Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

LFC imecheza games 8 mpaka sasa, 6 PL games, and 2 CL games.

Katika League, ukiachana na Bournemouth & Everton, game zote 4 (Fulham, Palace, Utd, Newcastle), tuli-concede goals, na katoka hizo games 5, tulishinda moja tu, with 3 draws and 1 loss.

Goal la pili la Fulham ni direct mistake ya Henderson, goal la Palace ni direct mistake ya Henderson, goals za United ni direct mistakes za Henderson, goal la Newcastle ni direct mistake ya Henderson.

At Goodson Park, Coady's goal was rejected by VAR, but Milner was at fault for that goal, Milner ruined the entire team-tone at Napoli, giving away a stupid penalty ndani ya dk 5, tena away at home and proceeded kutoa one of the worst performances kuwahi kutokea kwenye CL games.

You watch these games as a fan, na bado unahisi watu wanajificha kwenye kichaka cha Henderson & Milner?

Football, ni mchezo wa wachezaji 11 kwenye team moja, kila number kwenye uwanja ina-count, kila number kwenye pitch ina-count, huwezi kutegemea wachezaji wengine waendelee kucheza kwa 100% wakati kuna wenzao hawapo kwenye level inayohitajika, how can you blame VVD kwa performance ya Henderson & Milner away at OT? these are senior pros, but wana-make mistakes za kitoto on daily basis, unadhani senior players wenzao wanajisikiaje? unadhani Salah, Fabinho, VVD, Alisson etc walijisikiaje baada ya Milner kugive out a penalty ndani ya dk 5 tu away at Napoli? na ukizingatia performances za milner games zilizopita? na pia wakijua kabisa tumefanya uzembe kwenye transfer window? VVD, Fabinho na Alisson, wote walijotokeza kwenye medias kuongelea suala la good squad depth, achana na VVD & Alisson, Fabinho ambaye anacheza na Henderson & Milner, ali-demand in-direct quality depth kwenye MF, WHY? because Henderson na Milner ni mizigo right now, and they have proved it this season, unahitaji macho tu kuona hili.

And, its sad, na huwa naumia sana kuona, WC class players wanapolaumiwa kwa performances mbovu za wachezaji wengine, Alisson, VVD, Fabinho, Salah, Firmino, Trent, Robertson, Matip, even Gomez (anapata a lot of sticks now), wapo LFC muda mrefu sana na wamekuwa wakiwabeba hawa bums seasons after seasons, wamechoka now, fatigue & anxiety, tumecheza a lot of games last season, missed out on the league & CL katika space ya week, they knew we needed new blood in the team, but the club stood still, mchezaji wetu bora msimu huu mpaka sasa ni Diaz, hii ni new blood, sasa kama this summer tungeongeza 2 new bloods on top of Nunez, tungekuwa wapi? how can you blame players ambao wamejitoa for years for this team?

Unaamini kuwa Henderson deserved that award over Mane? praises za Mane zilikuwa wapi msimu ule? praises za kina VVD, Salah, Firmino, Gini, Alisson, Trent etc zilikuwa wapi msimu ule? tulikuwa tunaambiwa Henderson ni GLUE ya team, team yenye WC talents kama Alisson, VVD, Matip, Trent, Robertson, Fabinho, Gini, Mane, Salah, Firmino etc, now we are struggling, suddenly tunaonekana tunawaonea kina Henderson? si ni GLUE na ni CAPATAIN? kwanini asinge-step up? au tunasubiria FABINHO awe kwenye good form na ku-cover flaws za Henderson ili tuanze kumsifia tena? au kina VVD ku-put their body on the LINE ili ku-cover his mistakes? NO, they are tired now.

Umeangalia game ya AJAX, Thiago came in, and took the game on his shoulder, elevated everybody around him, Fabinho was playing like himself again, it was VVD best game this season so far, Trent was himself again, no SHOUTING, no POINTING FINGERS at your teammates etc, he was LEADING by PLAYING FOOTBALL.

I have been watching Henderson for more than 11 years, and my opinion on him haijawahi ku-change na HAITAKUJA ku-change, he is just a CHANCER, na he was lucky Rogders attempt ya kumuuza Fulham at that time ili-fail, na he was lucky again for being a regular senior BRITISH player at LFC when SG left us, and he was lucky, Fabinho, Gini, Mane, Salah, Firmino, VVD, Matip, Robertson, etc joined LFC.

Klopp changed Gini playing style to cover Henderson flawas, scored 2 goals that took us to CL final, was paid 70k p/w, when he wanted a pay-raise, FSG refused, Klopp gave his ok, and he got booted out of the Club like he was nothing, failed at PSG because alishindwa ku-move on from his 2nd holding MF role aliyokuwa nayo at LFC, Henderson & Milner got extensions, FOR WHAT?
Ni kweli, lakini kuna makosa mengi ya kimfumo ambayo siyo kosa la mchezaji mmoja mmoja direct, magoli mawili ya Napoli ni hiyo style ya high line, hata goli lililotucost Champions league last seazon sio la milner wala heñderson direct bali ni huo mfumo wa highline na kujisahau kwa TAA, ametucost tena mechi ya Fulham goli la mitrovic, hata mechi ya Ajax almanusura tusawazishiwe kwa kichwa kutokana na mfumo huo huo wa highline na kukosa umakini kwa TAA, tukija kwa VVD amekua bingwa wa kukabia macho sana, Gomez ndio kabisaa hajielewi uwanjani ila tunaona makosa ya JM na JH tuu,
Screenshot_20220908-203320_YouTube.jpg
 
Nathubutu kusema Pep Guardiola ndiye Kocha mwenye akili kuliko Kocha yoyote kwasasa.

Yani kamchukua Halaand kwa Paundi kwa £53M tu wakati Timu nyengine zimehangaika na Magarasa ya £70 na 80M.

Sasa subiri tuone Erling akifunga goli 70 msimu huu
Grealish wa 100m
ni kweli tulikurupuka kwa Nunez sema tuu kwa vile Pep anauwezo wa kumpiga bench mtu wa 80m
 
Last season, we lost a league by 1 point, but if you look back through the season, games ambazo tuli-draw/drop points, Thiago/Keita hawakuwepo, so kama tungekuwa na good backup ya Thiago or a good/WC box to box MF at LCM or RCM, we wouldve won the League.

Klopp & his bench team, walikaa na kupitia short-comings zote za msimu uliopita, na ikaonekana kuwa tatizo ni MF, went hard on Tchou na we got priced out, after that wakakaa tena na kuona, "ngoja tuendelee na tulichonacho", yaani tatizo la MF liliisha baada ya kumkosa Tchou, we knew Jude wasnt for sale at all and theres no way Perez ange-entertain offer yeyote ile ya Fede, and its funny because how can you rule Fede out of Madrid?

Klopp is so stubborn.

Confirmed news from South America, kuwa we will try for Joao Gomes, and then try for Enzo Fernandez in the summer, i think Benfica will auction Enzo, but it wont be chini ya £70m, Benfica got him kwa €10m from River Plate this SUMMER.

Majina kama haya kila siku tunayatuma kwenye recruitment team feed, but our manager and his bench wapo so obsessed na players ambao ni very easy kuwa priced out, kama you cant manage 60-100m signings kwanini usiwekeze kwenye undiscovered gems? ok, we want Jude now, and i can understand why we want him, but its so clear kuwa Madrid & City will try to sign him, na unless Jude awe amempa Klopp his words, i cant see him rejecting big wages from Man City/Madrid, na hata kama Jude atakuwa kampa Jurgen his words, tuna uhakika kiasi gani kuwa Dortmud hawatapaisha bei yake? esepcially enquiries kutoka.Madrid/City zikifika kwenye board yao?

I can tell you kuwa, we were among the first clubs to spot Antony tangu akiwa bado haja-make his debut kwenye Sao Paolo senior team, we waited, ili kuangalia development yake akiwa na team ya europe, juzi hapa baada ya kuona interest ya United ni firm, tukaanza ku-sumbua his camp, kuwa wasubiri & blah blah kibao, we didnt have money, pesa yote imeenda kwa Nunez, we were the ones ambao tulikuwa tunajaribu ku-hold up deal ya Utd behind the scenes, maneno na unsportmanship nyingi, wakati HUNA pesa ya ku-offer, the kid is from favela, moja kati ya maeneo maskini zaidi duniani, he had only 1 dream, to get out from there, and football was his only hope, you think atakataa offer ya united? you think atakataa chance ya kuwa millionaire over night? Brazilians/South Americans wamekuja Europe kutafuta hela kupitia mpira.

And theres no way, tungeweza ku-match kiwango walicho-offer United, kwa Ajax na kwa mchezaji pia, BUT kama tungewahi wakati yupo Brazil, ingekuwa easy, we got lucky kwa Luis Diaz because it was Spurs, tusingempata kama ingekuwa ni United, Madrid, PSG or Chelsea.

Enzo Fernandez ameanza ku-attract macho ya wengi now, Benfica are doing good kwenye CL, na yeye ndiyo stand-out player mpaka sasa, so it wont be easy kupata signature yake, na kama akiwa na good world cup, if Scaloni will give him minutes, we are DOOMED.
Enzo alitajwa tajwa sana kwenye gossip kabla hajatua Benfica, na wapo wengi wa staili hio tena wenye bei chee.

Klopp ni super stubborn sidhani kama huyu mzee atakuja badilika hata siku moja anachokiamini yeye basi anaona sawa tu hata kama wengine wataona kuna kasoro hua inamchukua muda sana kubadilika. Kumbuka ishu ya idara ya back line na golkipa. Baada ya kupoteza fainali ya Europa vs Sevila ma pundits wengi walimwambia Klopp kwa lazima asajili kipa na beki wa uhakika lakini mzee baba akawadiss kwamba kama ukocha ni rahisi waache uchambuzi wakafundishe mpira, haya tukafika tena fainali ya Uefa vs Real Madrid mambo yale yale yakajirudia tena na Klopp kwa aibu kubwa sana akaona asiwe taabu lemmie swalloa my pride akamtema kipa wake bora na kumleta Allison n the rest is history.
Kimsingi Klopp hapedi kabisa kuambiwa flaw za timu yake na wachambuzi hodari, hata home boy Jimmy Carragher tangu dirisha linafunguliwa alishauri kwanza Mane apewe mpunga abakie Liverpool na pia klabu iingie sokoni kununua MF mmoja wa uhakika sababu zipo wazi kwamba MF ndio inasababisha matatizo ya klabu. Klopp hili alisikia na kuingia mazima kwa Tchouameni kabla ya Mbappe kuchagua kubaki PSG na Real kumkosa wakatua mazima kwa Tchouameni tena bei ikiwa imepanda maradufu. Sasa unajiuliza kama Klopp aliona MF inahitaji new idea, new addition nini kilimfanya aishie tu na kuanza kusema ooh wachezaji tunaowataka aidha bei juu, au hawauzwi dirisha hili nk huyu mzee anachezea akili zetu hakua na ela ya kununua wachezaji watatu wa kweli kwamba ananunua msaidizi wa Trent, anunue Nunez na MF mmoja na ndio maana akatua mazima kwa mkopo wa Arthur bila kusita huku akijua fika huyu dogo tangu atue Juventus hajawai kua na namba kikosini ya kudumu. Kimsingi huyu ni panic buy kama Kabak probably ku bend maneno ya mashabiki baada ya kila interview wakati dirisha ipo wazi Klopp suala la MF alikua anakereka sana kulijibu.
FSG wao kutoa ela kushindana na Manchester City tena ela dogo tu kwa mfano Bissouma alikua anauzwa £25m na Klopp ni admiral wa huyu dogo lakini hata hicho amechemka utaona namna FSG wanavyo operate. Wameuza vyema ukichuchukua manunuzi ya wachezaji na mauzo ya wachezaji unapata net spend ya dirisha hili ni around £50m tu yaaani tuna wamiliki wa hovyo sana kwamba wao ku balance mauzo na manunuzi ni bora kuliko kuongeza steel n creativity pale kati.

Haya mambo ya kutega wachezaji waanze development kwingine aafu ndio Liverpool wakanunua kwa kuogopa ndio sielewi kabisa hio strategy maana kama huyo Enzo was well scouted na why not pay 10m kwa kipaji chake kwa kweli japo hua tunatoa sifa kubwa sana kwa Edwards kuwe za kujenga kikosi kwa kua na mabosi wa hovyo kama FSG lakini na yeye amechangia haya ya sasa japo naamini Klopp ana final say kwenye kununua na kuongeza mikataba ya wachezaji.

Ajax ni selling team n fasta wana network pana sana kuleta replacement, buy develop sell.
Kuzuia eti Antony asitue Manchester United bila kutoa mpunga wa maana ilikua kituko cha mwaka. Au eti Real Madrid kuuza Fede duh unrealistic business. Hizo bhana hua naona ni danganya toto kabisa pengine hata kuwafambaza akina Salah, VVD nk klabuni kwamba hey guys we are trying to sign top class talent blabla zikaedelea mpaka pale Henderson alivyoumia ndio mbio kwa Melo ambayo ni panic buy.

Klopp aliwai shauriwa na akama angefuata ushauri ule pengine haya mambo yasingekuwepo. Kuliko kuhangaika sokoni na ela kiduchu kwanini asimbadilishe Trent from RB to RMF na haya mambo yangekua yameisha sababu tukishambulia hua dogo Trent anacheza kama RMF hivyo ilikua sasa iwe rasmi na pengine Gomez angecheza RB. Lakini Klopp being Klopp asingetaka wengine wapate credit kwamba walitoa ushauri ambao yeye hakuliona hili. Yaaani tuna kocha old school.

YNWA
 
Tarehe 1 Oct Liverpool mnacheza na Brighton chini ya Interim Coach, Adam Lalana, mchezaji aliyeondolewa Liverpool kama takataka. Je ataonyesha anaweza.. Je hii mechi inaweza kutupa nguvu ya kuweka kambi huku
 
Leo Liverpool mnacheza na Brighton chini ya Interim Coach, Adam Lalana, mchezaji aliyeondolewa Liverpool kama takataka. Je ataonyesha anaweza.. Je hii mechi inaweza kutupa nguvu ya kuweka kambi huku


Leo?
 
Ni kweli, lakini kuna makosa mengi ya kimfumo ambayo siyo kosa la mchezaji mmoja mmoja direct, magoli mawili ya Napoli ni hiyo style ya high line, hata goli lililotucost Champions league last seazon sio la milner wala heñderson direct bali ni huo mfumo wa highline na kujisahau kwa TAA, ametucost tena mechi ya Fulham goli la mitrovic, hata mechi ya Ajax almanusura tusawazishiwe kwa kichwa kutokana na mfumo huo huo wa highline na kukosa umakini kwa TAA, tukija kwa VVD amekua bingwa wa kukabia macho sana, Gomez ndio kabisaa hajielewi uwanjani ila tunaona makosa ya JM na JH tuu, View attachment 2360086
Man, its should be a common theme, kuwa Klopp kaanza kutumia high-line kuanzia 2018, its been 4 years now, 4 YEARS.

Klopp ni attacking minded coach, hawezi ku-coach deep/low block, hawezi ku-coach defensive patterns zinazohusiana na ku-sit back/ku-park train and play on counters, hence akaamua kutumia High-Line kama his defensive shield/pattern, our high-line ndiyo our main WAY of defending, imekuwa hivyo for years, and Klopp introduced this set-up baada ya ku-assemble/recruit his spine (Alisson-VVD-Fabinho), hii spine ilikuwa imezungukwa na other 2 pacey RCBs (Gomez before his big injury, Matip), 2 pacey FBs (Trent & Robertson), a runner and workhorse merchant with good & top physical presence (Henderson), a press resistant & good holder of the ball (Gini), a pressing machine (Firmino) and 2 pacey wingers (Mane & Salah)..

You cant coach a deep block, especially in a 433, and expect your FBs to move the ball up top and create chances at will, its impossible, Klopp needed to use Trent passing ability & Vision kwenye kutengeneza attacking channels, evade opponents defensive phases/traps kwa ku-switch pitch patterns (right to left)..

Kwenye youth set-ups zote at LFC, Trent was used as a MF, but asingekuwa one of the best RBs in the world kama Klopp asinge-utilise his abilities on the ball kama main creator from wide areas, kwa kumchezea as a basic RBs in a 433, na ku-defend from the back-foot.

High-Line, unayoi-question wewe, ndiyo imempa mileage kubwa sana JORDAN HENDERSON, ni mnufaika mkubwa sana wa hii set-up, because what could go wrong? good runner, wonderful physical strength/presence, good presser, and most of all shit on the ball/struggle akiwa pressured, but high-line inaficha hizi traits, because ukiachana na Gini kuokota mipira yote kwenye 2nd phase, Fabinho anakuwepo katika ku-stop transitions/counters, so kazi ya Henderson inakuwa ni ku-press high on the pitch, chase/being a nuisance kwa opponents na kutengeneza passing/attacking channels, as tayari anakuwa na eneo kubwa la ku-operate/ku-receive mpira bila pressure, as defensive duties zote zinakuwa kwa Gini & Fabinho, na ndiyo maana Henderson had good spells from 2018-2020, because he was relieved kwenye duties za ku-defend, its just a common theme, High-line ya Klopp ili-cover a lot of cracks.

But, years later, VVD got ACL injury, it took away a bit part of his pace, GOMEZ had a big injury, it took away his whole pace, GINI left, MANE left, FIRMINO cant press anymore, FABINHO cant protect the high-line on his own, Thiago/Keita plays 15 games per season etc, BUT again we still have Konate (Pacey, pacey, pacey RCB), we still have Diaz (good presser, good attacker, good scorer), we still have Tsimikas (Pacey, tackler, presser, creator, passer), we still have Jota (Presser & goal machine), Carvalho (very good passer, dribbler, goal scorer, presser ), and we have added a typical number 9.

Kwenye my previous posts, nimeelezea sana uzembe wa Klopp ku-fail ku-address glaring holes kwenye MF, kwasababu he knows what is required kwa wachezaji wake kucheza kwenye high-line.

Na kinacholalamikiwa hapa, baada ya kutoa MAELEZO yote hapa, ni kuwa Henderson na Milner ndiyo wanaharibu defensive patterns zote za kwenye High-line, you see? Thiago was out for last 5-6 games, kutokuwep kwa Thiago, ni kama kutokuwepo kwa Gini, sasa how can you blame Fabinho? unataka a-defend za whole high-line peke yake? kama Thiago (Gini), hawapo, Henderson anatakiwa ku-step up, na nimesema huko juu, kwanini high-line ilikuwa inafanya kazi, na sahiv unaona big flaws za High-line defending kwasababu traits zote nilizoongelea hapo juu, HANA now, na on top of that kutokuwepo kwa Gini (Thiago/Keita), kunamlazimisha a-show up sana on the ball, na ndiyo mistake zote huwa zinaanzia hapo, because he is not good on the ball and cant receive under pressure, sasa huwezi kuwa shabiki wa mpira na ukawa unawalaumu kina VVD, Trent, Fabinho etc, kwasababu a 200k p/w player and a CAPTAIN of Liverpool, cant receive the ball under-pressure.

Now, unachezesha a 37 year old, kwenye high-line, what do you expect?, Klopp should be blamed kwa kuwachezesha, but Milner & Henderson cant escape the heat pia, especially Henderson, ambaye ali-force Club impe mkataba mpya kwa kutumia medias, na fact ya kuwa he's still 31, you can excuse Milner kwasababu ni 37?, but what about Henderson?

what you wanted VVD kufanya for that Sancho goal? ajitupe kama mwehu ili kuonekana ni aggresive? you think a £80m worth player asingefunga kwenye ile position? Milner alijitupa mbele ya Sancho, for WHAT?, a £80m player kapewa mpira ndani ya box, tena baada ya MF ku-switch off, seconds later he had space ya ku-close down mpira on his preferred foot, huwa nasema kila siku mpira ni kitu cha "seconds), action ya Sancho ku-receive mpira, kutengeneza shooting angle, na kufunga, ni "SECONDS", ukisha-fail kwenye ku-anticipate the ball, unachoombea ni a-miss, kujirusha siju, ku-slide ni kazi bure, VVD wasnt ball watching, he knew what was going to happen already, His DM alikuwa ka-switch off, RB ka-switch off, Milner ka-switch off, the ball was on Sancho feet, and that angle is his breed & butter, angalia magoli mengi ya Sancho.

Goal la Vini Jr, kwenye CL final, mistake ilikuwa ilikuwa ni ya ROBERTSON, angalia tena lile goal, UTAELEWA, and that Vini Jr goal was OFFSIDE.

Then, hakuna system ambayo haina flaws, because hauchezi peke yako uwanjani, opponents will figure you out sometimes, you will concede goals, sometimes offsides traps zinakuwa beaten, but kwa offensive coach like Klopp, thats a very good way of defending, Trent is our MAIN creator, thats why you need high on the pitch kila muda, tupo vulnarable now especially upande wa Trent because RCM is not doing his job, hakuna defensive cover between Salah & Trent, ndiyo maana ku-switch off inakuwa rahisi.

Nimeshawahi kukosoa sana, High-Line wakati Klopp anaanza nayo, but nikaanza kumuelewa Klopp baada ya kufungwa 3-0 at Camp Nou while playing a simple defensive block, Klopp cant coach a deep block, Pep/Conte/Tuchel etc can do it, but Klopp cant, ndiyo maana hata his CBs wana-good offensive traits, ukiachana na Trent & Thiago, our 3rd main creator from the back is MATIP, good on ball, good passer, good ball carrier, good progressor, etc, na asipokuwepo tunam-miss.

Gomez, was on-time, a reliable VVD partner, a very RELIABLE, but tunasahau kuwa, alipata injury kubwa, tunasahau kuwa msimu uliopita ame-feature mara chache sana, na tunasahau kuwa game zote za awali he was just fine, mpaka ile game ya Napoli, and the funny thing, tunasahau kuwa at Napoli kwenye his right side kulikuwa na SALAH-ELLIOT-TRENT, hii ni disaster kwenye defending, na tumezungumzia hapa, why Trent ana-struggle, sasa kama Trent ana-struggle itakuwaje kwa Gomez? against pacey & hungry Napoli players? our MF was completely nullified siku ile, and its funny because MF yenyewe ilikuwa ni Fabinho, a 37 years old, and a kid ambaye siyo RCM na hajawahi kucheza RCM kabla ya kuja LFC, tena hii ilikuwa ni UCL, against Napoli, our bogey team kwenye hii league, how do you expect Gomez, VVD, Fabinho kuwa at their best? Elliot is a kid and not RCM so you can excuse him, and ooh you can excuse Milner too because he's 37, so here you want Fabinho to go against 3 Napoli MFs on his own? Milner lost the MF battle to Anguissa from Minute 1, Elliot lost the MF battle to Zielinsky from Minute 1, what do you want Fabinho to do? cover all 3 opps? MF ikifa inatokea nini? Trent ali-switch off completely ile game, it was Gomez on his own kwenye ile right side, of-course he was bound to struggle, bacause Napoli were targeting that side, Salah wasnt tracking back, RCM got thrown out of the game, Trent got thrown out of the game, Gomez had no shield, he was bound to struggle, we werent playing against a PL midtable team, we were playing against NAPOLI, for Gods sake. Konate & Matip wote pia wange-struggle, because the whole MF was non-exsistent, completely shut down, mpaka alivyoingia Thiago, but it was too late.
 
Man, its should be a common theme, kuwa Klopp kaanza kutumia high-line kuanzia 2018, its been 4 years now, 4 YEARS.

Klopp ni attacking minded coach, hawezi ku-coach deep/low block, hawezi ku-coach defensive patterns zinazohusiana na ku-sit back/ku-park train and play on counters, hence akaamua kutumia High-Line kama his defensive shield/pattern, our high-line ndiyo our main WAY of defending, imekuwa hivyo for years, and Klopp introduced this set-up baada ya ku-assemble/recruit his spine (Alisson-VVD-Fabinho), hii spine ilikuwa imezungukwa na other 2 pacey RCBs (Gomez before his big injury, Matip), 2 pacey FBs (Trent & Robertson), a runner and workhorse merchant with good & top physical presence (Henderson), a press resistant & good holder of the ball (Gini), a pressing machine (Firmino) and 2 pacey wingers (Mane & Salah)..

You cant coach a deep block, especially in a 433, and expect your FBs to move the ball up top and create chances at will, its impossible, Klopp needed to use Trent passing ability & Vision kwenye kutengeneza attacking channels, evade opponents defensive phases/traps kwa ku-switch pitch patterns (right to left)..

Kwenye youth set-ups zote at LFC, Trent was used as a MF, but asingekuwa one of the best RBs in the world kama Klopp asinge-utilise his abilities on the ball kama main creator from wide areas, kwa kumchezea as a basic RBs in a 433, na ku-defend from the back-foot.

High-Line, unayoi-question wewe, ndiyo imempa mileage kubwa sana JORDAN HENDERSON, ni mnufaika mkubwa sana wa hii set-up, because what could go wrong? good runner, wonderful physical strength/presence, good presser, and most of all shit on the ball/struggle akiwa pressured, but high-line inaficha hizi traits, because ukiachana na Gini kuokota mipira yote kwenye 2nd phase, Fabinho anakuwepo katika ku-stop transitions/counters, so kazi ya Henderson inakuwa ni ku-press high on the pitch, chase/being a nuisance kwa opponents na kutengeneza passing/attacking channels, as tayari anakuwa na eneo kubwa la ku-operate/ku-receive mpira bila pressure, as defensive duties zote zinakuwa kwa Gini & Fabinho, na ndiyo maana Henderson had good spells from 2018-2020, because he was relieved kwenye duties za ku-defend, its just a common theme, High-line ya Klopp ili-cover a lot of cracks.

But, years later, VVD got ACL injury, it took away a bit part of his pace, GOMEZ had a big injury, it took away his whole pace, GINI left, MANE left, FIRMINO cant press anymore, FABINHO cant protect the high-line on his own, Thiago/Keita plays 15 games per season etc, BUT again we still have Konate (Pacey, pacey, pacey RCB), we still have Diaz (good presser, good attacker, good scorer), we still have Tsimikas (Pacey, tackler, presser, creator, passer), we still have Jota (Presser & goal machine), Carvalho (very good passer, dribbler, goal scorer, presser ), and we have added a typical number 9.

Kwenye my previous posts, nimeelezea sana uzembe wa Klopp ku-fail ku-address glaring holes kwenye MF, kwasababu he knows what is required kwa wachezaji wake kucheza kwenye high-line.

Na kinacholalamikiwa hapa, baada ya kutoa MAELEZO yote hapa, ni kuwa Henderson na Milner ndiyo wanaharibu defensive patterns zote za kwenye High-line, you see? Thiago was out for last 5-6 games, kutokuwep kwa Thiago, ni kama kutokuwepo kwa Gini, sasa how can you blame Fabinho? unataka a-defend za whole high-line peke yake? kama Thiago (Gini), hawapo, Henderson anatakiwa ku-step up, na nimesema huko juu, kwanini high-line ilikuwa inafanya kazi, na sahiv unaona big flaws za High-line defending kwasababu traits zote nilizoongelea hapo juu, HANA now, na on top of that kutokuwepo kwa Gini (Thiago/Keita), kunamlazimisha a-show up sana on the ball, na ndiyo mistake zote huwa zinaanzia hapo, because he is not good on the ball and cant receive under pressure, sasa huwezi kuwa shabiki wa mpira na ukawa unawalaumu kina VVD, Trent, Fabinho etc, kwasababu a 200k p/w player and a CAPTAIN of Liverpool, cant receive the ball under-pressure.

Now, unachezesha a 37 year old, kwenye high-line, what do you expect?, Klopp should be blamed kwa kuwachezesha, but Milner & Henderson cant escape the heat pia, especially Henderson, ambaye ali-force Club impe mkataba mpya kwa kutumia medias, na fact ya kuwa he's still 31, you can excuse Milner kwasababu ni 37?, but what about Henderson?

what you wanted VVD kufanya for that Sancho goal? ajitupe kama mwehu ili kuonekana ni aggresive? you think a £80m worth player asingefunga kwenye ile position? Milner alijitupa mbele ya Sancho, for WHAT?, a £80m player kapewa mpira ndani ya box, tena baada ya MF ku-switch off, seconds later he had space ya ku-close down mpira on his preferred foot, huwa nasema kila siku mpira ni kitu cha "seconds), action ya Sancho ku-receive mpira, kutengeneza shooting angle, na kufunga, ni "SECONDS", ukisha-fail kwenye ku-anticipate the ball, unachoombea ni a-miss, kujirusha siju, ku-slide ni kazi bure, VVD wasnt ball watching, he knew what was going to happen already, His DM alikuwa ka-switch off, RB ka-switch off, Milner ka-switch off, the ball was on Sancho feet, and that angle is his breed & butter, angalia magoli mengi ya Sancho.

Goal la Vini Jr, kwenye CL final, mistake ilikuwa ilikuwa ni ya ROBERTSON, angalia tena lile goal, UTAELEWA, and that Vini Jr goal was OFFSIDE.

Then, hakuna system ambayo haina flaws, because hauchezi peke yako uwanjani, opponents will figure you out sometimes, you will concede goals, sometimes offsides traps zinakuwa beaten, but kwa offensive coach like Klopp, thats a very good way of defending, Trent is our MAIN creator, thats why you need high on the pitch kila muda, tupo vulnarable now especially upande wa Trent because RCM is not doing his job, hakuna defensive cover between Salah & Trent, ndiyo maana ku-switch off inakuwa rahisi.

Nimeshawahi kukosoa sana, High-Line wakati Klopp anaanza nayo, but nikaanza kumuelewa Klopp baada ya kufungwa 3-0 at Camp Nou while playing a simple defensive block, Klopp cant coach a deep block, Pep/Conte/Tuchel etc can do it, but Klopp cant, ndiyo maana hata his CBs wana-good offensive traits, ukiachana na Trent & Thiago, our 3rd main creator from the back is MATIP, good on ball, good passer, good ball carrier, good progressor, etc, na asipokuwepo tunam-miss.

Gomez, was on-time, a reliable VVD partner, a very RELIABLE, but tunasahau kuwa, alipata injury kubwa, tunasahau kuwa msimu uliopita ame-feature mara chache sana, na tunasahau kuwa game zote za awali he was just fine, mpaka ile game ya Napoli, and the funny thing, tunasahau kuwa at Napoli kwenye his right side kulikuwa na SALAH-ELLIOT-TRENT, hii ni disaster kwenye defending, na tumezungumzia hapa, why Trent ana-struggle, sasa kama Trent ana-struggle itakuwaje kwa Gomez? against pacey & hungry Napoli players? our MF was completely nullified siku ile, and its funny because MF yenyewe ilikuwa ni Fabinho, a 37 years old, and a kid ambaye siyo RCM na hajawahi kucheza RCM kabla ya kuja LFC, tena hii ilikuwa ni UCL, against Napoli, our bogey team kwenye hii league, how do you expect Gomez, VVD, Fabinho kuwa at their best? Elliot is a kid and not RCM so you can excuse him, and ooh you can excuse Milner too because he's 37, so here you what Fabinho to go against 3 Napoli MFs on his own? Milner lost the MF battle to Anguissa from Minute 1, Elliot lost the MF battle to Zielinsky from Minute 1, you want you want Fabinho to do? cover all 3 opps? MF ikifa inatokea nini? Trent ali-switch of completely ile game, it was Gomez on his own kwenye ile right side, of-course he was bound to struggle, bacause Napoli were targeting that side, Salah wasnt tracking back, RCM got thrown out of the game, Trent got thrown out of the game, Gomez had no shield, he was bound to struggle, we werent playing against Napoli, we were playing against NAPOLI, for Gods sake. Konate & Matip wote pia wange-struggle, because the whole MF was non-exsistent, completely shut down, mpaka alivyoingia Thiago, but it was too late.
Very good alaysis, tuendee kuiangalia timu yetu kwa jicho la kimfumo in absence of JM & JH , kisha tuone klop atakuja na systerm gani.
 
Very good alaysis, tuendee kuiangalia timu yetu kwa jicho la kimfumo in absence of JM & JH , kisha tuone klop atakuja na systerm gani.
Game ya Ajax, ilikuwa ni clear how tunaweza ku-cheza without Milner & Henderson.

Thiago & Fabinho together, wana-offer compactness, possession, retention, control, etc, ukiwa na MFs ambao wanaweza kumiliki na ku-set tempo ya kiungo/team nzima, inakuwa rahisi kwa wachezaji wengine around them kujipambanunua, inakuwa rahisi kwa the likes of Matip+VVD ku-build from the back with ease, especially Matip.

MF ikiwa calm, inasaidia our defensive-offensive transitions kuwa smooth & impactful.

Henceforth, having a fit Thiago is Key, having a fit Keita is Key, trying to adjust Arthur is also Key, BUT due to injury records zao, they are bound to miss some games, and pia due to uzembe wa Club kuto-address eneo la MF kwenye TW, it means ni lazima Henderson + Milner watapata a lot of minutes, pale Klopp atakapotaka kuwapumzisha/rotate Thiago & Keita, au worse case scenario wakiwa wameumia.

So, tutakuwa na good run of games, Thiago akiwa fit, and tutarudi kwenye our struggling mode Thiago akiwa hayupo, hii itakuwa ni common theme ya msimu huu wote, unless tuwe serious (Very serious) kwenye TW ya January.
 
Enzo alitajwa tajwa sana kwenye gossip kabla hajatua Benfica, na wapo wengi wa staili hio tena wenye bei chee.

Klopp ni super stubborn sidhani kama huyu mzee atakuja badilika hata siku moja anachokiamini yeye basi anaona sawa tu hata kama wengine wataona kuna kasoro hua inamchukua muda sana kubadilika. Kumbuka ishu ya idara ya back line na golkipa. Baada ya kupoteza fainali ya Europa vs Sevila ma pundits wengi walimwambia Klopp kwa lazima asajili kipa na beki wa uhakika lakini mzee baba akawadiss kwamba kama ukocha ni rahisi waache uchambuzi wakafundishe mpira, haya tukafika tena fainali ya Uefa vs Real Madrid mambo yale yale yakajirudia tena na Klopp kwa aibu kubwa sana akaona asiwe taabu lemmie swalloa my pride akamtema kipa wake bora na kumleta Allison n the rest is history.
Kimsingi Klopp hapedi kabisa kuambiwa flaw za timu yake na wachambuzi hodari, hata home boy Jimmy Carragher tangu dirisha linafunguliwa alishauri kwanza Mane apewe mpunga abakie Liverpool na pia klabu iingie sokoni kununua MF mmoja wa uhakika sababu zipo wazi kwamba MF ndio inasababisha matatizo ya klabu. Klopp hili alisikia na kuingia mazima kwa Tchouameni kabla ya Mbappe kuchagua kubaki PSG na Real kumkosa wakatua mazima kwa Tchouameni tena bei ikiwa imepanda maradufu. Sasa unajiuliza kama Klopp aliona MF inahitaji new idea, new addition nini kilimfanya aishie tu na kuanza kusema ooh wachezaji tunaowataka aidha bei juu, au hawauzwi dirisha hili nk huyu mzee anachezea akili zetu hakua na ela ya kununua wachezaji watatu wa kweli kwamba ananunua msaidizi wa Trent, anunue Nunez na MF mmoja na ndio maana akatua mazima kwa mkopo wa Arthur bila kusita huku akijua fika huyu dogo tangu atue Juventus hajawai kua na namba kikosini ya kudumu. Kimsingi huyu ni panic buy kama Kabak probably ku bend maneno ya mashabiki baada ya kila interview wakati dirisha ipo wazi Klopp suala la MF alikua anakereka sana kulijibu.
FSG wao kutoa ela kushindana na Manchester City tena ela dogo tu kwa mfano Bissouma alikua anauzwa £25m na Klopp ni admiral wa huyu dogo lakini hata hicho amechemka utaona namna FSG wanavyo operate. Wameuza vyema ukichuchukua manunuzi ya wachezaji na mauzo ya wachezaji unapata net spend ya dirisha hili ni around £50m tu yaaani tuna wamiliki wa hovyo sana kwamba wao ku balance mauzo na manunuzi ni bora kuliko kuongeza steel n creativity pale kati.

Haya mambo ya kutega wachezaji waanze development kwingine aafu ndio Liverpool wakanunua kwa kuogopa ndio sielewi kabisa hio strategy maana kama huyo Enzo was well scouted na why not pay 10m kwa kipaji chake kwa kweli japo hua tunatoa sifa kubwa sana kwa Edwards kuwe za kujenga kikosi kwa kua na mabosi wa hovyo kama FSG lakini na yeye amechangia haya ya sasa japo naamini Klopp ana final say kwenye kununua na kuongeza mikataba ya wachezaji.

Ajax ni selling team n fasta wana network pana sana kuleta replacement, buy develop sell.
Kuzuia eti Antony asitue Manchester United bila kutoa mpunga wa maana ilikua kituko cha mwaka. Au eti Real Madrid kuuza Fede duh unrealistic business. Hizo bhana hua naona ni danganya toto kabisa pengine hata kuwafambaza akina Salah, VVD nk klabuni kwamba hey guys we are trying to sign top class talent blabla zikaedelea mpaka pale Henderson alivyoumia ndio mbio kwa Melo ambayo ni panic buy.

Klopp aliwai shauriwa na akama angefuata ushauri ule pengine haya mambo yasingekuwepo. Kuliko kuhangaika sokoni na ela kiduchu kwanini asimbadilishe Trent from RB to RMF na haya mambo yangekua yameisha sababu tukishambulia hua dogo Trent anacheza kama RMF hivyo ilikua sasa iwe rasmi na pengine Gomez angecheza RB. Lakini Klopp being Klopp asingetaka wengine wapate credit kwamba walitoa ushauri ambao yeye hakuliona hili. Yaaani tuna kocha old school.

YNWA
Kwenye issues za Transfers, i will always side with Klopp, though kila siku nitamkosoa kwa kuamua kuwa "mouth-piece" wa FSG, kuamua kuwa loyal employee kwa FSG, kuamua kubeba msalaba wa ku-turn petrol into water, wakati anaweza ku-demand funds za kutosha kutoka kwa FSG.

But, kwa jicho kubwa na la TATU, FSG are to blame kwa lack ya our spending.

FSG have failed Klopp mara nyingi sana, mfano tu, Salah, Mane, Robertson, Gini, Shaqiri, etc, were his second-4th choices, meaning FSG wali-fail kumpa Klopp his first targets, sasa imagine kama hizi signings zinge-fail?

So, some-times, namuelewa sana Klopp, huwa anaogopa ku-take high risks kwasababu akikosea kunakuwa hakuna second chances, ni kusubiria mpaka hiyo failed project iuzwe ndiyo utafute an upgrade.

Msimu huu, walikuwa washafanya calculations za kununua a midfielder for 60-70m, then put Mane, Ox, Nat, Ben Davies, Takumi etc on the market kwaajili ya ku-recoup the money and kutafuta a cheap/affordable forward, na kuzama in the market for a reliable ST next summer (which was a good idea), unfortunately we failed to land Tchou, na confirmed news ni kuwa Klopp wanted MFs wenye same traits za Tchou, ambao kwenye choices zake walikuwa ni Tchou-Jude-Fede, then we got priced out kwa Tchou, Jude & family gave their OK but Dortmund told us he was not moving this summer (especially baada ya Haaland kuondoka), and Fede was out of our reach (Kuna rumours kuwa tuli-bid 80m+, siyo za kweli, but its true, we asked for his availability, Madrid said he was not for sale.

SASA, Klopp was not ready to downgrade at that time, he wanted to wait for Jude, Ward gave him a lot of names (Vitnha, Nunes, Kone, Sucic etc), Klopp refused to take the "risk", and decided to use the money/budget kit kwa Nunez, but later on, when it became very clear that we needed a midfielder, FSG were not budging, and this was because we failed to ship out Ox, Nat etc, so hatukuwa na pesa ya kununua MF wa 40m, Klopp came out and decide to go at FSG, but it was too late, in the last 24-36 hrs we were on the phone with Brighton, Aston Villa, Leicester, asking for Caicedo, Douglas Luiz & Youri Tielemans, Caicedo was too expensive, but we got laughed off by Villa & Leicester, failed to match fee zao, 20m, (£20m yaani) then we ended up asking for Arthur, and Juve agreed, Arthur agreed. BUT process yote hii inaonesha incompetence ya FSG, na arrogance ya KLOPP, FSG for failing to back the Manager, KLOPP for refusing MFs aliokuwa anapewa na Ward, BUT, i mean what if FSG wangetoa 40m kwa Nunes and Cos, na wakashindwa ku-deliver? Klopp atapata nafasi ya pili kusahihisha? kama kwa Pep? maana we bought Keita for 60m, ame-fail ku-deliver on a daily basis kutokana na injuries, but Klopp mpaka leo hajapewa budget Kit ya kum-replace, so labda ndiyo sababu ya kwanini anaogopa ku-take risks?? Klopp rarely takes risks, na uzuri ni kuwa 90% risks zake zote zime-deliver at LFC (big fees), Alisson, VVD, Konate & Jota, nadhani kwa Keita tu ndiyo kuna mixed opinions, ndiyo maana sina wasiwasi na Nunez.

Man, i blame Klopp, kwa kujipa cheo cha miracle worker, football ime-evolve, lazima ubadilike kulingana na time/events, mwenzake Pep kila siku anahangaika ni jinsi gani atamu-outshine yeye, you think Pep ana-enjoy kuona kila msimu anamaliza league kwa pressure? NO, but why inaonekana kama Klopp ana-enjoy kuwa NEARLY-MAN? kila siku kumaliza nafasi ya PILI? tena kwa short-comings ambazo ni rahisi sana kuwa compansated?

So, plan ilikuwa ni ku-splash big chunky on a midfielder, na ika-fail, just call your owner and tell them targets zangu za MFs ninazotaka zote hazipo available, so here is a new plan, bugdet ya MF itaenda kwa ST kuziba void kubwa ya Mane, Origi, even Takumi, na baada ya hapo NITAHITAJI a 40m bugdet Kit kwaajili ya cheap/affordable MF ku-cover injuries za Thiago/Keita, as hatuwezi kuanza msimu na MF options tulizonazo. its just so simple, because he's Klopp, he has earned that power, kama kina Conte wanakuwa na power ya ku-demand signings kabla hata ya kuleta kombe lolote mezani, why Klopp ushindwe? ukizingatia kwa yote uliyofanyia LFC na FSG at large? angalia now, nobody anawalaumu FSG kuhusu mwanzo wa msimu m-bovu, all eyes are on Klopp, juzi baada ya game ya Napoli, waandishi wa habari wakawa wanauliza kama Klopp analifikiria suala la "KUFUKUZWA at LFC", you see? people hawaoni flaws za FSG ambao ndiyo main villains, but all fingers zinakuwa pointed at Klopp kwasababu ndiyo face/coach wa team na ndiyo anakuwa yupo kwenye touch-line, hamna mtu atauliza why Milner bado anaanza LFC games? why an attacking winger/10 anacheza at RCM? why hakuna m-badala/understudy wa Thiago? but watakuuliza kama "kwanini unahisi your job is on the line kwasababu ya matokeo mabovu", na kusahau kuwa huyo ni same coach ambaye ameshinda 2 trophies msimu uliopita, CL final na kupoteza league siku ya mwisho kabisa, so kwanini ubebe flaws za watu ambao hawaitazamani club kama wewe unavyoitazama, why ubebe flaws za owners ambao ni very incompetent?

Enzo is a gem, think Benfica will sell him for 60m, he's 21, and can be a good understudy kwa Thiago, na mrithi wake wa muda mrefu sana, we really need to buy him, ndiyo maana kwenye one of my post, nilisema kuwa its time now tuanze ku-invest kwenye his raw talents, unajua Brighton walimnunua Caicedo kwa 5-6m nadhani, but atauzwa for more than 50m now, Klopp needs to take these risks, na atakuwa ready and good ku-take risks pale atakapoamua kui-vua humble-face aliyonayo kwa FSG, be vocal, be demanding, ask tough questions kwa owners, tengeneza mazingira ambayo yatakuruhusu kuwa more than able kwenye suala nzima la ku-take risks.

FSG & Edwards walikuwa hawataki kumpa Henderson mkataba mpya, but Klopp aliingilia kati, na everything got solved kwa haraka sana, Klopp gave new contracts to Adrian, Milner etc, sasa why unashindwa kuwa demanding kwenye signings? kuwa miracle worker kutakusaidia mpaka wapi? because if anything hiyo miracle worker face, ndiyo inafanya tunamaliza league kwa margin ya 1 point mara kwa mara.

Man, i think Trent will struggle at MF now, Klopp kam-badilisha sana, game-play yote ya Trent imebadilika now, na ubaya zaidi ni kuwa Klopp kam-badilisha Trent kutoka kwenye kiungo kwenda RB akiwa mdogo sana, akiwa bado hata haja-master traits zote za a good/reliable MF, ni kama now Klopp aamue kukomaa na Elliot at RCM moja kwa moja, baadae ku-mrudisha at RW/10 itakuwa ngumu sana, ni kama Firmino now, his natural position ni 10, but Klopp changed him kwenda false 9, now unaona kabisa Firmino akicheza 10, ana-struggle ku-impact the game kabisa, and he was 24/25 when Klopp decided to use him as false 9, sasa kwa Trent nadhani he was 18-19, bado kabisa ku-master vizuri his MF role alipokuwa academy u21, so kumrudisha kwenye MF, itakuwa ngumu as he will need a lot of time/space ya ku-adjust.
 
Kwenye issues za Transfers, i will always side with Klopp, though kila siku nitamkosoa kwa kuamua kuwa "mouth-piece" wa FSG, kuamua kuwa loyal employee kwa FSG, kuamua kubeba msalaba wa ku-turn petrol into water, wakati anaweza ku-demand funds za kutosha kutoka kwa FSG.

But, kwa jicho kubwa na la TATU, FSG are to blame kwa lack ya our spending.

FSG have failed Klopp mara nyingi sana, mfano tu, Salah, Mane, Robertson, Gini, Shaqiri, etc, were his second-4th choices, meaning FSG wali-fail kumpa Klopp his first targets, sasa imagine kama hizi signings zinge-fail?

So, some-times, namuelewa sana Klopp, huwa anaogopa ku-take high risks kwasababu akikosea kunakuwa hakuna second chances, ni kusubiria mpaka hiyo failed project iuzwe ndiyo utafute an upgrade.

Msimu huu, walikuwa washafanya calculations za kununua a midfielder for 60-70m, then put Mane, Ox, Nat, Ben Davies, Takumi etc on the market kwaajili ya ku-recoup the money and kutafuta a cheap/affordable forward, na kuzama in the market for a reliable ST next summer (which was a good idea), unfortunately we failed to land Tchou, na confirmed news ni kuwa Klopp wanted MFs wenye same traits za Tchou, ambao kwenye choices zake walikuwa ni Tchou-Jude-Fede, then we got priced out kwa Tchou, Jude & family gave their OK but Dortmund told us he was not moving this summer (especially baada ya Haaland kuondoka), and Fede was out of our reach (Kuna rumours kuwa tuli-bid 80m+, siyo za kweli, but its true, we asked for his availability, Madrid said he was not for sale.

SASA, Klopp was not ready to downgrade at that time, he wanted to wait for Jude, Ward gave him a lot of names (Vitnha, Nunes, Kone, Sucic etc), Klopp refused to take the "risk", and decided to use the money/budget kit kwa Nunez, but later on, when it became very clear that we needed a midfielder, FSG were not budging, and this was because we failed to ship out Ox, Nat etc, so hatukuwa na pesa ya kununua MF wa 40m, Klopp came out and decide to go at FSG, but it was too late, in the last 24-36 hrs we were on the phone with Brighton, Aston Villa, Leicester, asking for Caicedo, Douglas Luiz & Youri Tielemans, Caicedo was too expensive, but we got laughed off by Villa & Leicester, failed to match fee zao, 20m, (£20m yaani) then we ended up asking for Arthur, and Juve agreed, Arthur agreed. BUT process yote hii inaonesha incompetence ya FSG, na arrogance ya KLOPP, FSG for failing to back the Manager, KLOPP for refusing MFs aliokuwa anapewa na Ward, BUT, i mean what if FSG wangetoa 40m kwa Nunes and Cos, na wakashindwa ku-deliver? Klopp atapata nafasi ya pili kusahihisha? kama kwa Pep? maana we bought Keita for 60m, ame-fail ku-deliver on a daily basis kutokana na injuries, but Klopp mpaka leo hajapewa budget Kit ya kum-replace, so labda ndiyo sababu ya kwanini anaogopa ku-take risks?? Klopp rarely takes risks, na uzuri ni kuwa 90% risks zake zote zime-deliver at LFC (big fees), Alisson, VVD, Konate & Jota, nadhani kwa Keita tu ndiyo kuna mixed opinions, ndiyo maana sina wasiwasi na Nunez.

Man, i blame Klopp, kwa kujipa cheo cha miracle worker, football ime-evolve, lazima ubadilike kulingana na time/events, mwenzake Pep kila siku anahangaika ni jinsi gani atamu-outshine yeye, you think Pep ana-enjoy kuona kila msimu anamaliza league kwa pressure? NO, but why inaonekana kama Klopp ana-enjoy kuwa NEARLY-MAN? kila siku kumaliza nafasi ya PILI? tena kwa short-comings ambazo ni rahisi sana kuwa compansated?

So, plan ilikuwa ni ku-splash big chunky on a midfielder, na ika-fail, just call your owner and tell them targets zangu za MFs ninazotaka zote hazipo available, so here is a new plan, bugdet ya MF itaenda kwa ST kuziba void kubwa ya Mane, Origi, even Takumi, na baada ya hapo NITAHITAJI a 40m bugdet Kit kwaajili ya cheap/affordable MF ku-cover injuries za Thiago/Keita, as hatuwezi kuanza msimu na MF options tulizonazo. its just so simple, because he's Klopp, he has earned that power, kama kina Conte wanakuwa na power ya ku-demand signings kabla hata ya kuleta kombe lolote mezani, why Klopp ushindwe? ukizingatia kwa yote uliyofanyia LFC na FSG at large? angalia now, nobody anawalaumu FSG kuhusu mwanzo wa msimu m-bovu, all eyes are on Klopp, juzi baada ya game ya Napoli, waandishi wa habari wakawa wanauliza kama Klopp analifikiria suala la "KUFUKUZWA at LFC", you see? people hawaoni flaws za FSG ambao ndiyo main villains, but all fingers zinakuwa pointed at Klopp kwasababu ndiyo face/coach wa team na ndiyo anakuwa yupo kwenye touch-line, hamna mtu atauliza why Milner bado anaanza LFC games? why an attacking winger/10 anacheza at RCM? why hakuna m-badala/understudy wa Thiago? but watakuuliza kama "kwanini unahisi your job is on the line kwasababu ya matokeo mabovu", na kusahau kuwa huyo ni same coach ambaye ameshinda 2 trophies msimu uliopita, CL final na kupoteza league siku ya mwisho kabisa, so kwanini ubebe flaws za watu ambao hawaitazamani club kama wewe unavyoitazama, why ubebe flaws za owners ambao ni very incompetent?

Enzo is a gem, think Benfica will sell him for 60m, he's 21, and can be a good understudy kwa Thiago, na mrithi wake wa muda mrefu sana, we really need to buy him, ndiyo maana kwenye one of my post, nilisema kuwa its time now tuanze ku-invest kwenye his raw talents, unajua Brighton walimnunua Caicedo kwa 5-6m nadhani, but atauzwa for more than 50m now, Klopp needs to take these risks, na atakuwa ready and good ku-take risks pale atakapoamua kui-vua humble-face aliyonayo kwa FSG, be vocal, be demanding, ask tough questions kwa owners, tengeneza mazingira ambayo yatakuruhusu kuwa more than able kwenye suala nzima la ku-take risks.

FSG & Edwards walikuwa hawataki kumpa Henderson mkataba mpya, but Klopp aliingilia kati, na everything got solved kwa haraka sana, Klopp gave new contracts to Adrian, Milner etc, sasa why unashindwa kuwa demanding kwenye signings? kuwa miracle worker kutakusaidia mpaka wapi? because if anything hiyo miracle worker face, ndiyo inafanya tunamaliza league kwa margin ya 1 point mara kwa mara.

Man, i think Trent will struggle at MF now, Klopp kam-badilisha sana, game-play yote ya Trent imebadilika now, na ubaya zaidi ni kuwa Klopp kam-badilisha Trent kutoka kwenye kiungo kwenda RB akiwa mdogo sana, akiwa bado hata haja-master traits zote za a good/reliable MF, ni kama now Klopp aamue kukomaa na Elliot at RCM moja kwa moja, baadae ku-mrudisha at RW/10 itakuwa ngumu sana, ni kama Firmino now, his natural position ni 10, but Klopp changed him kwenda false 9, now unaona kabisa Firmino akicheza 10, ana-struggle ku-impact the game kabisa, and he was 24/25 when Klopp decided to use him as false 9, sasa kwa Trent nadhani he was 18-19, bado kabisa ku-master vizuri his MF role alipokuwa academy u21, so kumrudisha kwenye MF, itakuwa ngumu as he will need a lot of time/space ya ku-adjust.
Klopp shouldn't blame nobody, when our main threat Manchester City, etc were investing seriously this transfer window Klopp was busy baby sitting Milner aongeze mkataba na making Elliott RCM,.. by the time anastuka na kuanza kurukaruka kwamba yeye sio mtu sahihi kuulizwa mambo ya usajili ikawa tooo late. Nikiri tu kocha mjeuri with lots arrogance. Kama alikomaa Henderson na Milner wapewe mkataba na mbona kwa Mane na Gini aliuchuna kama vile hayamhusu. Maisha ni elimu. Him being a top gaffer should have known better Gini impact kikosini haijawa replaced mpaka sasa same case na Mane alivyokua anamtoa angekua ame plan ahead though most likely Diaz is the replacement but thier output is a bit different hence change of formation is needed now to maximise both Nunez n Diaz strongly.... Klopp kua miracle worker has worked wonders kwa muda mrefu tu lakini ilikua against facing weaker Chelsea, weaker Manchester United, weaker Arsenal, weaker Tottenham nk and its big let down that Klopp has won just a singo EPL kwenye kipindi hicho all this down kwamba he can turn dust to rice. Henderson ana shine sababu anacheza with WC players, same case na Milner nk and that why ukitazama mistakes leading to goals kwa hawa jamaa wawili since last season utajiuliza kama wana hisa pale Anfield ama wanakua aje serial starters ama Klopp has lost the dressing room mambo yanajiedea tu.

Klopp kua grilled na media is the best wake up call kwake wala hatasikia media heading to America kuwasaka FSG watoe statement yao juu ya mwanzo wa msimu yaaani waandishi wao wanakomaa na Klopp na wasiachilie hapo hapo mpaka apanic kama kawaida yake, mbona wakati ana shinda hua hao media wanatoa misifa mingi tu hivyo na kwenye vipigo atulie hivyo hivyo....

Kama Ward working direct with Gordon alikua ana offer MFS wa plan B na Klopp couldn't burge kwa uoga tu wanaweza wasideliver basi imekula kwake. Kununua mchezaji ni kamali sometimes ina work sometimes inafail na haitakua scenario mpya, Arsenal walimnunua Pepe around 80m lakini boy couldn't click wame mship out aachie nafasi wengine watupe kata zao that the football life. Gambling with player acquisition. Klopp took a gamble kwa Robertson n man its worked wonders na kumpa Edwards na Klopp solid credit hivyo kukataa kuchukua wachezaji wengine kisa tu amemkosa Tchouameni na Bellingham was really a bad move kwa Klopp huku akitegemea Elliott, Milner, Henderson ndio wataamsha pale kati lol poor judgement. Wakati Liverpool wanamnunua Diaz kwenye mazungumzo yale walichomekea ishu ya Fabio Viera kwamba kama Porto watahitaji kumuuza basi Liverpool tupewe 1st priority ya kuuziwa tena kwa bei kati ya£12m mpaka £20m. Sasa Klopp alijuzwa mpango wa Porto kuuza lakini akasema hamhitaji tena ama kweli tumeeadikiwa kukosa msimu huu maana dogo alisajiliwa Arsenal tena kwa bei ya juu almost £30m.
Alivyoumia Ox, Thiago, Jones ilikua ni blessing in disguise kwamba Klopp zama sokoni chap ma MF walikuwepo tena wenye umri safi na bei safi kukomaa na Jude ambae peke yake sio suluhisho la matatizo yetu ni sawa na kusema tutakua tena mabingwa 2024 baada ya ku clear under performing players.

Ishu ya kumfanya TAA kua Midfielder inatokana na kwamba weakness ya huyu dogo ni tracking n instinct za beki ni kama zimepotea kabisa every 3 games ana move leading to goals na hii sasa inaanza kum affect he is no longer finishing games most of the time anakua subbed. This is a worry maana he is the main creator wa kufunga lakini gemu kadhaa sasa Klopp hamwamini anamtoa. Binafsi ningepedelea kwa kuangalia ubora wake Klopp angejaribu 3 4 2 1 ama 3 5 1 1 design kama Conte style when he won the EPL akiwa Chelsea. Otherwise opposition players wanajua vyema Elliott wont track properly hivyo they are giving a run at Trent n man they are successful so far.

Hii cycle ya wachezaji kutokua on form wako tired has caught Klopp by surprise yaaani he didn't get this kwenye diary yake ndio maana sasa wamerudi upya to the drawing board. Klopp is shocked by output ya wachezaji we are being outrun, less sprinting, less upfront ball recovery nk hii sio Liverpool way of approaching games. Klopp high press means having all the parameters working in tandem lakini msimu huu wala hatumo kabisa kila mmoja anajiedea ki vyake, pale mbele focal point haijulakani kama ni Salah ama Nunez, huku nyuma Gomez VVD is no go zone. Pale kati Elliott combination na Salah aint clicking. Klopp should give this boy a break amuache acheze right winga na ndio kwake pale...

Hakika October hii itakua make or break month kwetu.

YNWA
 
Klopp needs to stop playing Milner, and loses will turn into draws, and draws will turn into wins.

No matter how Milner ni good in the dressing room, kama hana anacho-offer kwenye pitch, hatakiwi kucheza.

Arrogance, stubbornness & being naive, ndiyo huwa inakuwa downfall ya managers wengi sana kwenye football, if the world & 90% of LFC fans (even proper reds), most respected football pundits (ex players & coaches), biased LFC jornos (Doyle, Pearce, Maddock, Bascombe, Hughes) etc, are telling you to stop playing Milner, you just LISTEN, because its clearly wanaona kitu WRONG.

Attachments kwenye football will take you nowhere, Sir. Alex Ferguson, ali-part ways na wachezaji ambao alianza nao tangu wakiwa makinda, na kitu kilimfanya awe na uwezo wa ku-refresh kikosi chake kila baada ya 1-2 seasons, Pep Guardiola got rid of his main men (Fernandinho & Sterling), angeweza kumuomba Ferna abaki hata msimu mmoja (1 year extension), but NO, kamruhusu aende, same for Raheem Sterling, one of City's best goal-scorers ambaye ndiyo kwanza ana miaka 27, Arteta got rid of Ozil (his fellow ex-teammate), got rid of Aubameyang, got rid of Lacazette, got rid of Leno etc, and you can clearly see what he's trying to build at Arsenal.

BUT, look at Jurgen Klopp.
Klopp ana emotional attachments sana

Na anaharibu pakubwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom