Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nunez ni hatari Ngwaba the boy is terrific Kuna attrick 3-4 humo changamoto akipona jota na Boby akiwa fit atapunguziwa muda wa kucheza , kule city siku Kipara akijua kucheza na Alvarez na haland nyuma yao KDB tumekwisha ,miguuni Kwa Alvarez yamo magoli mengi.

Issue sizungumzii uwezo wake! Kinachozungumzia ni Nidhamu yake mbovu, toka mechi inaanza yeye anapiga Viwiko na Vichwa sasa kama ana uwezo akishakula Kadi Nyekundu uwezo wake utatusaidia nini?
 
Taarifa zinadai kuwa Chelsea wako tayari kumlipa Ross Barkley anayelipwa £200,000/wiki ili wafute mkataba ili awe free agent. Inaaminika kuwa Ross Barkley hatakubali labda kama akilipwa mshahara wote

Usimpigie Debe Liverpool hatumtaki 😂😂
Mambo ya kuja kutuganda kama Milner hatutaki.
Nimepeleleza Wachezaji wa Mataifa mengine ni Rahisi kuwaondoa kwenye Timu lakini ukiwa na Mchezaji wa Kiengereza basi kumuondosha kwenye Timu ni kazi kwelikweli.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom