Newzealand360
Member
- Aug 10, 2022
- 88
- 122
Ko
Kocha wenu mwenyewe simuelewagi jamaa angenyoaga basi. Yaani sijui anaumwa nini![]()
Kocha wenu mwenyewe simuelewagi jamaa angenyoaga basi. Yaani sijui anaumwa nini![]()
Masuala ya nywele ni yake binafsi.
Hawa nguchiro wamenipa na homa ya ghafla 😡😡😡😡Sisi tulijua tulichonacho ila ni kujitoa tu ufahamu..
Sikukubaliaana kabisa na liver kumuondoa Mane.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
VVD naye anachoka.Game 2
midd assist 0
midd goals 0
hii high line inatufungisha kila siku ila klop haioni
VVD ameshakua mvivu anakabia macho
Mimi nilipata homa tangu wamuachie Mane hawa washenziHawa nguchiro wamenipa na homa ya ghafla
But we'll never walk alone![]()




Weka akiva ya maneno mkuuAisee nilikuwa nimembonji kimtindo ndio nakurupuka apa ivi niaje ..ngoja kwanza niwape pole halafu ncheke .. hahahahahah
Sasa nyie kuku hii ligi mutatoboa kweli? Bado muna amini Salah na Diyaz watawafikisha golgota salama? Nunez mtu anayeruka ruka uwanjani Hana nidhamu adi kumezeshwa likadi lekundu ndio munamtegemea aje apige back to back Kama Firmino na Mane? Hahahaha tuseme tu ukweli kila Jambo Lina mwwnzo na mwisho wake. Huu Ni msimu wa mwisho wa Klopp kutamba. Huu msimu tutajua mamluki na mashabiki wa kweli wa hii timu takataka Ni akina Nani
Kama munamshindwa CP ..Spurs mutamuweza kweli? Game ijayo Niko na Manjestaa he mutatoboa kweli hahaha ..
Hii front ya liver ya Sasa sii tishio Tena Bali Ni kichekesho![]()
Nunez aliona awasaidie mabekiAdv ya red labda keeper, Middle au Beki, sio striker bro




Punguza mdomo dada,this is not liverpool way,naamini hizo changamoto zitakua addressed vizuri na manager otherwise muda utamuhukumuSasa Liverpool si tumeyataka wenyewe
Tunauza kijana aliyelelewa akaleleta tunaenda kuokota mtoto ameshindikana amejaa michoro mwili mzima.
Tunavuna tulichokipanda.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Ngoja tuone.Punguza mdomo dada,this is not liverpool way,naamini hizo changamoto zitakua addressed vizuri na manager otherwise muda utamuhukumu
Ndg yangu doze doze ,kushinda ,kufungwa na sare ndio matokeo na wachezaji wa amerca kusini hawaogopi chochote Wana Imani na vipaji vyao nidhamu sio kipao mbele.Tokea umalizike usajili sijawahi kuongelea chochote kuhusu usajili but leo kwa mara ya kwanza nasema kwamba Huyu Nunez ni mpuuzi kama mpuuzi mwengine tu.
Yani Timu imeshafungwa yeye anatufanyia Utovu wa nidhamu?? Ana tofauti gani sasa na Baloteli?
Liverpool si Timu ya Watovu wa nidhamu hivyo wasituletee Machezaji aina ya Nunez yaliyokosa malezi ya Familia.
Mbona unapenda kusema ukweli?Timu imepanic nyumbani. Palace ni wagumu kufungika mpaka uwe mjanja kama Arsenal
Linamlaga takoHuyu klopp amekazana na lizee milner-stupid sana.
Ndg yangu doze doze ,kushinda ,kufungwa na sare ndio matokeo na wachezaji wa amerca kusini hawaogopi chochote Wana Imani na vipaji vyao nidhamu sio kipao mbele.
Nunez n mchezaj mzuri Sana ila anatakiwa ajengwe kisaikolojoa ajue mpira wa epl n kaz na nguvu sio ule wa Portugal laini laini
Aache panicking za kijinga utulivu ndio msingi
Na pale katikati klopp apafanyie kazi vingnevyo hata top 6 tutaisikia kwenye Bomba
Timu Kama fulham crystal palace znatusumbua je tukikutana na za kariba yetu itakuaje
Mid ipo exposed Sana Haina ubunifu wowote
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Nimependa utulivu wako,Mane tunammiss sana lakini hatuna namnaNgoja tuone.






...