Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nyie liverpumbu mnajua mmeondoka na mikeka yangu mingapi yani nyie ni takataka kabisa yani na msimu huu mkibena hata carabao mniite aisha.
Liverpumba, liverpunga, liverpumbu, livermadraw, livermakabati yaani hizi kitimoto za Anfield ziliona zikimuongezea mshahara Sadio Mane atafaidi sana sio?
Sadio Mane mtu wa Mungu we endelea kupiga dua tu hukohuko uliko sisi huku tunaitikia Ameen.
 
Safe to say the only team that will be contending EPL title this season will be Arsenal,Man City and Spurs only. While Chelsea, Liverpool and Man U who are currently building their team will be contending 4th place.
Liverpool itoe kabisa hapo Mkuu.
Lilishakuwa timu la mchongo Pumbavu sana💔
 
Huyu Nunez hamna kitu huyu anawahi kupanick mno, Mané yeye alikuwa akichezewa lafu anacheka tu kakin hili li Nunez litaoga redcard nyingi.
Mkuu Nunez ni poacher sio winga kama Mane hua actually anacheza lone striker kwa mafanikio, sasa tazama kwa Klopp leo alikua anacheza pembeni upande wa Diaz yaaani yeye mfungaji ndio anakua mtengenezaji... Sio rahisi... Mpaka pale Klopp atacheza mfumo unambeba Nunez ndio utaona uzuri wake. Lakini ukitazama ni kama bado main threat yetu ni Salah kwa namna ya upangaji wa mfumo... Lets Klopp adapt 4 2 3 1 huku Nunez akiwa lead striker utaona matokeo mazuri.

Kimsingi tatizo letu letu lipo pale pale kila mechi tunaanza tumepoza sana yaaani hakuna mpango madhubuti ya kusaka goli yaaani tupo tupo tu. Inafahamika vyema sasa 4 3 3 imeshajuliwa na timu pinzani ni muda mwafaka sasa tuodokane na huu mfumo kuleta ubora wa main target Nunez.

YNWA
 
Pengo la Edwards ni kubwa mno...Bora arudishwe.... Pesa ya Nunez tungepata stable midfielders hata wawili...ox angeshauzwa..... tungekuwa nafuu sana
Hawa Waingereza ndugu yangu ni kuwaogopa sana. Umeona Klopp leo anatoa main creator wake Trent anaingiza Babu Millie... Form is temporary class is permanent hivyo japo Trent ana struggle kutengeneza klosi za nguvu lakini dogo bado ndio mchezaji hatari kwetu kwa kutupia klosi kali... Kumtoa na kuleta Milner najiuliza sana Klopp alitaka sare ama amevurugwa aisee...

Hili la Edwards sidhani kama angepata huyo MF kwanza Klopp kaamua hata huyo Melo baada ya jeraha la Henderson tofauti na hapo asingenunua kabisa.. Too much pride kwamba he can't swallow his words ni hatari sanaaa kua na mwalimu wa hivi...
Ki ukweli ndugu yangu naona kama Klopp ameshafika mwisho wa mawazo yake na msimu huu ajitadhimini sana hatuwezi kua wasidikizaji wa Pep kila msimu kwa kusema ooh oil money wakati wachezaji wao wamenunua kwa bei chee tu huku sisi tukiaminishwa eti tusubiri Bellingham 2023 June huku Klopp akijua fika hii MF yake inahitaji kufumuliwa yote na sio mchezaji mmoja tu...

Anakomaa na wagonjwa kwani analasimishwa au anataka mwenyewe. Tangu nisikie Kieta anaongozwa mkataba niliishiwa pozi..

Leo sijui atazingizi kipi maana kwa sasa hakosagi lawama.

YNWA
 
Hahahaha hiv nyie makuku munampango gani msimu huu? Yule Salah keshajihakikishia mzigo wake £400k Basi anaamua kuruka ruka zake uwanjani mradi mwisho wa wiki anakibunda chake hahaha😂😂😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom