Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mi ninacho kiona Darwin Nunez hatuta mchukua, hatutaweza toa €80M kumchukua Darwin Nunez, hivyo tutawajambisha Man u apande Dau hata kwa €120M alafu sisi tunaenda kutafuta striker matata kwenye tim ndogo ndogo kwa hata €30 alafu unajua kitakacho mkuta huko Man U huyo Darwin Nunez? mungu ndio anae jua, atacheza Europa huko .
 
Hii kitu niliamini itatokea maana isinge ingia akilini Nunez kujoin United na kuitosa Liverpool
Kutesa kwa zamu ndugu yangu. Sasa ni zamu yetu angalau na sisi tuwapate hawa special talents.

Kuichagua Manchester United ni sawa na kukalia bomu ndugu maana kama hawatabadilika hata huyo ETH nae safari hioooooo.

Kwa sasa Liverpool wanazungumza na Benfica na dogo atasaini miaka 5.

Manchester City wao waliwai kwa Erling ilikua ni lazima tuwajibu kwa usajili huu au Christopher Nkunku.

Mapema wamlizane na huyu dogo waanze kusaka kiungo mmoja kuleta mapinduzi pale kati.

YNWA
 
Man U wanalialia huko kwenye page zao 😂😂😂
Mazungumzo yanaedelea aisee. Ni muda tu dogo atangazwe na inakua rahisi kwa sababu amevutiwa na Liverpool chini ya Klopp nadhani na home boy Surez atakua katia neno pale. Kingine ni ile impact ya Diaz Liverpool imempa hope ana nafasi ku shine.

YNWA
 
Enzi hizo za quadraple marehemu alikuwa na Domo kubwa
championsleague-20220504-0002.jpg
 
Screenshot_20220609_233825.jpg

😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Hivi hawa Manchester United walifika aje hapa walipo jamani kama hua ni ndoto lakini kumbe kweliiiii......
Finished club.

YNWA
 
Screenshot_20220609_233648_com.android.chrome_edit_715107946567963.jpg

Cavani anamshauri dogo ahamie Manchester United...
Surez anamshauri ahamie Liverpool
Diego atakua anamshauri ahamie Atletico Madrid.
Pazuri sasa anawakilishwa na Jorge Mendes wakala wa wachezaji wengi kama Ronaldo, Fabinho, Silva nk ni mwenye uzoefu wa haya mambo hivyo jibu la huyu dogo mapema sana tutalipata.

Pazuri ni kwamba Liverpool hatujawai kua na plan A pekee kunakua na Plan B, C nk hata Salah hakua plan A mbali plan B...

Na kingine naona Liverpool hawapo tayari kumuuza Mane kabla dogo Nunez hajasaini.

Mambo ni motoooo

YNWA
 
Screenshot_20220609_234905.jpg


Pain killer unamuona Kipara anatembeza kibakuri...

Tetesi dogo Bernardo kama sio dirisha hili basi lijalo huyoooo Barcelona yaaani yule dogo sio wa kumwachia kabisaaaa... Na kama ame mind fulani dirisha la June 2021 walimtia sokoni hivyo moyo wake upo hukooo Barcelona..

Msitucheke ya Mane soon yatawakuta.

YNWA
 
Just another season for Mo Salah 🤷

⚽ 31 Goals
🎯 15 Assists
🏆 Carabao Cup
🏆 FA Cup
👟 PL Golden Boot
🎯 PL Playmaker
⚽ PL Goal of the Season
🏆 PFA Players’ Player of the Year
🏆 PFA Fans’ Player of the Year
🏆 FWA Footballer of the Year
🏆 LFC Player of the Season
 
View attachment 2255846

Pain killer unamuona Kipara anatembeza kibakuri...

Tetesi dogo Bernardo kama sio dirisha hili basi lijalo huyoooo Barcelona yaaani yule dogo sio wa kumwachia kabisaaaa... Na kama ame mind fulani dirisha la June 2021 walimtia sokoni hivyo moyo wake upo hukooo Barcelona..

Msitucheke ya Mane soon yatawakuta.

YNWA


Bernado Silva Bado yupo Sana ...!

Gundogan pamoja na kutupa PL lakini anaweza asiwepo msimu ujao ...!

Kwenye football hivyo ni vitu vya kawaida Sana
 
Kimpira , Son anastahili kuwekwa hapo Kwa mane kama vigezo ni effort. Nashangaa imekuaje pale, na Ronaldo anafanya nini humo?
Imagine dogo Son goli 23 bila penati na hayupo kikosi bora cha msimu yaaani hiki kikosi bila Son sio kamilifu.. Ronaldo hata sub asingeonekana kabisa.

YNWA
 
Bernado Silva Bado yupo Sana ...!

Gundogan pamoja na kutupa PL lakini anaweza asiwepo msimu ujao ...!

Kwenye football hivyo ni vitu vya kawaida Sana
Yeah hawa wachezaji sio wa kuwang'ang'ania sana kama amepata kwingine atapata dakika zaidi ama mpunga zaidi basi anasepa..

Gundogan naona nafasi yake na Fernandidho watakua wanapisha damu changa...

Bernardo sio wa kumwachia kabisa dogo mapafu ya paka. Msimu ule bei yake ilikua juu mno £60m lakini ingelikua mie mbona ningeitoa.. Kwa sasa Pep mwenyewe hataki aodoke hivyo naona atapewa mkataba mpya na mpunga wa maana.

Itakua pigo kwenu kuwaachia wote kwa pamoja Fernandidho, Sterling, Gundogan na Silva.

YNWA
 
Benfica have received Liverpool bid for Darwin Núñez, formal proposal after verbal talks - €80m plus bonuses. #LFC

Discussions ongoing on €15/20m add-ons, LFC want installments. Potential five year deal.

Man United in contact with agent & denying any meeting with ten Hag.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom