Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ladder49 ...png
 
I can say this is an end of this Liverpool team under klopp maybe some miracles needs to pull up

Our playing pattern have been discovered by all the teams, players are lacking morale to fight and its okay they are human they get tired / plus over reliance on same players over and over

I will never stop supporting Liverpool

Our time will come again where tu ta rise na ku conquer this damn football world

YNWA.
 
Unaonaje Mkuu Hela ya kumnunua &Mshahara wa Nunez angeongezewa Mane na akabaki?

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Mane wakati anaondoka alikuwa na miaka 30 tayari, ikiwa na maana, tayari alikuwa asha-peak.

Na, tayari strength za aina ya uchezaji wake zilikuwa zishaanza kupungua (Pace, ball accerelation, dribbling, behind runs), na ndiyo maana msimu uliopita, Klopp moved him katikati as a false 9, eneo ambalo hali-hitaji sana pace/physical or intensive ball accerelation.

My opinion tangu mwanzo, ilikuwa tulikuwa tunahitaji kumpa Mane a 1-2 years deal, same to Firmino, ili kuwe na proper phasing-out, but FSG wapo so tight, na wasingeweza ku-alert deal kama hiyo, because Mane ni lazima ange-demand a big pay-raise.

Inaumiza Mane kuondoka, but at 30, ameshatupa kila kombe, and Nunez ni good signing, na value yake ni nzuri, he's 22, na ana mengi ya kujifunza na ku-prove, kila jambo huwa linakuwa na mwisho, Mane kuondoka LFC ilikuwa ni inevitable, ni lazima kuna siku angeondoka, cha kushukuru ni kuwa ameondoka kipindi ambacho tayari tuna good/potential replacements. Salah, Nunez, Diaz, Jota, Firmino, Carvalho ni very good attacking depth, kinachotukwamisha kwasasa ni MF tu, maana hata backline yetu imejitosheleza (Alisson, Kelleher, Trent, Ramsay, Robertson, Tsimkas, Konate, Gomez, VVD, Matip)

Tumefanya uzembe mkubwa sana kwenye MF, but our attack & defense, vyote viko poa & well planned.
 
Mane wakati anaondoka alikuwa na miaka 30 tayari, ikiwa na maana, tayari alikuwa asha-peak.

Na, tayari strength za aina ya uchezaji wake zilikuwa zishaanza kupungua (Pace, ball accerelation, dribbling, behind runs), na ndiyo maana msimu uliopita, Klopp moved him katikati as a false 9, eneo ambalo hali-hitaji sana pace/physical or intensive ball accerelation.

My opinion tangu mwanzo, ilikuwa tulikuwa tunahitaji kumpa Mane a 1-2 years deal, same to Firmino, ili kuwe na proper phasing-out, but FSG wapo so tight, na wasingeweza ku-alert deal kama hiyo, because Mane ni lazima ange-demand a big pay-raise.

Inaumiza Mane kuondoka, but at 30, ameshatupa kila kombe, and Nunez ni good signing, na value yake ni nzuri, he's 22, na ana mengi ya kujifunza na ku-prove, kila jambo huwa linakuwa na mwisho, Mane kuondoka LFC ilikuwa ni inevitable, ni lazima kuna siku angeondoka, cha kushukuru ni kuwa ameondoka kipindi ambacho tayari tuna good/potential replacements. Salah, Nunez, Diaz, Jota, Firmino, Carvalho ni very good attacking depth, kinachotukwamisha kwasasa ni MF tu, maana hata backline yetu imejitosheleza (Alisson, Kelleher, Trent, Ramsay, Robertson, Tsimkas, Konate, Gomez, VVD, Matip)

Tumefanya uzembe mkubwa sana kwenye MF, but our attack & defense, vyote viko poa & well planned.
Angalau Mkuu maneno yako kuhusu Mane yamenifariji.

Kwahiyo tutafanya nini ili tushinde?
Makosa ndio yashatokea na tunaendelea kuchapika.
 
Kuna hizi Timu zimetueka kwenye hatari ya kutukosesha Top 4.

1) Man City
2) Chelsea
3) Man United
4) Arsenal

Liverpool & Spurs tunaweza jikuta tunagombania nafasi ya 5&6.

Najua Washabiki wa Liverpool ni Kama Kenge hawaamini mpaka waone Damu zinawataka masikioni lakini hatari ipo mbele yetu.

Zile kauli za kuwa "Man United na Arsenal ndiyo kawaida yao" basi msimu huu tusizotegemee sana.
Lini tumeanza Ligi kwa sare kama huu msimu? Hizi ni dalili mbaya sana kwetu na ukumbuke kwenye open Parade ya kushangilia makombe ya Carabao na FA mzee baba Klopp alisema msimu huu mpya atashambulia Makombe yote lakini kwa namna mambo yanavyosonga uwanjani sioni hili likitokea kabisa labda kama washindani wetu iwe ni nguvu ya soda.
Kingine tunamtegemea zaidi Thiago kwamba ndio atakuja na miujiza pale kati huyu kama mjuavyo ni spana mkononi na ni changamoto kubwa sana kwetu kua na wachezaji karibua wanne(Ox, Keita, Henderson na Thiago) wakiwa ni majeruhi ya mara kwa mara tusitegemee maajabu.

Kuhusu hili la BIg Four bhana imekaa vimbaya sana kwetu kwani hata juhudi hatuzioni kabisa pengine kutokana na Klopp kushindwa muda mwingi kuweka MF anayotaka yeye.

Timu imechoka kuanzia kwa VVD, Salah, Trent na Robbo yaaani sijui sababu ya kutumika sana ama hawana tena njaa au namna gani. Tulisahau VVD kupitwa hivi hivi lakini sasa anapitwa...

Contenders wa Big 4 ni
Manchester City
Arsenal
Manchester United
Liverpool
Chelsea
Tottenham

Wasumbufu wa vigogo ni.
Brighton
Brentford
Wolverhampton
Newcastle
Southampton.
Crystal Palace

Kuchukua pointi kwa hao wasumbufu itakua miujiza kwetu msimu yaaani.

Wasiotabirika
Westham
Everton
Leicester
Aston Villa.

Mambo yatakua ishu sana kwani na timu nyingi wamesajili vyema sana msimu huu tena kwa wachezaji wa bei poa..

Ngoja mpaka inagonga Mei 2023 itajulikana tu niaje.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom