Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,849
- 16,322
Klopp told Tuchel “You’ll never walk alone”![]()



we jamaa nyoko sana, uwe unazihurumia basi na mbavu zetu.Klopp told Tuchel “You’ll never walk alone”![]()



we jamaa nyoko sana, uwe unazihurumia basi na mbavu zetu.
James Milner vs Napoli:Halafu ati anamshangaa Man UTD kwa kutomuanzisha Captain Magwaya..eti how can you do that to your Captain.Inakata stimu sana.
Wachezaji wapo japo umri wao sio lakini tazama Elanga Manchester United anapataga dakika za kutosha, au Foden pale Manchester City alivyopambana kuimiriki namba haya yanatokana na imani ha mwalimu kwa vijana wake lakini yeye Klopp anakomaa anachokijua....
Klopp we need answers..
YNWA
🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓... Ila jamani kufungwa nyie haha du kweli jamaa zetu wa Manchester United na Arsenal wametoka mbali mpaka kuja kuenjoi hizi good time yaaani nwa yana mwisho...Atasema saa ya referee iliharibika🤣🤣🤣
Jamaa yeye anachoweza ni kutema mate. James Milner vs Napoli:
• 63 mins
• 0 shot attempts
• 0 dribbles completed
• 0 interceptions
• 0 clearances
• 0 blocks
• 1 key pass
• 4 fouls committed
• 2/10 ground duels won
• 1 aerial duel won
• 1 tackle
• 1 penalty committed
Has Klopp lost the plot? Or klopp has already lost some of the locker room? Its embarrasing to watch us play now days. #FSGOUT
Bora hata mfungwe mkiwa mmeshajaribu options zote ie kikosi kipo cha kutosha, mazoezi ya kutosha basi tu bahati haipo upande wenu🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓... Ila jamani kufungwa nyie haha du kweli jamaa zetu wa Manchester United na Arsenal wametoka mbali mpaka kuja kuenjoi hizi good time yaaani nwa yana mwisho...
Ndio maana hua nasema enjoy while you can maana hujui lini mambo yatakua kama yalivyo Liverpool.
YNWA
Siamini jamaa ametuuza kiasi hiki huu msimu😂😂😂😂😂Can't believe I'm saying this but klopp is a big part of our problem's. He keeps playing the same tactics for 5+ years every man and there dog knows how to play against us now he needs to step up. But the big problem is the way FSG refuse to spend. They need to go simple as that. #FSGOUT
ETH pale Manchester United alikaa akaona kwanza alitemwa Moyes, akaja Van Gal, akaja Mourinho, akaja Ole tupa hukooo, sasa akasajiliwa ETH na hakua na utani utani kabisaa akaone hapana hii imekaa vimbaya chap akawaweka Ronaldo na Maguire benchi na kuanzia hapo taratibu sasa Manchester United wanaanza kurejea kwenye ubora wao.Halafu ati anamshangaa Man UTD kwa kutomuanzisha Captain Magwaya..eti how can you do that to your Captain.
Nikajisemea tu kuwa kweli bangi mbaya😂😂😂😂😂
Sasahivi zile nyimbo zote tulikuwa tunaomba in Klopp we believe 😃Zimeyeyuka 🤣🤣🤣🤣
Kipigo hiki ni salamu tu bado tarehe 13 vijana wa kazi Ajax wawakamate tena mchezee za kutosha.
Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
Wolves licking there lips for the weekendJamaa yeye anachoweza ni kutema mate.
Milner atusaidie tu mechi za kupiga penalty,,hizi nyingine hapana.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nyinyi shida yenu ni zaidi ya viungo, Timu lenu tokea kuondoka kwa Mane molari imepungua sana kwa wachezaji, ni Diaz tu peke yake ndie anajituma mwanzo mwisho ila hawa wengine waliobakia wameshajionea ujinga, yaani unaipambania timu kama alivyo kua Mane halafu mwisho wa siku unaonekana ni takataka tu usie na thamani yoyote.Hata angekuwepo Mane bado tungefungwa maana shida yetu ni katikati.
Sasa hela zenyewe wanawapa kidogo halafu wanajisifu kuwa wanatumia kidogo na output ni kubwa...Nyinyi shida yenu ni zaidi ya viungo, Timu lenu tokea kuondoka kwa Mane molari imepungua sana kwa wachezaji, ni Diaz tu peke yake ndie anajituma mwanzo mwisho ila hawa wengine waliobakia wameshajionea ujinga, yaani unaipambania timu kama alivyo kua Mane halafu mwisho wa siku unaonekana ni takataka tu usie na thamani yoyote.
Muangalie sasa hivi VVD, Fabinho na Salah ni wanaingia uwanjani ili mwisho wa wiki wapokee tu mishahara yao maisha yasonge washatambua kujituma sana mbele ya FSG ni utumwa tu unaoifaidisha kampuni zaidi.