Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Thiago wiki 5 nje hapo tegemea baada ya WC ndio atarejea, klopp sturbonnes is going to cost him much, na ndipo watu watakuja 8 season 1 pl tittle hatakua na justification zozote zaidi ya failure
Klopp hapangiwi jamaa....
Nishasema regardless ya sare ugenini Fulham pale kati pamepoa pamepwaya sijui namna gani patachangamshwa na Klopp maana ni wale wale wagonjwa na loss of form.

Muda hua haukwepeshi tutayaona tu mpaka break ya Kombe la Dunia itajulikana niaje.

YNWA
 
Remember last summer where we had Jordan Henderson's contract agreed for a few weeks but we waited until deadline day to announce it because the club thought it would silence and appease those wanting a new signing?
Utadhani kama ana hisa Liverpool.

Angekumbuka yaliyomkuta Wenger baada ya invisibles wala asingefanya mzaha na Midfield.

YNWA
 
Nasoma MF mdogo mdogo wanaanza kupona hivyo tetesi ni kwamba hakuna haja ya usajili, Keita atakuwepo Jumatatu vs Eagles, Jones hayupo mbali, Ox ni mpaka October. Thiago sijaona timeline.

Muda unasogea tutaona hali ni vipi kimatokeo.

Conte ame assemble kikosi powa sana wasipopata majeruhi ana kikosi kipana cha kuleta upiklnzani. Kimsingi Big 4 msimu huu itakua kaa la moto sare au kipigo hairuhusiwi.

YNWA
Nimeishia kutabasamu baada ya kusoma neno baada ya neno kwenye para ya 1.
 
Screenshot_20220812-182753.png
 
Why worry tuna Milner, Henderson, Ox, Keita proven serial winners....

Lets get used to this mapema the better otherwise labda Klopp aoteshwe kabla dirisha halijafungwo nini kitatokea kukomaa na hawa wagonjwa...

Hivi ni macho yangu tu ama Fabinho amechuja tangu mwaka ugeuke huu ile consistent haipo tena aidha anazidiwa na kazi pale kati ndio hali halisi...

YNWA
we haya tu
 
Waumie tu

Jamaa wanacheza nonstop kama mashine yaani
Liverpool ni wauaji aisee
Ma robot....

Aafu unasikia Klopp anasema Keita apewe mkataba mpya ndio utajua Klopp hua anakufa na tai shingoni.

Kieta, Thiago na Chamberlain ni failed project kabisaaaaa na hawa ndio anguko la Klopp kutoshinda makombe ya nguvu UCL na EPL mfululizo. History ya majeruhi yao hua hawaamini wenyewe mpaka sasa wapo Liverpool duuh duniani bahati ipo.

YNWA
 
Hiki kimuhemuhe chake cha kujidai atatenda miujiza bila kikosi kipana,mwaka huu kitatutokea puani.
Hahahaha mtasubiri sana Klopp hapangiwi kamwe....

Yupo fresh tu kubaki na wagonjwa wake na ana amani kama zote kwamba tunakwenda fainali UCL na makombe tunachukua.

Japo hua tunatoa sifa sana kwa Edwards lakini kwa hili la Gini na Mane kumwachie wasepe wakiwa ni Mr Fit Liverpool ni janga kubwa.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom