Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mane kamzidi diaz vingi tu, upambanaji, jicho la pasi, umaliziaji, ukubwa(diaz ana utoto mwingi)

Kikubwa kutimiza majukumu ya mwalimu, diaz atajitambulisha kama diaz lakini si kuwa sawa na mane, na kuna uwezekano akafanya vizuri pia, ila ni tofauti mnoo na SADIO.
UPAMBANAJI????kaangalie goli la Jana utaona maana ya upambanaji
 
"When you walk through the Storm hold your head up high and don't be afraid of the dark "


Naona mashabik wengi hapa wameanza kuishabikia liver 2018 draw 2 maneno lundo mara tutammiss mane ,Mara Nunez Hana nidham,Mara Klop hasajili(wakat haohao walisifia Nunez alivyokuja)

Hiv Kama aliondoka Torres ,akaondoka Suarez akaondoka Coutinho hiv sisi Liverpool ni wa kummiss Mane kweli???
Cyo cc tulikosa ubingwa kwa kudraw hvhv na huyo Mane akiwepo??
 
"When you walk through the Storm hold your head up high and don't be afraid of the dark "


Naona mashabik wengi hapa wameanza kuishabikia liver 2018 draw 2 maneno lundo mara tutammiss mane ,Mara Nunez Hana nidham,Mara Klop hasajili(wakat haohao walisifia Nunez alivyokuja)

Hiv Kama aliondoka Torres ,akaondoka Suarez akaondoka Coutinho hiv sisi Liverpool ni wa kummiss Mane kweli???
Cyo cc tulikosa ubingwa kwa kudraw hvhv na huyo Mane akiwepo??
So hutaki watu waongee?
 
"When you walk through the Storm hold your head up high and don't be afraid of the dark "


Naona mashabik wengi hapa wameanza kuishabikia liver 2018 draw 2 maneno lundo mara tutammiss mane ,Mara Nunez Hana nidham,Mara Klop hasajili(wakat haohao walisifia Nunez alivyokuja)

Hiv Kama aliondoka Torres ,akaondoka Suarez akaondoka Coutinho hiv sisi Liverpool ni wa kummiss Mane kweli???
Cyo cc tulikosa ubingwa kwa kudraw hvhv na huyo Mane akiwepo??
Lazima ukweli usemwe..
Jamaa tutammiss sana tu.

Haijalishi tumeanza lini kushangilia ila lazima tuseme.
Draw ,tena tumecheza na timu mbovu !
Aisee Ndio tunadrop hivyo!
Halafu tuanze kuwatuma akina Gerrard wakamfunge kipara Kwa uzembe wetu wa draw kizembe na kupoteza points.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
tumedroo zote, kisha tunakuja ibuka katikati tunafukuzana na City tunaachwa point 1 tunajifariji kwamba hata hivyo tulianza vibaya hatukutarajiwa kuleta ushindani tuliouonesha.
Sijui tutamtuma tena Gerrard akamfunge kipara ili tushinde.
Yaani baadaye tutatafutana.. tunasubiri tushinde kimiujiza.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo la Liverpool sio performance sio kucontrol mechi La hasha.

Ni kuthaminisha nafasi kua magoli na kutengeneza nafasi. Hii inatokana na kukosa wabunifu kwenye MF ambao watarahisisha utengenezwaji wa nafasi na wao kuhusika kwenye ufungaji.
 
Hapana! Hatuwezi kuwa kama Arsenal ya last season kila mechi Red Cards.
Miongoni mwa Timu ambazo ni nadra sana kupata Redcard basi Liverpool kutokana na kucheza kwa nidhamu! But huyu Boya anataka kutuletea ya Suarez na Baloteli.

Msimu uliopita kamasijakosea tulikiwa na red card moja tu ya Robertson kwenye mechi ya spurs ya kwanza.

Nidhamu yake sio nzuri halafu amekuwaana lalamika sana baada ya kucheza mpira hata diaz alikuwa na mambo hayo alivyokuja akianguka au kuguswa tu kidogo kanyosha mikono kwa refa,baadae akaacha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom