Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Itakua hivi kwanza wanajua hawaaminiki kwa hio watapambana sana kuonyesha mashabiki na ma doubters kwamba wapo kikazi zaidi tuwe na amani....

Like serious uwe na amani kwa MF ya Hendo, Kieta, Ox muda wowote wanatua wodini..

Ishu ya pili ni Klopp asije onekana mzushi kuwatetea MF wake.

YNWA
Itakua hivi kwanza wanajua hawaaminiki kwa hio watapambana sana kuonyesha mashabiki na ma doubters kwamba wapo kikazi zaidi tuwe na amani....

Like serious uwe na amani kwa MF ya Hendo, Kieta, Ox muda wowote wanatua wodini..

Ishu ya pili ni Klopp asije onekana mzushi kuwatetea MF wake.

YNWA
Hahah hatuna namna ni kumuona dkt na kuanza dose ya kukabiliana na taabu za pressure...
 
You may end the day below top 10, msifanye mchezo. Palace wakiwa smart, wanaweza kupata bao la pili within 10 minutes of the second half
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom