Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Taarifa zinadai kuwa Chelsea wako tayari kumlipa Ross Barkley anayelipwa £200,000/wiki ili wafute mkataba ili awe free agent. Inaaminika kuwa Ross Barkley hatakubali labda kama akilipwa mshahara wote
Hii taarifa ilikosewa kupostiwa, ni la jukwaa la Chelsea, sorry
 
Usimpigie Debe Liverpool hatumtaki 😂😂
Mambo ya kuja kutuganda kama Milner hatutaki.
Nimepeleka Wachezaji wa Mataifa mengine ni Rahisi kuwaondoa kwenye Timu lakini ukiwa na Mchezaji wa Kiengereza basi kumuondosha kwenye Timu ni kazi kwelikweli.
Wrong post sorry
 
Unadhani Kuna kubahatisha magoli 9?
Itaisha na haupati magoli tisa mechi moja
Kwani nini maana ya bahati?...ile ni bahati ndio maana inatokea Mara moja moja sana ndio maana nkasema mkifunnga tena goli Tisa niite mbwa
 
After seeing this, i know you know, forget about new midfielder.
20220829_171825.jpg
 
Milner ✓
Hendo ✓
Fabinho ✓
Jones ✓
Elliot ✓

Tuna Mido 5 hapo ambao 3 tu ndiyo watacheza na Wawili kusubiri Benchi hivyo Klopp atavimba Kichwa kuwa ana Depth tosha la Mido na hatosajili 😩😩
 
Jumatano hii tupo na Newcastle na Eddie Howe na vijana wake wanataka nafasi za Uefa hivyo ni mechi ngumu kwetu.

Bora Jones apone acheze dakika za Milner angalau japo nae akipoteana hua janga lakini sio kama Babu Millie

YNWA

Next season utasikia tu Milner yupo kwenye mazungumzo ya kupewa Mkataba mpya wa mwaka mmoja
 
Milner ✓
Hendo ✓
Fabinho ✓
Jones ✓
Elliot ✓

Tuna Mido 5 hapo ambao 3 tu ndiyo watacheza na Wawili kusubiri Benchi hivyo Klopp atavimba Kichwa kuwa ana Depth tosha la Mido na hatosajili 😩😩
Quantity vs Quality....

Simple maths FSG wanatuchezea sana akili yaaani eti mpaka aje Bellingham ambae ni Henderson mwenye umri mdogo sijui wanategemea miujiza gani kwa yule dogo na BVB washasema hata hio June 2023 sio lazima wauze yaani mitihani sanaa.

Ox contract expiring June 2023
Keita contract expiring June 2023
Milner contract expiring June 2023
Bobby contract expiring June 2023
Kimsingi hawa kwa hesabu walitakiwa wawe sokoni sasa lakini kwa kutega FSG wasiingie sokoni wametuachia hii shinda mpaka sasa....

Inafahamika chagua la kwanza la Klopp MF ni Fabinho, Thiago, Henderson na hakika hii combination hua inambeba sana Henderson na kwa vile hao wawili ni MF maestro wanafanya pale kati ku shine hata mapungufu ya Henderson yanafichwa lakini sasa huyo Thiago kua fit hata nusu ya msimu ni tatizo yaaani ndio maana bila Thiago na Fabinho pale kati panapwaya mno...

Haya ngoja tuone Klopp atakuka na kisingizio kipi Alhamisi dirisha likifungwo..

In the meantime tuwe na maneno ya akina dogo Maximilan ana jambo lake na Henderson au Milner Jumatano

YNWA
 
Tungekuwa na reliable middle hapo ... watatu reliable pengine tungetangaza ubingwa mapema Sana..mfano tungekuwa na Tchoumeni..Beligham.,hata na yeyote mwingine
Hii scouting imetuletea mazuri sana kwa Salah, Mane, Allison, VVD, Robbo nk lakini scouting hao hao wametuletea Keita, Thiago, Ox ambao mpaka sasa purukrushani za EPL wamechemka kabisa kutupa continuity, hua nashindwa kuelewa kama hawa scouting department wanapata upofu ishu za MF maana backline na front wanajitahidi sana kutupa wachezaji wazuri lakini pale kati duh pamepwaya mnooooo.

Soon dirisha linafungwo haya maneno yafike mwisho aisee.

YNWA
 
Next season utasikia tu Milner yupo kwenye mazungumzo ya kupewa Mkataba mpya wa mwaka mmoja
Mpaka sasa kashacheza zaidi ya dakika 100+ meaning Klopp anamuona kama kiungo muhimu wa kumpa ushindi uwanjani... Tazama alivyomkazia VVD pale Trafford ndio utaelewa huyu sio wa kuodoka soon, msimu ujao yumo sanaaa.

Klopp awe makini au hawa watoto wa Malkia ndio anguko lake, Kimsingi msimu huu kama ubingwa haupo Klopp binafsi sitamwelewa kabisa.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom