Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Huyu mtoto TAA kukaba bado hawezi
Too much sasa from Arnold tulifungwo na Real Madrid fainali na sasa ligi kashafungisha kwa kukosa umakini wake kuzuia yaaani hana kabisa instinct kiasi wachezaji sasa washajua namna ya kujiseti maana hataruka kuzuia yaaani kumbuka goli la kwanza la Fulham ilikua aruke lakini ndio akawa sapoti kwa Aleksander...

Makocha wa mabeki inabidi wawe na mbinu za ziada kwa huyu dogo.

YNWA
 
Too much sasa from Arnold tulifungwo na Real Madrid fainali na sasa ligi kashafungisha kwa kukosa umakini wake kuzuia yaaani hana kabisa instinct kiasi wachezaji sasa washajua namna ya kujiseti maana hataruka kuzuia yaaani kumbuka goli la kwanza la Fulham ilikua aruke lakini ndio akawa sapoti kwa Aleksander...

Makocha wa mabeki inabidi wawe na mbinu za ziada kwa huyu dogo.

YNWA
Mfanyeni winga
 
Too much sasa from Arnold tulifungwo na Real Madrid fainali na sasa ligi kashafungisha kwa kukosa umakini wake kuzuia yaaani hana kabisa instinct kiasi wachezaji sasa washajua namna ya kujiseti maana hataruka kuzuia yaaani kumbuka goli la kwanza la Fulham ilikua aruke lakini ndio akawa sapoti kwa Aleksander...

Makocha wa mabeki inabidi wawe na mbinu za ziada kwa huyu dogo.

YNWA
Huyu dogo kukaba bado hawezi.
Hata kumnyang'anya adui Mpira huwa anapata tabu mno..
Nimemuangalia sana tangu last season mzunguko wa mwisho na manure.
 
HaHaHaHaHa
Tunatamani achapwe chapwe maan ndipo hua zinamkaa vizuri.
Lakin taabu ni kwetu siye tulioichagua wenyewe.
YNWA
Hii timu mwaka huu ipo kutunyonga😂😂😂😂
Nacheka lakini naogopa,,sijui nitaweka wapi sura yangu 🤣
Jinsi nilivyosumbua watu msimu uliopita tukiwa Kwenye peak.
 
Timu imejaa wagonjwa na bado tunaambiwa ma good times are coming kwa mwendo wa 4G 🤓🤓🤓

Some disappointment in life turns to be blessing = tuchapwe kabla ya dirisha kufungwo ili Klopp na Ma Yankees waache bla bla....

Edwards kafanya mengi mazuri sana lakini usajili wa Ox na Thiago ni janga kwa Liverpool hawana fitness ya ku fit uchezaji wa Klopp... Klopp anahitaji Toyota all seasons car yeye kanunua Euro cars choicy na expensive to maintain...
na hili la kumpa Keita mkataba mpya ndio nasema duniani maajabu yapo.

Klopp wala asijifiche kwa Bellingham asipoleta ubingwa msimu huu EPL itakua jambo njema aachie timu aje kocha mwenye kifua cha kutimua hawa ma dead woods wote... Bora kua na kikosi kiduchu cha wachezaji wazima kuliko hii ya Liverpool ya sasa kumejaa wagonjwa...

Tukumbushane tu ni kwamba Manchester United na Arsenal wamepoteana hili ilikua advantage kwa Liverpool kujizolea makombe EPL season after season lakini tumempa kipara platform kuifanya EPL farmers league...

Chelsea, Arsenal na Manchester United hawatapoteana milele one day watarejea kwenye ubora wao hivyo hii nafasi tulionao sasa ni adimu sana kutokea... Tazama Liverpool ilivyopoteana miaka ileee nini kilitokea Babu Fergie alijikusanyia EPL za kutosha i guess 13 yaaani hii ilitakiwa iwe case study kwa FSG lakini wenyewe wamekaa na kuona Big 4 ni ushindi tosha...

Tutaelewana tu.

YNWA
Mwaka huu nina wasiwasi na sisi tunaenda kupoteana😂
 
Yaani hapo ndio napo washangaa watu, mimi siwezi kuwarahumu Robertson na TAA .

Huwezi kuwa mbele na nyuma utachelewa tu sehemu moja.

Akichelewa kurudi tunatoa rawama asipo panda mbele akikaa tu nyuma tunasema wamemzibiti haendi mbele ndio maana hatufungi
Bado haizuii ukweli kuwa uwezo wake wa kukaba ni mdogo.
 
Klopp muoga amweke TAA RW, nyuma yake hata acheze our grandpa himself Millie, patakua strong side (but i do not recommend it hahah) better Gomez.

Wachana na hii, huku mjini taarifa inasema "Keita is unhappy" taarifa nzuri. Twende Wolves tukachomoe mtu juu wameshamchukua M.Nunez.
 
Klopp muoga amweke TAA RW, nyuma yake hata acheze our grandpa himself Millie, patakua strong side (but i do not recommend it hahah) better Gomez.

Wachana na hii, huku mjini taarifa inasema "Keita is unhappy" taarifa nzuri. Twende Wolves tukachomoe mtu juu wameshamchukua M.Nunez.
Kieta is unhappy 😂😂😂at last some good news 🔥🔥🔥🔥tena atoe na transfer request asepe zake mapema sana.... Utasikia Klopp akipambana apewe miaka mitatu mkataba ndio utajua Klopp ana watu wake....

Klopp kwa Keita he should swallow his pride for once kwamba kwa huyu dogo ilikua biashara mbaya kwa klabu kuzidi kumng'ang'ania wala hakumsaidii Klopp wala Liverpool zaidi ananufaika Keita....

Klopp for once atupe raha kwa kuodokana na hii balaa.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom