Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Klopp wetu anasema Robertson na Trent wanatosha kutengeza nafasi za kufunga....Tatizo la Liverpool sio performance sio kucontrol mechi La hasha.
Ni kuthaminisha nafasi kua magoli na kutengeneza nafasi. Hii inatokana na kukosa wabunifu kwenye MF ambao watarahisisha utengenezwaji wa nafasi na wao kuhusika kwenye ufungaji.
Timu zimeshatujulia.. Simpo kabisa wanatusubiri tushambulie na kwa vile wanajua fika Trent na Robbo wakishambulia wanacheza kama ma winga basi tukiponywa mpira ni kaunta moja tu na tutapigika tazama goal la Zaha kiukweli ile mechi wangetulia dogo angepata hata hattrick...
Nilitegemea sana Klopp atakuja kivingine msimu huu kimfumo lakini naona bado tupo pale pale pa last season...
YNWA

