Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Salah toka aliposhuka form timu inayumba Sana...
Salah alipokuwa kwenye form Hana tofauti kubwa na kina lewandoski..na Benzema....

Kosa kubwa sana ni kukosoa mtu clinical Kwa sasa baada ya Salah kushuka form...tulipaswa kumsajili lewandoski au Halaand.....

Most clinical now ulaya ni hawa..
Halaand
Lewandoski
Benzema.
Mbappe.
Neymar.......Sisi labda Salah arudi Kwa form sioni how
Salah hajashuka form, we have twerked formation kidogo, Salah anacheza sana kwenye touchline, yupo wide sana, ndiyo maana touches zake kwenye box zinahesabika..

leo, kwenye last 10 minutes aliamua ye mwenyewe kuanza ku-force kuingia ndani, na ndiyo maana unaona we managed kutengeneza a lot of chances, na yeye kukosa goal kwenye stoppage time.

hii ni suala la Klopp, he's trying to ease Nunez in, but again you always need you dangerous goal scorer in the box muda wote, Klopp and Lijnders needs to fix this.


Salah hajashuka kiwango, ukiwa mpira hata wewe utaona mabadiliko ya mfumo kwa sasa, hasa upande wa kulia kwa Salah.
 
Hawa Waingereza ndugu yangu ni kuwaogopa sana. Umeona Klopp leo anatoa main creator wake Trent anaingiza Babu Millie... Form is temporary class is permanent hivyo japo Trent ana struggle kutengeneza klosi za nguvu lakini dogo bado ndio mchezaji hatari kwetu kwa kutupia klosi kali... Kumtoa na kuleta Milner najiuliza sana Klopp alitaka sare ama amevurugwa aisee...

Hili la Edwards sidhani kama angepata huyo MF kwanza Klopp kaamua hata huyo Melo baada ya jeraha la Henderson tofauti na hapo asingenunua kabisa.. Too much pride kwamba he can't swallow his words ni hatari sanaaa kua na mwalimu wa hivi...
Ki ukweli ndugu yangu naona kama Klopp ameshafika mwisho wa mawazo yake na msimu huu ajitadhimini sana hatuwezi kua wasidikizaji wa Pep kila msimu kwa kusema ooh oil money wakati wachezaji wao wamenunua kwa bei chee tu huku sisi tukiaminishwa eti tusubiri Bellingham 2023 June huku Klopp akijua fika hii MF yake inahitaji kufumuliwa yote na sio mchezaji mmoja tu...

Anakomaa na wagonjwa kwani analasimishwa au anataka mwenyewe. Tangu nisikie Kieta anaongozwa mkataba niliishiwa pozi..

Leo sijui atazingizi kipi maana kwa sasa hakosagi lawama.

YNWA
Klopp is wasting prime years za Alisson, VVD, Matip, Konate, Trent, Fabinho, Thiago, Salah, even Diaz, kwa kukumbatia trash players.

Una WC players, lakini unaamua kupoteza msimu mzima kwa kukumbatia below average players, na excuse ya kumsubiria Jude, a 19 years old player, maana anavyosubiriwa utadhani ni mchezaji aina ya prime Messi au Ronaldo, na akija LFC Fabinho atakuwa 30, Salah atakuwa 31, Thiago atakuwa 32, VVD atakuwa 31 etc na ndiyo WC players wetu hawa, sasa unaamua kupoteza their prime years kwasababu huna malengo na proper football planning.

and funny enough, next summer tutahitaji 2-3 MFs, hela ya ku-fund 3 CMs ipo? tunahitaji si chini ya £200m kwaajili ya ku-revamp the whole midfield, Jude pekee hatoshi, Dortmund wanataka £100m for Jude, and price inaweza ikapanda kama akiwa na good WC, sasa ndiyo maana nikasema kama kweli hiyo pesa ipo (i doubt it), wangenunua 2 CMs for 50m, get Kone/Sucic/Caicedo itakuwa ni good business kuliko kutupa 100m kwa Jude, then na bado tukaendelea kuwa short kwenye MF.
 
Huyu Nunez hamna kitu huyu anawahi kupanick mno, Mané yeye alikuwa akichezewa lafu anacheka tu kakin hili li Nunez litaoga redcard nyingi.
Darwin Nunez is a very very good ST, ni proper ST.

We have played muda mrefu sana na False 9, na amekuja wakati ambao our whole MF is a mess, but once MF yetu iki-settle, he will be fine

because hata our main creator Trent, anashindwa ku-function vizuri kutokana na MF mbovu ya sasa, once our main LCMs wakiwa fit, attack & backline vyote kwa pamoja vitaanza ku-function.

Nunez is only 22, then players wana timeline tofauti za ukuaji wa kimpira, but he's a proper ST, and he will be our Main Man for years.

You need to learn to give these young players time, wengi wanafananisha Nunez na Haaland, but Nunez angekuwa City angekuwa na goal za kutosha pia, kwasababu ya Services, KDB, Bernardo, Foden, Gundogan, Grealish etc, Nunez ana Henderson na Milner at LFC, give him time, muangilie akicheza na a functioning MF ndiyo upate nafasi ya kum-judge.


and, not everything about Mane, Club chose Salah over him, and he moved on smoothly, y'all need to move on too, in ideal world, we couldve lost both of them, but at the end Salah stayed, we have tight owners and thats our reality, Mane has moved on, Klopp & his bench wame-move on from him, fans should move on too, he's a LEGEND at LFC and thats it, Diaz & Nunez are special kids & talented, wangekuwa hawana potential ingekuwa ni worse, but potential is there, Diaz tayari ameshatu-ball out multiple time this season, ni muda wa kuzi-back these talents na ku-hope zita-turn out kuwa kama Mane, but at the end of the day Mane has moved on, you too should move on.
 
Mkuu Thiago akirudi tutakuwa vizuri Elliot hawezi kuchezesha timu vizuri Fabio anaweza ila Leo jamaa walikuwa wanatumia nguvu sana akashindwa .
Ni kweli mkuu, ila nina wasiwasi tukikutana na A. Villa alafu kikosi kiwe kama cha jana wale jamaa nimeiangalia mechi ya jana maana hata man city angepigwa goli hata 3 sema tu Ollie Watkins hakutulia vzur, jamaa wale wana speed na pressing sio mchezo saiv hz tim ndogo hazitaki kushuka daraja kabisaa .
 
Thiago anasubiriwa kama Krismasi ndugu yaaani hata Klopp ame pin mafanikio yake kwa jamaa ku control tempo pale kati.... Maana kwa sasa hata kukimbia hatupo sababu hatuna tempo pacer aka Thiago ....

YNWA
Kwakuwa Thiago ni injury prone, tungesajili mido mwingine dizain ya Thiago kwaajili ya kupokezana nae pale kati ili kupunguza injury kwa jamaa, nakwa ushauri Thiago angekuwa anatokea bench.
 
Klopp is wasting prime years za Alisson, VVD, Matip, Konate, Trent, Fabinho, Thiago, Salah, even Diaz, kwa kukumbatia trash players.

Una WC players, lakini unaamua kupoteza msimu mzima kwa kukumbatia below average players, na excuse ya kumsubiria Jude, a 19 years old player, maana anavyosubiriwa utadhani ni mchezaji aina ya prime Messi au Ronaldo, na akija LFC Fabinho atakuwa 30, Salah atakuwa 31, Thiago atakuwa 32, VVD atakuwa 31 etc na ndiyo WC players wetu hawa, sasa unaamua kupoteza their prime years kwasababu huna malengo na proper football planning.

and funny enough, next summer tutahitaji 2-3 MFs, hela ya ku-fund 3 CMs ipo? tunahitaji si chini ya £200m kwaajili ya ku-revamp the whole midfield, Jude pekee hatoshi, Dortmund wanataka £100m for Jude, and price inaweza ikapanda kama akiwa na good WC, sasa ndiyo maana nikasema kama kweli hiyo pesa ipo (i doubt it), wangenunua 2 CMs for 50m, get Kone/Sucic/Caicedo itakuwa ni good business kuliko kutupa 100m kwa Jude, then na bado tukaendelea kuwa short kwenye MF.
Hey Heavyweight wetu unapotea sana humu.. Great to hear from you man.

1 EPL in 7 years man that sucks when our main traditional competitors in Manchester United n Arsenal are crap haikumbaliki hata kwa vipi then ndio ukweli...

Kua na world beaters n yet trophy wise tupo chini sana is big shame maana Klopp has embraced hawa Waingereza ambao time and time again have failed when it's matters lakini yeye bado yupo nao na hii inahruharibia sana mipango uwajani tazama msimu huu magoli nadhani manne yemtokana na makosa ya Henderson kum misplace pass ama kua pedestrian badala ya ku react.. MF hua ni kama embroidery making the team move forward and minimising threat kwa back line yetu lakini sasa hivi we are so open kiasi we are over working the backline na forward nako kuna ukame as we dont have progressive balls to harm the opponent...
Right now team are going with us neck to neck in terms of running, sprinting nk we are being out run na hili inatokana na kukumbatia wazee ambao hawana njaa sana maana wanajua wana hati miliki ya namba pale.. TG pale Trafford had to go the hard way weka benchi Maguire club captain na ushindi anapata, that how should Klopp operate being brutal when the situation demands...
Hili la MF kua on the bad side of 30s ni jipu kwa mfumo aidha watakua wanaumia left n right or input uwanjani itakua ya hovyo sana... Klopp is big fan of repossessin the ball up the field n attacking in quick succession that why utaona Robbo na Trent playing like wingers lakini sasa we are being pinned back muda mwingi na lia tukienda mbele kunakua crowded hata hizo klasi hazifiki kwa wakati sasa,... We have a very good poacher in Nunez lakini service kwake imekua adimu, Klopp has to decide who should be th focal point aidha Nunez ama Salah na pia kimfumo its high time we embark on new ones maana 4 3 3 bila pace setter Thiago imekua changamoto sana..
Kuhusu buyu dogo Bellingham tunapigwa hapa. Dogo ana 19 anakuja Ligi ngumu sana sitegemei maajabu kutoka kwake ingekua going for EPL proven player ni sawa na hili tumefanya kwa mafanikio kwa makubwa sana kuanzia kwa Robbo, VVD, Mane, Jota nk hawa wote walisajiriwa wakiwa na pedigree ya EPL na hawakua kutuangusha.. Yupo Neves, Yupo Ramsey wa Aston Villa, Yupo Jaoa Pedro wa Watford, yupo Caicedo wa Brighton, nk nk hawa wala hakuna wakutu cost £100m na wanakuja wamesheni kipaji na uzoefu wa EPL ambao ni muhimu sana na pia umri unakua safi lakini Klopp hua hapangiwi kabisa huyu mzee yaaani pazuri akikamatika hua ni mwepesi wa kuhamisha magoli haha kama last week aliulizwa vipi kuhusu usajili pale kati alajibu ooh mimi sio mtu sahihi kuulizwa hilo swali haha yaaaaani ansahau kabisa mpaka kufika Kombe la Dunia kuna mechi kila baada ya siku 3 au 4 aafu anakomaa na wagonjwa duuh huyu mzee nampigia saluti.

YNWA
 
Nunez anatakiwa akamwangalie huko mdogo wake Halland anacho kifanya, saiv mwenzake anagoli 10
Manunu jana kanikera sana, yaani watu wanamvutavuta halafu yeye anawaangalia tu badala ya kuwatia ndosi, Manunu wa jana sio Manunu ninaemjua mimi
 
Huu mfumo wanao utumia Arsenal na sisi tungeutumia eti.
Screenshot_20220904-093021.jpg
 
Thiago anasubiriwa kama Krismasi ndugu yaaani hata Klopp ame pin mafanikio yake kwa jamaa ku control tempo pale kati.... Maana kwa sasa hata kukimbia hatupo sababu hatuna tempo pacer aka Thiago ....

YNWA
atarudi mwakani mkiwa mnaburuza mkia
 
Hey Heavyweight wetu unapotea sana humu.. Great to hear from you man.

1 EPL in 7 years man that sucks when our main traditional competitors in Manchester United n Arsenal are crap haikumbaliki hata kwa vipi then ndio ukweli...

Kua na world beaters n yet trophy wise tupo chini sana is big shame maana Klopp has embraced hawa Waingereza ambao time and time again have failed when it's matters lakini yeye bado yupo nao na hii inahruharibia sana mipango uwajani tazama msimu huu magoli nadhani manne yemtokana na makosa ya Henderson kum misplace pass ama kua pedestrian badala ya ku react.. MF hua ni kama embroidery making the team move forward and minimising threat kwa back line yetu lakini sasa hivi we are so open kiasi we are over working the backline na forward nako kuna ukame as we dont have progressive balls to harm the opponent...
Right now team are going with us neck to neck in terms of running, sprinting nk we are being out run na hili inatokana na kukumbatia wazee ambao hawana njaa sana maana wanajua wana hati miliki ya namba pale.. TG pale Trafford had to go the hard way weka benchi Maguire club captain na ushindi anapata, that how should Klopp operate being brutal when the situation demands...
Hili la MF kua on the bad side of 30s ni jipu kwa mfumo aidha watakua wanaumia left n right or input uwanjani itakua ya hovyo sana... Klopp is big fan of repossessin the ball up the field n attacking in quick succession that why utaona Robbo na Trent playing like wingers lakini sasa we are being pinned back muda mwingi na lia tukienda mbele kunakua crowded hata hizo klasi hazifiki kwa wakati sasa,... We have a very good poacher in Nunez lakini service kwake imekua adimu, Klopp has to decide who should be th focal point aidha Nunez ama Salah na pia kimfumo its high time we embark on new ones maana 4 3 3 bila pace setter Thiago imekua changamoto sana..
Kuhusu buyu dogo Bellingham tunapigwa hapa. Dogo ana 19 anakuja Ligi ngumu sana sitegemei maajabu kutoka kwake ingekua going for EPL proven player ni sawa na hili tumefanya kwa mafanikio kwa makubwa sana kuanzia kwa Robbo, VVD, Mane, Jota nk hawa wote walisajiriwa wakiwa na pedigree ya EPL na hawakua kutuangusha.. Yupo Neves, Yupo Ramsey wa Aston Villa, Yupo Jaoa Pedro wa Watford, yupo Caicedo wa Brighton, nk nk hawa wala hakuna wakutu cost £100m na wanakuja wamesheni kipaji na uzoefu wa EPL ambao ni muhimu sana na pia umri unakua safi lakini Klopp hua hapangiwi kabisa huyu mzee yaaani pazuri akikamatika hua ni mwepesi wa kuhamisha magoli haha kama last week aliulizwa vipi kuhusu usajili pale kati alajibu ooh mimi sio mtu sahihi kuulizwa hilo swali haha yaaaaani ansahau kabisa mpaka kufika Kombe la Dunia kuna mechi kila baada ya siku 3 au 4 aafu anakomaa na wagonjwa duuh huyu mzee nampigia saluti.

YNWA
Man, imekuwa muda mrefu sana mkuu, ni plans za maisha, but its all good.

Klopp, hajui when to let players go, and sentiment always inaishia kwenye favourtism, you see, when Klopp came at LFC, Henderson & Milner walikuwa ndiyo most bashed players kwenye squad, so badala ya kutafuta njia ya kuwa-replace, akaamua kufanya nao kazi ili ku-prove the world wrong, na kwa kuwa alikuwa anasifika kwa ku-turn bum players careers around, he was adamant kuwa atafanya the same kwa Henderson & Milner, so ukweli ni kuwa alifanikiwa, maana Henderson upped his performance kwa kiasi kikubwa sana mpaka kufikia kushinda individual awards (hiki kilikuwa ni kipindi kigumu sana kwangu kwenye hii platform, hahaha, not because of his performances but ni kwasababu ya abuses and vile words), but mimi huwa ni mfuasi wa the long wait/game, you see, kwenye game ya football only talented footballers ndiyo huwa wana-last LONG, after our title winning season, Henderson started to struggle, kwasababu nyumba ya udongo ni ngumu sana ku-overstand nature ya muda, na wakulaumiwa hapa ni Klopp, badala ya kutaka kupata sifa za ku-turn petrol into water, alikuwa anatakiwa kuwa-move on hawa players, but sentiments, ego & the argue to prove people kama sisi wrong vili-cloud his judgement, players ambao amewa-embrace kwa muda mrefu sasa, ndiyo waliyo-play part kubwa kwa huu mwanzo wa msimu m-bovu, na kibaya zaidi HAAMINI anachokiona, and he's trying to correct it kwa kuendelea kuwachezesha akidhani kuwa wata-fluke tena their good form.

Thiago is 31 lakini bado akiwa uwanjani anaikamata game nzima on his OWN, this is talent, Milner & Modric are both 36/37, but angalia tofauti ya ubora kati ya hawa wachezaji, Modric anaweza kuja Anfield na kwenda toe to toe na MF ya Fabinho na Thiago, but Milner hawezi hata ku-maintain MF battle na McTominay, you see, Man city waliachana na Milner at 29 kwa kuwa waliona he's not GOOD ENOUGH, but years later bado anaanza games at LFC, how can you compete with City kwa mtindo huu? Unaanzaje kuwapa new contracts wachezaji kama hawa? as a coach lazima ujue muda gani unaotakiwa kuachia players waondoke, and its funny because Klopp wasnt bothered kupigania contract ya Wijnaldum kwasababu siyo muongeaji sana kwenye dressing room na siyo MROPOKAJI akiwa uwanjani, but you know what kama Wijnaldum angekuwepo last season instead of Henderson & Milner, tungeshinda PL au CL, because ni better player kuliko kina Henderson, its not even a rocket science, leadership means nothing kama kiwango chako cha mpira ni kidogo sana uwanjani, leadership inaendana na kile unacho-offer, juzi a lot of pundits walikuwa wanatoa praise kwa Milner baada ya kumropokea VVD baada ya goal la Sancho, goal ambalo lilitokana na blunder ya Henderson in the middle of the pitch, goal ambalo lilitokana na MF kuwa bypassed kiurahisi, goal lilitokana na MF kuwa mbovu na kushindwa kufanya kazi yake vizuri, and you know whats funny, klopp thought benching an out of form Fabinho for his favourites, kungesaidia kuleta experience/unity kwenye MF, BUT a ONE LEGGED FABINHO hawezi kuwa out-shined na Mctominay, na kama Fabinho angekuwepo on the pitch game isingeisha 2-1, you just dont bench your WC players kwenye games kubwa, you just dont, i know he wanted to send ujumbe kwa Fabinho kuwa "you're not special, kama naweza kuku-bench against Utd, basi naweza kuku-bench kwenye game yeyote ile, so fix your form", but anasahau kuwa he is responsible for this, msimu uliopita niliongea humu kuwa Fabinho anakuwa over-played, na task yake ni ngumu sana maana bila Thiago/Keita anakuwa kama yupo peke yake kwenye MF, so anakuwa ana cover a lot of spaces, na ni tabu sana ukichukulia kwamba he's not mobile sana, so utaona ni kiasi gani anavyoathirika physically, hii yote ni poor squad planning, overplaying players kwasababu hatuna proper backups, Fabinho & Trent/robertson/Firmino ni victims wa hili, and saa zingine hata ukiwa na backups hazitumiki (mfano Kostas) because Klopp is too scared kujaribu vitu vipya, (main reason hataki ku-move on from 433).

Henderson atarudi kutoka majeruhi, and he will continue to start games and cost us points week in, week out, wakat in reality Klopp anatakiwa ku-plan na Arthur now, pamoja na Thiago, but once Henderson akirudi circle itakuwa ni ile ile, na tutakuja humu tena kujiuliza imekuwaje? na kinachoumiza other players ni no matter how good they play, huwa wanakuwa dropped next games for either Henderson, Milner or robertson, msimu uliopita kuna games kadhaa Keita alikuwa dropped after good performances, tena countless games, unakumbuka kuhusu OX? dude was our perfect RCM kabla ya his injury against Roma, hata alivyorudi ilikuwa ngumu sana kurejea kwenye ubora wake because Klopp alikuwa anam-miss manage, kuna games kama ile ya Atletico or against Arsenal where Ox had the game of his life, but game zinazofata anakuwa dropped because of Milner or Henderson, unafikiri atapataje momentum? yes Ox and Keita are injury prones but Klopp ame-play part kubwa sana ku-hinder their careers, ndiyo maana Keita had enough, na huwezi amini nikikwambia kuwa Keita was fit for the most part of the last season, na kuwa ndiyo maana we were able to compete vizuri kwenye trophies zote nne because of his extra body in the midfield, ali-feature kwenye games zaidi ya 40 (kuanza & subs), but mara nyingi alikuwa dropped for no reasons, kama unakumbuka ile game dhidi ya chelsea at SB, keita got dropped for Milner, despite his good form, we drew that game, and ilikuwa ni moja kati ya games zilizotukosesha EPL trophy, because kama tungepata alama 3, theres no way tungekuwa tunategemea Aston Villa kufanya miracle kwenye game ya mwisho na Man City.

Play your inform players, play wachezaji ambao wapo kwenye good form and hungry, kwa mfano Thiago akirudi it means he will take his LCM spot back, and Elliot ana-develop kwa kasi sana, but sitoshangaa kama Henderson akirudi, klopp atampa RCM role na kum-bench Elliot, na tutakuja humu kujiuliza why Elliot ame-stuck kama ilivyo kwa curtis jones, na kiukweli going forward midfield options should be Fabinho,Thiago, Arthur, Elliot, Keita, Curtis and Bajicetic, kama klopp yupo serious na huu msimu anatakiwa amuweke mbali Milner na team, Henderson kucheza as a 6 kwenye games ndogo haiwezi kuwa tatizo, but can we even trust him there? he got overrun by Mctominay the least talented Utd player, Henderson & Milner wakiendelea kupewa minutes huu msimu wote utakuwa ni wasteful, na kama Klopp atam-drop Elliot for Henderson ili ku-prove a point, then ni LAZIMA tuanze kuuliza maswali magumu kuhusu Klopp.


Jude is so talented, but he's not a world beater yet, he's still a kid, so anaweza kuja LFC na akahitaji time ya ku-adjust, suala la kuwa tunamsubiria Jude ni la kweli, but at the same time, huwezi ukapoteza msimu mzima kwaajili ya kumsubiria mchezaji mmoja, what was stopping us ku-bid kwa other MF wenye good prices? na transfer window hii ilikuwa stacked kwenye suala la MFs a lot of MFs wame-move teams (Onana, Bissouma, Nunes, Vitinha, Paredes, Paqueta, Tchouameni, Sanches, Solar, Fabian Ruiz, Enzo Fernandez, Ketelaere, Kessie etc), but apparently kwenye hiyo group ya talented MFs hatukuona wachezaji bora zaidi ya Henderson na Milner, tumeacha mpaka Onana kaenda Everton, wote hawa tungewapata for peanuts ni Tchouameni tu ndiyo alikuwa ana-cost a lot of money, but wengine ni 40m to free transfers.

Moises Caicedo, ni complete MF, japokuwa hajacheza zaidi ya games 20 pale Brighton but you can see his TALENT, we tried to sign him in the last days of the transfer window but we got priced out, Brighton were holding for 50m, but sisi kwenda that late haikusaidia kabisa, but kama tungeenda 2-3 weeks before the window, i'm sure tungempata, because Brighton wangekuwa na nafasi ya kutafuta replacement, but we left it too let, na hatukuwa hata na pesa ya kutosha, but to be honest and in my opinion, Caicedo & either Kone/Sucic/Enzo Fernandez for the combined £100m ni good business, kuliko Jude peke yake, na hata hivyo sidhani kama Kone atakuwa na price tag ile ile next season.

Ramsey & Neves kuwa-price out kutoka Villa & Wolves, ni lazima uwe na budget kit ya 60-70m, na nadhani Aston wanaweza ku-demand zaidi ya 70m kwa Ramsey (British tag), so ni very unlikely moves.
 
THE FSG AND KLOPP TALES.

Well, it seems we are trying our hardest to go full circle, but what really went wrong? why tumeanza msimu vibaya sana, i mean its only 5 games, but form tuliyoanza nayo ni acceptable? well ni HAPANA, can it be fixed? well ni NDIYO, but lets au tuangalie problem ilianzia wapi hasa, mpaka kupelekea mwanzo wa msimu m-baya kama huu, (You know, blind fans/proper reds watasema kuwa tuna-overreact sana, but root ya haya yanayojiri leo yalianza kusemwa tangu 2019, after our CL win, so hakuna jipya, and its funny because people wanao-run one of biggest clubs in the world, chose to be naive & arrogant kwasababu ya 2 major trophies, and watu wa pembeni tuliojaribu ku-raise our concerns, we got attacked & abused, HAPA na kwenye platforms nyingine)

Kuna tales mbili, ya FSG na ya Klopp, zote hizi zinategemeana, tatizo linaloonekana leo, linategemeana na hizi two parties, nitaanza na FSG.

FSG TALES.
Well, its so clear kuwa LIVERPOOL FOOTBALL CLUB imewa-outgrown FSG, Club as a whole imekuwa too big for them.

Listen, FSG did not save us from administration, they saw a very good business opportunity and TOOK it, LFC were worth £300m at that time, hence kulikuwa na a LOT of bidders, so yeyote ambaye angeshinda a bidding war, asingeruhusu brand kama LFC kuingia kwenye administration, BUT wanastahili pongezi kwa kuirudisha club kwenye msitari (i will always give them flowers zao kwenye hili), in a ideal world, chini ya reign yao tumeshuhudia signatures wachezaji mahiri, Coaches mahiri, ambao kwa pamoja wamechangia sana kubadilisha mwenendo wa club as a whole, BUT at what cost?

FSG/LFC bado ina-operate katika policy ya sell to buy (kuuza na kununua), ili ku-balance books na net expenditures, hii ina maana kuwa owners hawa-invest money kwenye club, club inajiendesha yenyewe kulingana na assets zilizopo (Players), ikitokea kuna ishu ya money-injection kubwa inahitajika ambayo ipo nje ya uwezo wa assets zilizopo, but owners watatumia brand ya club kukopa nje, hence tuna deni kubwa tu, while tuna-operate kwenye sell to buy policy, katika kipindi cha miaka mitano, we have won kila kombe ambalo tumepambania (PL, CL, CWC, FA, EF, CS), tumeingia CL final mara 3, tumeingia EL final mara 1, tumemaliza kwenye nafasi nzuri sana kwenye league for 4-5 years running, hizi zote ni PESA, hizi zote ni RETURNS, as for the last 7 years, stocks za brand zimepanda, ongezeko kubwa sana la fanbase worldwide, sponsors wengi, TV money nyingi, demand ya brand kwenye market ni kubwa sana, as tunamiliki na ku-employ world class superstars, pesa yote inaenda wapi kama tu Anfield stand mpya tunajenga kwa mkopo? it took us months ku-renew mkataba wa Salah, tena baada ya kuamua kumuachia Mane.

Well, huwezi kupinga, kuwa model ya FSG ilitusaidia sana, as tulifanya rebuild bila kutumia pesa nyingi (kama wanavyofanya United now), but kwa hapa tulipofika, model ya sell to buy haitufai tena, now hatushindanii top 4, tunashindania league na CL, na kama utatumia mustakabali wa last season, we are still the top 2 team in Englad, and top 2 team in europe, BAR tuliyofikia ni kubwa sana, tunashindana na the likes of City, PSG, Madrid etc, hatutakiwi ku-entartain hizi sera tena, because hazitatupeleka mbele, mpira una-evolve, pesa imekuwa nyingi sana kwenye mpira, tumeshuhudia now, teams kama Villa, Wolves, Westaham, Everton etc zinasajili talented players kama Kamara, Nunes, Paqueta, Onana etc, hawa wachezaji wote wana uwezo wa kuanza na kutumika kwenye top 6 clubs za England, but FSG bado wanaendelea na sera yao, bila kuzingatia Club imefika kwenye HATUA ipi, huwezi amini nikikwambia kuwa kabla ya Arthur, tulikuwa tumesign a CM mmoja katika kipindi cha miaka MINNE (4 YEARS), hii siyo alama ya Club ambayo inahitaji kuendelea ku-compete, na our last big transfer summer ilikuwa ni baada ya kumuuza Coutinho, pesa yake ili-cover a lot of signings, na ndiyo window hii walikuja kina Fabinho, Alisson na tuliweza ku-close deals za keita & VVD, na its not a coincidence kuwa our biggest summer ilikuwa ni ile tuliyomuuza coutinho, na hatujawahi kufanya big sale yeyote tangu wakati ule, na you can see ni jinsi gani inavyotuumiza now, mnakumbuka msimu ambao tulimuuza Lovren, and decided not to replace him, na kilichotukuta ule msimu ni kuwa tulipa top 4 game ya mwisho kabisa, maana back 4 yote ilipata shida ya injuries, we had to play Phillips & Rhys, au Fabinho na henderson kama part time CBs, tulipoteza msimu mzima kwasababu ya lack of funding, tukaja kum-replace Lovren na Konate a season later, because we had to sell some players to fund the transfer, sasa ni club gani yenye hadhi kama ya LFC inafanya mambo kama haya?

Tangu msimu uliopita, ilikuwa ni wazi kuwa we needed TWO CMs, because Thiago/Keita/Ox are always injured, Henderson & Milner are ageing, and we had kids ambao hawakuwa tayari Elliot & Jones, so its clear kuwa we needed bodies in the Midfield, because, zile draws zote za msimu uliopita zingekuwa ni WINS kama Thiago/Keita wangekuwa uwanjani, but wote hawakuwepo kwasababu ya injuries, Klopp had to play a half-fit Thiago kwenye CL final, so hizi ishara zote zilionyesha kuwa main target ya transfer window ni kununua CMs, na kweli dirisha lilivyofunguliwa we tried for Tchouameni, tuli-bid £65m raising to 70m, Monaco walikataa, na wakati bado tunaendelea na mazungunzo ya kuwa-lawball Monaco (kama kawaida yetu because huwa tunajiona ni smart kuliko clubs zingine), tulikuwa tunajua kabisa kuwa Madrid wapo interested, so it was a matter of timing, JUST TIMING, yaani maliza deal kabla madrid hawaja-make a move, because huwezi ku-compete nao kwa pesa, sasa madrid walivyomkosa Mbappe, ili ku-appease fans wao, wakaja direct kwa Tchouameni, bid ya €100m, uamuzi ukabali kwa mchezaji, ambaye akachagua Madrid, sasa baada ya hii deal ku-fail, tunaambiwa kuwa club haikuona m-badala wa Tchouameni kwenye market, and walikuwa wana-plan ku-move for Jude next summer, so hii ilikuwa inamaanisha kuwa dunia nzima wachezaji ambao walikuwa na uwezo na bora zaidi ya Henderson, Milner, Ox, Jones, Keita ni Jude na Tchouameni tu, and its funny because ile 65m tuliyobid kwa Tchouameni ndiyo hiyo hiyo tukaipeleka kwa Benfica kwaajili ya Nunez, na mind you hii hela ilipatikana kwa sales za Mane, Minamino, Neco, Ben Davies, hence our net spend is so laughable, so LAUGHABLE.

Sasa, zikawa zinakuja excuses kuwa tunahitaji right players kwenye midfield, it was a lie, tulikuwa tunategemea kununua kiungo wa range ya £40m, kwa kutegemea kumuuza Nat phillips na Ox, kwa bahati mbaya Ox akaumia (West Ham, Forest etc walikuwa na interest), then Julian Ward ame-fail kumuuza Phillips kwasababu ya price tags zisizokuwa na utimamu, na kipindi hichi ambacho tulikuwa tunahangaika kukusanya pesa, tuli-register interests kwa Vitinha, Nunes, Kone, Caicedo, Sucic, but at the end, Vitinha moved to PSG, Nunes moved to Wolves, yaani WOLVES walitu-outbid, na reality ni kuwa Nunes was waiting for us and City, Pep alikuwa na interest na City wangemove-in kama Bernardo angeondoka, ndiyo maana his agents alikataa offer ya West Ham, na ya Wolves mara ya kwanza, lakini baada ya kuona hatuna muelekeo tena, wakaamua kukubali move ya Wolves, ambayo siyo mbaya kabisa, tulishindwa kuwa-price out kina Kone, Sucic, Caicedo kwasababu tulikuwa tuna-bid peanuts.

Then baada ya kugundua kuwa, Keita anaweza kukaa nje kwa muda kidogo, Klopp akaja kusema kuwa he was wrong na anahitaji MF, but kwa pesa ipi? na baada ya hii kauli zilitoka articles nyingi kuwa pesa ya ku-spend ipo, na watu wakaamini kabisa, kama hela ya kuspend ilikuwepo why hatuku-act baada ya kufail deal ya Tchouameni back in April? tulikuwa tunajua kuwa Jude hawezi ku-move this summer, why hatukuweka pesa kwa MFs wengine waliokuwa na good prices? what was stopping us? then baada ya ile kauli ya Klopp watu wakajua tuta-target big players, no we went back in the market kutafuta stop gaps, na things got worse baada ya injury ya Henderson, we asked for Tielemans, Douglas Luiz, Konrad Laimer etc, but our offers zilikuwa ni below £20m (imagine), the we got Arthur, kwa loan fee ya £3m, after Klopp kutuambia mwanzo wa transfer window kuwa hatasign stop gaps etc, so transfer window ya msimu huu imeonesha nini? its clear imeonesha kuwa FSG are out of their depth, imeonesha kuwa hawapo tayari ku-make the right step, ni excuses after excuses, na kubwa ni kuwa we are waiting for Jude, so it means we have thrown the whole season away kwasababu ya Jude ambaye hatuna guarantee kuwa tutampata, as Madrid wameonesha interest tayari, hizi zote ni excuses za incomptent owners.

Na kibaya zaidi ni kuwa fans hawa-demand big money signings, kina Vitinha, Kone, Nunes etc ni £40m players, na ni very talented, VERY TALENTED na ni big upgrade kwa the likes of Milner and Henderson, BIG UPGRADE.

na kama unaona nawaonea FSG, kumbuka kuwa Klopp had to field a midfield of Henderson & Milner at OLD TRAFFORD, baada ya Transfer windows zaidi ya 14 alizokuwa nazo at Liverpool.

We have OUTGROWN FSG.


KLOPP TALES
Do i feel sorry for Klopp? NO, yeye pia ni part ya tatizo? BIG YES.

Well, Klopp loves the idea kuwa yeye ni miracle worker, i mean tales za kuwa he won PL & CL with the likes of Henderson and other bums, zinampa furaha sana na zinamfanya asiwe ruthless enough.

Klopp ni yes man, hana balls za kuwa-call out Owners kwa lack of funding, it took Keita & Henderson injuries kwa yeye kuanza kutoa digs kwa owners, 6-7 days kabla ya dirisha la usajili kufungwa, na hata alivyoonesha his concerns, JOHN had to fly kutoka US mpaka Liverpool kuonana naye, hii yote inaonesha ana POWE kiasi gani, JOHN alikuwa anajua kuwa Klopp ndiyo mtu pekee anayeweza ku-turn fans against them, ni mtu ambaye ameifikisha LFC hapo ilipo, pesa & deals zote wanazopata ni kwasababu ya kazi ya Klopp, ndiyo maana walifanya kila njia kumsainisha mkataba mpya, but Klopp anaijua power yake at LFC? kwanini anaridhika na anachopewa? Conte alitishia kuondoka spurs, timeona Levy na ubahili wake wote aki-spend a lot of pesa dirisha hili, Pep Guardiola always yupo vocal kuhusu signings, na ndiyo maana kila msimu ana-reflesh his team, lakini ni tofauti sana kwa Klopp, ni dhaifu, ni mpole na ameridhika na hali iliyopo, maana kwa kocha ambaye anahitaji kushinda kila siku, asingekubali kuanza msimu mpya na MF yenye Henderson na Milner, matter of fact huwezo kuona Pep ana wachezaji aina ya Henderson na Milner kwenye team yake, Pep aliyofika City aliondoa kina Yaya,Joe Hart, then kina Delph, Kompany, Aguero, Fernandinho, Jesus, Sterling na wengine wengi tu, but kama ingekuwa Klopp mpaka sasa angekuwa na kina Yaya Toure na kina Kompany, because hana balls za ku-call out owners, hana balls za ku-drop deadwoods.

Then, kuna case nyingine, ni kuwa ha-call out owners kwasababu hataki ku-drop his favourite players? this is very much possible, because ukiachana na madhaifu ya FSG, they didnt want to offer Milner & Henderson new contracts, but ni KLOPP ndiye alipigana mpaka wakapata mikataba hii, ambayo ndiyo inaizamisha LFC sasa, ndiyo maana i dont feel sorry for him, kama angekuwa ruthless enough, hawa kina Henderson, Milner, Ox etc wasingekuwepo LFC now, MF ilikuwa inahitaji a major REVAMP, but he chose to give Milner & Henderson new contracts, knowing kuwa FSG ni tight owners, unapo-demand new big contracts kwa deadwoods inamaana focus ya wages inaongezeka, na FSG hawawezi kuleta BIG BODIES (wages kubwa) kama kuna watu wapo wanapokea big wages, na ukweli ni kuwa Henderson, Milner, Ox, Keita wote wanapokea over £100k p/w, Henderson is on £200k, sasa what do you expect from stupid owners like FSG? you think they will back you after this? NO, they wont.

Then, Klopp weakness nyingine ni kushindwa kutambua ni muda gani wa ku-move players on, hii ndiyo ilikuwa downfall yake at Dortmund, nasema hivi kwasababu wachezaji kama Emre Can, Gini, Lovren etc wangeamua kubaki LFC, wangekuwepo mpaka LEO, he's too SENTIMENTAL, na ni kitu ambacho kinam-cost sana, hii weakness ndiyo inafanya tuendelee kuwaona kina Henderson uwanjani, theres no way Milner anatakiwa kuanza games at LFC, wanatucost mara ngapi? kwanini unawang'ang'ania? EXPERIENCE? uzoefu upi kama kila siku wanatu-cost games? LEADERSHIP? uongozi gani kama kila siku wanatu-cost games? funny enough tu wachezaji ambao ni wazoefu, viongozi na world class kama Thiago, VVD, Fabinho, Alisson, Matip, Salah etc, leo game ya Everton, Milner alikuwa anaenda kuzamisha meli, goal la Coady ilikuwa ni mistake ya Milner, thank God ilikuwa ni offside, sasa uzoefu upi? kama mtu akiingia uwanjani analeta tu chaos? uzoefu upi? kwanini World Class Coach kama Klopp unataka kuharibu legacy yako kwaajili ya wachezaji wachache sana?

Yes, nakubali kuwa Milner na Henderson, wametusaidia, na huwezi ku-down play the fact kuwa wali-play part kubwa kwenye our PL & CL winning seasons, but their legs are not working anymore, walikuwa wanatakiwa kuwa phased out, hawana wanacho-offer now kwenye team, Henderson msimu kachomesha goals kama games za Fulham, Crystal palace na Man utd, but i know kama angekuwa fit angeanza game ya Everton, na i'm 100% angechomesha tena, Klopp is blind, proper reds are blind, but kama hizi games 3 za mwanzo hazijawaamsha kuhusu Henderson & Milner, then hawawezi kuamma tena, CL finalist, unaenda OT na kiungo chako kinakuwa nominated na McTominay, kwanini usifumbue macho? atleast zamani kuwa blind kuhusu Milner & Henderson kulikuwa kunaweza kuwa justfied kwasababu wanasaidia japokuwa walikuwa ni average, but physical side of their game zilikuwa zinasaidia, but now hazipo, Henderson cant even track-back now, (angalia goal la rashford baada ya blunder aliyofanya), this is Klopp and FSG fault, na ndiyo maana nikasema hizi TALES zinashabihihana, na zinategemeana, lack of funding, and lack of guts from the manager, FSG hawatimizi majukumu yao because manager wao ni coward, so hawana pressure, nina uhakika FSG wangekuwa tofauti kama manager angekuwa Conte, Mourinho, Pep, Tuchel etc, na ndiyo maana walikuwa makini sana katika kuchagua manager, Kumpata Klopp ni big win kwao, but Klopp naye ameamua kuwa too loyal kwa FSG kuliko fans ambao wanaibeba Club.

Mpira ni full-circle, huwezi kutegemea kumake a step kama huwekezi kwenye team, Klopp alikuwa na wakato mgumu sana kipindi kile cha backline crisis, but msimu huu kaamua tena kuuanza akiwa ni midfield crisis, it means HAJIFUNZI au anaamua kuwa NAIVE, na kuwapa a free pas ma-boss wake, teams around us zinajizatiti kila siku, Klopp & his team bado wanadhani kuwa ni City tu ndiyo our main challengers, NO, mpira una evolve, na nilisema humu kuwa Arsenal na Utd hawawezo kuwa bums forever, Utd have got a very good coach, mwenye clear vision, yes it will take them time, but R
ETH anaweza kuwarudisha wakimpa muda na resources, na of-course itakuwa rahisi because Klopp hakuwa na privelege ya kupewa players kama Casemiro, Eriksen, Antony etc kwenye msimu wake wa kwanza at LFC, so you can imagine kuwa Utd hawako too far off, then kuna Newcastle, they're building something very special, wana 2-3 years za kuanza ku-challenge, then look at Spurs under Conte, etc, then theres Klopp's team, ambayo hana mtu wa kumlalamikia zaidi yake mwenyewe.

FSG & KLOPP are both to blame, na state ya Club ilipo now, but i feel Klopp alaumiwe zaidi kwa kushindwa kuipambanua power yake at LFC, he has won us everything, ana HAKI ya ku-demand TRANFERS, ana HAKI ya kupewa bugdet kit kubwa without sales, ana HAKI ya ku-call out owners at every opportuniy, but kama amechagu kuwa LOYAL kwa owners, then kinachoendelea sasa ni wajibu wake, because yeye kuamua kuwa LOYAL kwa kina JOHN, ndiyo kuna-fanya tulazimishwe kushuhudia wavuvi wa samaki wakihangaika kukimbizana na mpira kwenye midfield, hii ni JUU yake, na matokeo aina yeyote ya uwanjani ni juu yake, because he chose this, amechagua kutetea owners hata kipindi hiki alichokuwa anahitaji new LEGS & BODIES kwenye MIDFIELD.


Having saying THAT, ni kuwa season yetu yote inategemea fitness ya Thiago, Keita na Arthur (LCMs), especially Thiago, maana our whole MF imetengenezwa around him, so asipokuwepo inakuwa ni comedy, bad enough ni kuwa his back ups ni injury prones pia, hence we really needed LEGS in the midfield, and its sad because one strong & aggressive MF (Vitinha, Nunes, Kone, and even Caicedo) wouldve chaged EVERYTHING, but we chose to be NAIVE.

So i believe, Thiago akirudi, We will be fine, but we will need to manage his minutes, and maybe go back for a midfielder in january, (Kone or Caicedo if BM/Birighton watakubali kufanya biashara), and ili kutopata maumivu makubwa, ni vyema tuka-aim zaidi na top 4 for now (Thiago akirudi) then baada ya January, tuangalie tumefikia wapi, maana form tuliyonayo sasa ni mid-table/relegation form, Klopp needs to fix this kwa kile alichonacho mezani, hana haki ya ku-complain, because yeye mwenyewe alisema kuwa yupo HAPPY na this MIDFIELD.

FSG & KLOPP have let us down so FAR, ni wajibu wao kutafuta solution, na ni URGENT.

Nimeisoma yote mkuu.
 
Huu mfumo wanao utumia Arsenal na sisi tungeutumia eti.View attachment 2345145
Ku-switch moja kwa moja kwenda kwenye 4231, kunahitaji a serious change ya the whole MF personnel, meaning kuna certain players watakosa minutes kabisa.

Siyo kwamba hatuchezi au ku-deploy this formation, tunacheza mara nyingi sana in between games, hasa tukiwa tuna-chase goals, but ni baada ya certain players kuwa subbed off.

But, again, formation ya 4231 inahitaji kuwa na a primary creator at the tip of the attacking line, a box to box/or a typical 10, infront of 2 MFs in the middle (Controller & destroyer), hii personnel tunayo at LFC, you can easily deploy firmino as a 10, then now tuna Carvalho, a typical 10 and an inside left winger (Coutinho regen), but jana Klopp tried Carvalho as a left sided 8 in a 433 and it backfired, the kid is not a midfielder or a controller, the whole game was just passing him by, Klopp decided to change it, subbed Firmino who went and occupied the number 10, Fabinho & Elliot waka-form a pivot in a 4231, and we managed to take control of the game, because of we had an extra man dropping in defensive area kulinda our last defensive line in a 2-1 shape, and kusaidia katika ku-stop countless transitions kutoka kwa Everton, then boom Klopp sub on Milner & Robertson, reverted back to 433 and tukapoteza kila kitu, the thing is Robertson & Milner cant play in a 4231, because their not ball carriers, ball to feet Fullbacks, good passers/space creators, sub ya Tsimikas ilikuwa ni mbovu kuliko ile ya Trent, because Trent was struggling to impact the game (nitaeleza ni kwanini), but Kostas was having a good game in a 4231, because he had a lot of space to exploit, him and Diaz walikuwa ni so dangerous kwenye our left side, Everton failed to cointain that area, because of Kostas ball accerelarion, and how it was so easy for him kuwa-recover/stop Everton left side transitions, kwasababu ya uwezo wake wa kuingia kwenye LCM channels na kutengeneza spaces kubwa sana kwa Diaz ku-exploit, ndiyo maana katika kipindi cha dk 15 za kipindi cha pili Diaz saw/enjoyed mipira mingi sana, kuanzia kwenye central areas mpaka wide, but alivyoingia Robertson hali ilibadilika, because he's so direct, na mara nyingi sana anakuwa anacheza pia kwenye touchline/space ya Diaz, wakati wanatakiwa ku-interchange spaces wakati wa ku-attack, but inakuwa ngumu sana kwa Robertson because hana quick feet/possession awareness kabisa, so ni easy sana kupoteza mipira kama ataamua ku-force kuingia ndani (eneo la kati kutokea/sambamba na touchline mbele kidogo ya D/O zone au mbele ya msitari wa katikati), dont get me wrong Robertson ni world class LB, but strength yake kubwa sana kwenye ku-attack ni his well constracted overlaps, ambazo zinakuwa hazina maana kama unacheza na a ball to feet winger kwenye your side, ndiyo maana Robertson amekuwa aki-struggle a lot recently.

LFC fans, wanatakiwa wajue kuwa, kuna players wapo out of form, na kuwa out of form kunachangiwa na mengi sana, na moja wapo ni kubadilika kwa shape kwenye baadhi ya areas, mfano Klopp now is trying to use Trent kama inverted RB (extra body kwenye right sided MF), thus maeneo aliyokuwa ana-cover Trent, sahiv ana-cover salah, Salah anatengeza from the touchline, kitu alichokuwa anakifanya Trent, na ku-limit attacking responsiblities za Trent out-wide, hii ni kwasababu ya kumpa Salah license ya ku-create akiwa wide ili ku-draw out defenders from Nunez, so tumeamua kujaribu kuwatoa kafara Trent/Salah ili kuona ni how Nunez atafit in a 433, because Nunez can play across the front three (right, central & left) but unfortunately, he is not a good link up player kama Firmino (same to Haaland), so hawezi ku-drop chini kuchukua mipira/reycle possession/hold up play/link the attacking line, hence you need Salah & Diaz wide to draw out defenders and give him the license ya ku-attack void/spaces za kwenye box, but kama ukiwa unacheza 4231, huwezi hitaji Salah awe out-wide, because kwenye central area kunakuwa na creator ambaye ana uwezo wa ku-defend transitions na ku-start attack na ku-link na number 9 kwa urahisi sana, huku Salah/Diaz wakiwa free kuattack kutokea pembeni kwa kuingia kwenye box, sasa now Trent anakuwa inverted ili kuongeza body kwenye MF na ku-act kama secondary creator from central areas, ili kutengeneza same shape shape ya 2-3 wakati wa ku-attack.

Formation bado inasumbua, because putting Salah out-wide, it means inakuwa ngumu sana kusaidia kwenye ku-track back tukipoteza mipira, na since Trent anaingia sana ndani tukiwa tuna-attack, RB spot inakuwa wazi, and you need Gomez the last RCB kuwa very alert, thats why imekuwa easy sana kwa right side kuwa targeted for counters, and it seems Trent is not happy na hii shape, you can see in his face and body language

But, everything will change once, Thiago akirudi, Arthur aki-settle, and Keita akirudi as Klopp anafanya hivi because ya kupata control kwenye MF, hata kwa udogo tu ili kusaidia ku-sustain pressure ya opponents attacks, our main creators wakirudi, sidhani kama tutaona haya, because tutakuwa na licence ya ku-control games at ease, Haaland anacheza in a 433 at City na anafunga goals kila siku, ni kwasababu MF ya City ina uwezo wa ku-control games na kutengeneza attacks muda wote, ukiangalia kwa makini utaona kuwa City wana-struggle kidogo kwenye build-up, kama sisi, na hii ni kwasababu Pep anaye anajaribu kumu-ease in Haaland (a proper 9), but kwa wenzetu tatizo siyo kubwa sana kwasababu wana-bodies za kutosha kwenye MF, ndiyo maana huwezi kuona hizi cracks kama ukiangalia kwa juu juu, but at LFC ni tofauti because we are trying to ease in Nunez na kina Henderson/Milner na a 19 year old kid in the midfield, lazima cracks zionekane, but i believe we will be fine Thiago akirudi, na aki-manage ku-stay fit mpaka november kabla ya WC

But, switching moja kwa moja to 4231, ni mpaka Henderson/Milner waondoke at LFC, au Robertson awe dropped, but as long as Henderson/Milner wataanza games, switching to 4231 itakuwa ni impossible, na in football hutakiwi ku-switch formations kila week, kama unaenda na moja basi ni hiyo hiyo, BUT personnel ya kucheza 4231 tunayo, Fabinho, Thiago, Keita, Arthur wote hawa ni pivot oriented players, as ni controller/carriers/possessional oriented MFs, then you 10s kama Carvalho & Firmino.
 
Klopp needs to decide where he wants to.play/deploy Carvalho, the kid is so so so so so special, BUT bad in-game management kunaweza kuka-hinder his career, just play him in preferable/favourable positions.

Playing him as LCM jana ilikuwa ni bad idea, ni kitu kidogo sana but hawa watoto wakianza games kwenye teams kubwa na wakawa wana-perform chini ya kiwango, unakuwa una-destroy their confidence kabisa, hii imetokea kwa Curtis Jones, ndiyo maana mpaka sasa ameshindwa ku-develop.

We have a diamond in our hands, its up to Klopp to make sure, itatuzwa kwa muda mrefu sana.
 
So, Klopp has left out Naby Keita kwenye CL squad this season.

Yes, kulikuwa na misundertanding, as Keita complained about game time, so kama imekuwa serious hivi, why just not letting him go? Dortmund & Leipzig were interested, tungemuacha aende, what is klopp trying to do?

kila siku Klopp alikuwa quoted kuwa Keita hajawahi ku-moan kuhusu game-time, but one time anapoamua ku-moan/complain utanaka kum-freeze out? ku-complain kuhusu game-time, siyo hata utovu wa nidhamu, kila mchezaji anataka kucheza, this is absurd.

Bust up ilitokea kabla ya TW kufungwa, kama alikuwa anataka kuondoka wangemuacha aende, sasa hii ambayo Klopp anamfanyia sio vizuri, na its always BLACK PLAYERS, always.
 
Ku-switch moja kwa moja kwenda kwenye 4231, kunahitaji a serious change ya the whole MF personnel, meaning kuna certain players watakosa minutes kabisa.

Siyo kwamba hatuchezi au ku-deploy this formation, tunacheza mara nyingi sana in between games, hasa tukiwa tuna-chase goals, but ni baada ya certain players kuwa subbed off.

But, again, formation ya 4231 inahitaji kuwa na a primary creator at the tip of the attacking line, a box to box/or a typical 10, infront of 2 MFs in the middle (Controller & destroyer), hii personnel tunayo at LFC, you can easily deploy firmino as a 10, then now tuna Carvalho, a typical 10 and an inside left winger (Coutinho regen), but jana Klopp tried Carvalho as a left sided 8 in a 433 and it backfired, the kid is not a midfielder or a controller, the whole game was just passing him by, Klopp decided to change it, subbed Firmino who went and occupied the number 10, Fabinho & Elliot waka-form a pivot in a 4231, and we managed to take control of the game, because of we had an extra man dropping in defensive area kulinda our last defensive line in a 2-1 shape, and kusaidia katika ku-stop countless transitions kutoka kwa Everton, then boom Klopp sub on Milner & Robertson, reverted back to 433 and tukapoteza kila kitu, the thing is Robertson & Milner cant play in a 4231, because their not ball carriers, ball to feet Fullbacks, good passers/space creators, sub ya Tsimikas ilikuwa ni mbovu kuliko ile ya Trent, because Trent was struggling to impact the game (nitaeleza ni kwanini), but Kostas was having a good game in a 4231, because he had a lot of space to exploit, him and Diaz walikuwa ni so dangerous kwenye our left side, Everton failed to cointain that area, because of Kostas ball accerelarion, and how it was so easy for him kuwa-recover/stop Everton left side transitions, kwasababu ya uwezo wake wa kuingia kwenye LCM channels na kutengeneza spaces kubwa sana kwa Diaz ku-exploit, ndiyo maana katika kipindi cha dk 15 za kipindi cha pili Diaz saw/enjoyed mipira mingi sana, kuanzia kwenye central areas mpaka wide, but alivyoingia Robertson hali ilibadilika, because he's so direct, na mara nyingi sana anakuwa anacheza pia kwenye touchline/space ya Diaz, wakati wanatakiwa ku-interchange spaces wakati wa ku-attack, but inakuwa ngumu sana kwa Robertson because hana quick feet/possession awareness kabisa, so ni easy sana kupoteza mipira kama ataamua ku-force kuingia ndani (eneo la kati kutokea/sambamba na touchline mbele kidogo ya D/O zone au mbele ya msitari wa katikati), dont get me wrong Robertson ni world class LB, but strength yake kubwa sana kwenye ku-attack ni his well constracted overlaps, ambazo zinakuwa hazina maana kama unacheza na a ball to feet winger kwenye your side, ndiyo maana Robertson amekuwa aki-struggle a lot recently.

LFC fans, wanatakiwa wajue kuwa, kuna players wapo out of form, na kuwa out of form kunachangiwa na mengi sana, na moja wapo ni kubadilika kwa shape kwenye baadhi ya areas, mfano Klopp now is trying to use Trent kama inverted RB (extra body kwenye right sided MF), thus maeneo aliyokuwa ana-cover Trent, sahiv ana-cover salah, Salah anatengeza from the touchline, kitu alichokuwa anakifanya Trent, na ku-limit attacking responsiblities za Trent out-wide, hii ni kwasababu ya kumpa Salah license ya ku-create akiwa wide ili ku-draw out defenders from Nunez, so tumeamua kujaribu kuwatoa kafara Trent/Salah ili kuona ni how Nunez atafit in a 433, because Nunez can play across the front three (right, central & left) but unfortunately, he is not a good link up player kama Firmino (same to Haaland), so hawezi ku-drop chini kuchukua mipira/reycle possession/hold up play/link the attacking line, hence you need Salah & Diaz wide to draw out defenders and give him the license ya ku-attack void/spaces za kwenye box, but kama ukiwa unacheza 4231, huwezi hitaji Salah awe out-wide, because kwenye central area kunakuwa na creator ambaye ana uwezo wa ku-defend transitions na ku-start attack na ku-link na number 9 kwa urahisi sana, huku Salah/Diaz wakiwa free kuattack kutokea pembeni kwa kuingia kwenye box, sasa now Trent anakuwa inverted ili kuongeza body kwenye MF na ku-act kama secondary creator from central areas, ili kutengeneza same shape shape ya 2-3 wakati wa ku-attack.

Formation bado inasumbua, because putting Salah out-wide, it means inakuwa ngumu sana kusaidia kwenye ku-track back tukipoteza mipira, na since Trent anaingia sana ndani tukiwa tuna-attack, RB spot inakuwa wazi, and you need Gomez the last RCB kuwa very alert, thats why imekuwa easy sana kwa right side kuwa targeted for counters, and it seems Trent is not happy na hii shape, you can see in his face and body language

But, everything will change once, Thiago akirudi, Arthur aki-settle, and Keita akirudi as Klopp anafanya hivi because ya kupata control kwenye MF, hata kwa udogo tu ili kusaidia ku-sustain pressure ya opponents attacks, our main creators wakirudi, sidhani kama tutaona haya, because tutakuwa na licence ya ku-control games at ease, Haaland anacheza in a 433 at City na anafunga goals kila siku, ni kwasababu MF ya City ina uwezo wa ku-control games na kutengeneza attacks muda wote, ukiangalia kwa makini utaona kuwa City wana-struggle kidogo kwenye build-up, kama sisi, na hii ni kwasababu Pep anaye anajaribu kumu-ease in Haaland (a proper 9), but kwa wenzetu tatizo siyo kubwa sana kwasababu wana-bodies za kutosha kwenye MF, ndiyo maana huwezi kuona hizi cracks kama ukiangalia kwa juu juu, but at LFC ni tofauti because we are trying to ease in Nunez na kina Henderson/Milner na a 19 year old kid in the midfield, lazima cracks zionekane, but i believe we will be fine Thiago akirudi, na aki-manage ku-stay fit mpaka november kabla ya WC

But, switching moja kwa moja to 4231, ni mpaka Henderson/Milner waondoke at LFC, au Robertson awe dropped, but as long as Henderson/Milner wataanza games, switching to 4231 itakuwa ni impossible, na in football hutakiwi ku-switch formations kila week, kama unaenda na moja basi ni hiyo hiyo, BUT personnel ya kucheza 4231 tunayo, Fabinho, Thiago, Keita, Arthur wote hawa ni pivot oriented players, as ni controller/carriers/possessional oriented MFs, then you 10s kama Carvalho & Firmino.

Mkuu kwanini Robertson awe dropped? Ndio tucheze 4231.

Ila naona siku hizi pia Robertson anakaba sana kwa macho watu kupiga klosi upande wake ni kawaida tu . Kama vile mechi na Villarreal mtu yuko nae karibu lakini anamuacha mpaka anapiga klosi mpaka mnashangaa tukawa tunasema anacheza mechi nyingi anachoka apumzike.

Lakini ni vile vile tu msimu huu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom