Ndio maana amerelex tu huyu Mzee.Klopp asked if he's worried about getting the sack like Tuchel: "Not really, our owners are rather calm and expect me to sort the situation and not think someone else will."
Translation:
"Our owners know that no other top level manager could over achieve like me, and put up with their disgraceful lack of investment"
Msituletee habari za Mane😂Katikati Tena, Kuna nani hapo
Mane ni wa pembeni eh!
Ni msimu 2018/2019 walicheza na Spurs final.Kwani walicheza na na I?
Nikiongea humu nikatukanwakloop anamsajiri nunez kweli?,,si bora hata lewandowski anatupia tu huko barca,,,kwa huyu nunez naona kabisa atafeli
Mbona nyie fainali iliwashinda kufika?In fact ile 2019 mngecheza na na timu ya maana msingeambulia ile UEFA.
Wewe nguvu za kupayuka hapa umetoa wapi wakati chelshit limewashinda hadi kocha amelikimbia na mnaenda kupoteana mazima.Livakunguni hamna jipya nyinyi
Tena nyie chelshit ndio mtulie kabisaLiverkuku akicheza mashabiki wake duniani kote wanatapika na kuharisha kama kuku mwenye kideri.
Cha ajabu wamarekani ndio wamemiliki almost timu zote kubwa Man untd, Liverpool and ChelseaIt's about time tuachane na wamiliki wa kimarekani. Tom Hicks na George Gillet walitutumbukiza kwenye shimo ambalo ilichukuchua almost a decade kutoka, tukaangukia mwikononi mwa Yankees wenzao tena in FSG ambao walituinua ila kwa sasa ni kama walisha break even na wanaiona Liverpool kama investment ya kujipatia hela baada ya brand kukua.
Money ball hailipi tena kwenye hili soko lililo tawaliwa na big time spenders in the name of Arab oil money (Man City, PSG and the likes).
Tuachane na hawa Yankees asee la sivyo we are heading back to being mediocre. Tutaishia kumlaumu kocha ila mwekezaji ndio tatizo. Hataki kuendana na soko lilivyo.
Get the Arabs in.
MosDef Captain Marvelous niambieni kama nakosea, maoni yenu kama wadau tunaolijua soka na tunaoijua team yetu ni muhimu.
Tupeni analysis ya kinachoendelea kwenye club yetu. Who's to blame? An ageing squad, poor business model, the gaffer or the players?
Cha ajabu wamarekani ndio wamemiliki almost timu zote kubwa Man untd, Liverpool and Chelsea




Liverpool na Man united ni ngumu sana kuuzwa kwa waarabu, zile ni timu za kiingereza hawatakua tayari zimilikiwe na Arabs.......It's about time tuachane na wamiliki wa kimarekani. Tom Hicks na George Gillet walitutumbukiza kwenye shimo ambalo ilichukuchua almost a decade kutoka, tukaangukia mwikononi mwa Yankees wenzao tena in FSG ambao walituinua ila kwa sasa ni kama walisha break even na wanaiona Liverpool kama investment ya kujipatia hela baada ya brand kukua.
Money ball hailipi tena kwenye hili soko lililo tawaliwa na big time spenders in the name of Arab oil money (Man City, PSG and the likes).
Tuachane na hawa Yankees asee la sivyo we are heading back to being mediocre. Tutaishia kumlaumu kocha ila mwekezaji ndio tatizo. Hataki kuendana na soko lilivyo.
Get the Arabs in.
MosDef Captain Marvelous niambieni kama nakosea, maoni yenu kama wadau tunaolijua soka na tunaoijua team yetu ni muhimu.
Tupeni analysis ya kinachoendelea kwenye club yetu. Who's to blame? An ageing squad, poor business model, the gaffer or the players?
Kwa kweli wamechoka.Wachezaji wa Liverpool wamechoka vibaya mno ,..!
TAA,Gomez , Robertson ,VVD ,salah ,fabihno ,milner , firmino ,wametumika miaka 4 mfululizo katika peak ya hali ya juu bila mbadala ...Kila game wao wanaanza ,....
Mwaka jana makombe yote manne wamecheza game zote wao , ukicheki body language ya kina vvd ,Gomez ,TAA , inaonesha kabisa it's over ,tafuteni mbadala mwingine haraka sana kabla ghalika la nuhu halijamwagika ...
Fanyeni rotation ya hao wachezaji wanatumia damu sio mafuta
Over