Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Wakati Halaand akiwaza kutangaza Ufalme EPL mwenzake Nunez anawaza Kupiga Vichwa na kuchora Tattoo.
Nunez ni hatari Ngwaba the boy is terrific Kuna attrick 3-4 humo changamoto akipona jota na Boby akiwa fit atapunguziwa muda wa kucheza , kule city siku Kipara akijua kucheza na Alvarez na haland nyuma yao KDB tumekwisha ,miguuni Kwa Alvarez yamo magoli mengi.
 
Midfield ya Liverpool haina msaada wowote kwa Timu, kuna hilo mwehu linaloitwa Skipper kazi kufoka tu uwanjani! Amshukuru sana Klopp kwa kumletea wachezaji aina ya Keita na OX ashindane nao ndiyomana mpaka leo yeye na Milner bado wanapata number Liverpool.
Eti mwehu!
Akiyanani
 
Halafu anatokea Mpuuzi mmoja anacheza Mechi 1 tu anajiona Star anapiga wenzake Vichwa na kula Umeme! Anyongwe aliyeshauri anunuliwe Nunez.
Yani Red Card yake hajui inavyoicost Timu.
Liverpool ni more than kipaji, bali nidhamu ya mchezo ni muhimu sana.
Hivyo uwezo wa Nunez bila nidhamu sio kitu tunachotaka Liverpool.
Aisee
Anyongwe????Aisee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom