good owners, na tena hizo 2 trophies wamepata under Klopp, a manager ambaye wana-refuse kum-back now, we needed just two CMs this summer, TWO CMs man, and nobody was asking for 60-100m, not even Klopp, but they have failed to back him, its actually mad kama kuna watu wanaendealea ku-support FSG.
Back in 2020, nakumbuka nilisema Klopp should walk before its too late, and watu walinishangaa sana, but nilikuwa najua tu this will happen, maana kadri siku zilivyokuwa zinaenda nilikuwa sioni star-player ambaye tungemuuza kwa bei ya maana ili ku-rebuld/re-shape the squad, na msimu huu hela yote (players sales) imeenda kwa Nunez, leaving us so open in the MF.
haijalishi una quality bodies za aina gani kwenye defense & attack, kama your midfield is weak, huwezi ku-compete na big guns, HUWEZI.
Again, we have outgrown FSG, and ilikuwa ni norm the moment we won the LEAGUE.
I dont feel sorry for Klopp at all, he deserves this, the proper reds deserves this, the gutless LFC jornos deserves this.