Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

IMG-20220825-WA0008.jpg
 
Kwa sikuizi Liverpool ikicheza sianvalii mechi mm sitaki stress, Klopp anakumbatia wazee wakat Pep anawaamini vijana na kuwaingiza uwanjani, mfano Phil Foden pep alimwamini na kumuingiza kila mechi lakini saivi performance yake ipo high level. Klopp sijui anaogopa nini kuwaingiza hawa vijana tulio nao zaidi ya hapo utamuona Milner na Hendo kwenye First eleven na kesho tupigwe tu hamna namna.
 
Kwa sikuizi Liverpool ikicheza sianvalii mechi mm sitaki stress, Klopp anakumbatia wazee wakat Pep anawaamini vijana na kuwaingiza uwanjani, mfano Phil Foden pep alimwamini na kumuingiza kila mechi lakini saivi performance yake ipo high level. Klopp sijui anaogopa nini kuwaingiza hawa vijana tulio nao zaidi ya hapo utamuona Milner na Hendo kwenye First eleven na kesho tupigwe tu hamna namna.
Klopp hapangiwi too much pride aisee....
7 years 1 EPL ni under performance kubwa mno kwake kama kweli ni pound for pound manager trophy moja inatoa majibu yote na twice amekosa kwa pointi 1 kwa makosa yale yale nwa tumo hatuhami hatuna namna yeye Klopp na ma Yankees wanaona kushiriki UCL inatosha hivyo tuwe watulivu, mkwaja wanaopata kwa kukumbatia wazee na sio kuwekeza kikosini unawatosha...

YNWA
 
Klopp hapangiwi too much pride aisee....
7 years 1 EPL ni under performance kubwa mno kwake kama kweli ni pound for pound manager trophy moja inatoa majibu yote na twice amekosa kwa pointi 1 kwa makosa yale yale nwa tumo hatuhami hatuna namna yeye Klopp na ma Yankees wanaona kushiriki UCL inatosha hivyo tuwe watulivu, mkwaja wanaopata kwa kukumbatia wazee na sio kuwekeza kikosini unawatosha...

YNWA
IMAGINE BEING ASS
 
Kwa sikuizi Liverpool ikicheza sianvalii mechi mm sitaki stress, Klopp anakumbatia wazee wakat Pep anawaamini vijana na kuwaingiza uwanjani, mfano Phil Foden pep alimwamini na kumuingiza kila mechi lakini saivi performance yake ipo high level. Klopp sijui anaogopa nini kuwaingiza hawa vijana tulio nao zaidi ya hapo utamuona Milner na Hendo kwenye First eleven na kesho tupigwe tu hamna namna.
Huyu Hendo mtaongea hadi mtapasuka koo,hamuachi

Mimi mwenyewe siangalii mechi,, naangalia marudio tu...Sitaki stress zinazotokana na upumbavu wa Klopp.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Liverpool will now try to sign a new midfielder, Jurgen Klopp announces: “Yes, I am the one who said we don’t need a midfielder - and you were all right and I was wrong. Now we are going for a midfielder”. #LFC

“We will do something but it has to be the right one”.

Dah mpaka klopp katubu hivi hali ni mbaya sana hapo melwood na hili deal litakua limekaribia kutiki. Hua hasemi hivi kama mambo bado yako mbali kutimia. Itakua ghafla kama deal la Fabinho au Jota. Liverpool we are never done. Nilale sasa kwa amani.
 
Liverpool will now try to sign a new midfielder, Jurgen Klopp announces: “Yes, I am the one who said we don’t need a midfielder - and you were all right and I was wrong. Now we are going for a midfielder”. #LFC

“We will do something but it has to be the right one”.

Dah mpaka klopp katubu hivi hali ni mbaya sana hapo melwood na hili deal litakua limekaribia kutiki. Hua hasemi hivi kama mambo bado yako mbali kutimia. Itakua ghafla kama deal la Fabinho au Jota. Liverpool we are never done. Nilale sasa kwa amani.
Afadhali akili imemrudia..
Inabidi tuchapwe tena vizuri mechi ijayo ili apeleke mambo chap.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Klopp hapangiwi too much pride aisee....
7 years 1 EPL ni under performance kubwa mno kwake kama kweli ni pound for pound manager trophy moja inatoa majibu yote na twice amekosa kwa pointi 1 kwa makosa yale yale nwa tumo hatuhami hatuna namna yeye Klopp na ma Yankees wanaona kushiriki UCL inatosha hivyo tuwe watulivu, mkwaja wanaopata kwa kukumbatia wazee na sio kuwekeza kikosini unawatosha...

YNWA
Klopp anashindwa kuuutumia ushindani wake na Pep vizuri hakupaswa kuwa na EPL 1 mpaka sasa. Na hii inanikumbusha enzi za utawala wa Sir Alex Ferguson na Wenger ushindani uliokuwepo na baadae kuibuka kwa Molinho pale Chelsea ilivyopelekea Arsenal kukosa tena EPL.
 
Kloop AKILI inamrudia Sasa kuhusu kununua Mido. Shida ni kwamba hakuwa na huo mpango ndo maana Hana uhakika Nani atafaa kwa Sasa. Ni panic buying
 
Klopp anashindwa kuuutumia ushindani wake na Pep vizuri hakupaswa kuwa na EPL 1 mpaka sasa. Na hii inanikumbusha enzi za utawala wa Sir Alex Ferguson na Wenger ushindani uliokuwepo na baadae kuibuka kwa Molinho pale Chelsea ilivyopelekea Arsenal kukosa tena EPL.
Ndio tulipo sasa ndugu...
Umemuona Pep anavyokomaa hamwachi kabisa Bernardo Silva hata kwa bei gani maana anajua replacement sio rahisi... Klopp angekua anakomaa hivi mbona angekua na kikosi kipana cha ushindani sio sasa mchezaji mmoja akiwa hayupo kwa wale top performers basi tunalegea balaa, tazama pale Trafford kabla hajaingia Fabinho ndio utaelewa...

Kabadilisha ngia angani sasa anatafuta MF ishu ni muda nwa ngoja tuone.. Ingekua ombi langu angetua Chelsea kwa Gallagher yaaani pale angepata roho ya paka dogo anajielewa sana.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom