Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Screenshot_20220907_232604.jpg



Maneno πŸ‘† πŸ‘† asiyopenda kuyasikia Klopp ndio haya sasa yaaani hachelewi kuwaambia kama wanaona ni rahisi waje wafundishe waoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.

YNWA
 
Screenshot_20220907_232534_com.android.chrome_edit_20892205946290.jpg


Tunaanza kua na rekodi za ajabu ajabu sana.

Haya ndio kwanza hata hatuna gemu 10 lakini tumechoka balaaaa..

Ama wachezaji wana mgomi baridi na Klopp kwa hii tabia yake kuwaachilia wachezaji wanaojielewa kama Mane na Gini huku akibakisha ma bum wake yaaaaani...

YNWA
 
Screenshot_20220907_232447_com.android.chrome_edit_20868780610877.jpg


πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ Anawachekiii JF ole wenu mseme ni supa bamπŸ˜πŸ˜πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€“

We are so done guys yaaani. Tukumbane jambo moja muhimu sana "winning is addictive so does LOSING " na hapa mambo yamegeuka sio tena business as usual kwa nara ya kwanza tangu Klopp ameanza kazi Liverpool hajawai kua na kipindi kama hiki na ndio tunataka tuone anatutoa aje tulipo kwenda mbele kwa kurudisha ushindi...

YNWA
 
View attachment 2349401

πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ Anawachekiii JF ole wenu mseme ni supa bamπŸ˜πŸ˜πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€“

We are so done guys yaaani. Tukumbane jambo moja muhimu sana "winning is addictive so does LOSING " na hapa mambo yamegeuka sio tena business as usual kwa nara ya kwanza tangu Klopp ameanza kazi Liverpool hajawai kua na kipindi kama hiki na ndio tunataka tuone anatutoa aje tulipo kwenda mbele kwa kurudisha ushindi...

YNWA
Atutolee wapi wakati tushazamaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hilo babu Milner silipendii..nilishaacha hadi kuangalia mechi maana ananikera.
Kazi kutema mimate.
 
View attachment 2349401

πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ Anawachekiii JF ole wenu mseme ni supa bamπŸ˜πŸ˜πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€“

We are so done guys yaaani. Tukumbane jambo moja muhimu sana "winning is addictive so does LOSING " na hapa mambo yamegeuka sio tena business as usual kwa nara ya kwanza tangu Klopp ameanza kazi Liverpool hajawai kua na kipindi kama hiki na ndio tunataka tuone anatutoa aje tulipo kwenda mbele kwa kurudisha ushindi...

YNWA
Limevaa na hiyo belt eti no racism!
Uongo mtupu.
 
Atutolee wapi wakati tushazamaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hilo babu Milner silipendii..nilishaacha hadi kuangalia mechi maana ananikera.
Kazi kutema mimate.
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ wakala wa Klopp atakua Milner ujueπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Manchester City waliona mbali sanaaaaa kwa kweli wakamwachia bureee kabisa...

YNWA
 
kuna akili ndogo sana ambayo haahitaji utaalamu zaidi kuju ufundi wa kocha

1, timu imecheza final 3 na kupoteza 2, unatakiwa ujiulize umekwama vipi?,,
jibu litakua ni kuongeza nguvu ya wachezaji wazuri ili uendelee ulipo ishia na ufanikiwe
kitu amabacho klopp ndo akawa anazid kuibomoa timu na kuuza na kuachia watu walio mfikisha hizo final

2, kwenye ligi ni yale yale umekua nafasi ya 2 mara mbili tofauti ya point 1 badara uzidishe nguvu ya wachezaji ili uwe wa kwanza alivyo boya anaachia wachezaji muhimu

unakula mtaji bado unataka upate faida ile ile,,kwenye hili hata mm namzidi kocha wenu akili
 
Wakafie mbele
Wasiendelee kutuharibia Liver yetu.
Hapa itakua Ma Yankees merchandise biashara iharibike ndio utawaona wanapagwa...

Matip ni mzima kwa nini asianze 1st 11 huku Klopp akijua pale nyuma hakuna rhythm duuh pazuri haya mambo yalishasemwa bila kificho kwamba Liverpool wanahitaji wachezaji angalau 3 wa kikosi cha kwanza ambao ni MF, Strika na beki mmoja... Ilikua dirisha hili aingie sokoni mazima bila kutafuta sifa kwa kusaka Ubingwa kwa kuwatumia All English players Henderson na Henderson...

Tunahitaji majibu sio bure Klopp hiki kikombe cha kwake.

YNWA
 
Hapa itakua Ma Yankees merchandise biashara iharibike ndio utawaona wanapagwa...

Matip ni mzima kwa nini asianze 1st 11 huku Klopp akijua pale nyuma hakuna rhythm duuh pazuri haya mambo yalishasemwa bila kificho kwamba Liverpool wanahitaji wachezaji angalau 3 wa kikosi cha kwanza ambao ni MF, Strika na beki mmoja... Ilikua dirisha hili aingie sokoni mazima bila kutafuta sifa kwa kusaka Ubingwa kwa kuwatumia All English players Henderson na Henderson...

Tunahitaji majibu sio bure Klopp hiki kikombe cha kwake.

YNWA
Atasema saa ya referee iliharibika🀣🀣🀣
 
Hili lizee nalo limetulia hata aibu halioni
Inakata stimu sana.
Wachezaji wapo japo umri wao sio lakini tazama Elanga Manchester United anapataga dakika za kutosha, au Foden pale Manchester City alivyopambana kuimiriki namba haya yanatokana na imani ha mwalimu kwa vijana wake lakini yeye Klopp anakomaa anachokijua....

Klopp we need answers..

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom