Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Namimi nashangaa
Hii timu kuishabikia inahitaji uwe na roho ya chuma aisee.

Ngoja tuwe na subira Klopp amejipanga aje.. Naona dogo Nunez anatajwa sana kuja kwetu lakini hawa FSG sioni wakitoa ule mpunga unaotajwa...

Kipara kashapata Erling na mpango ni MF mmoja na beki mmoja wa kushoto. Huku kwetu bado habari hazisomeki kabisa lakini ngoja Nations League, Afcon, na mechi za kirafiki iishe tuone wanaingia aje sokoni

Muda utasema.

YNWA
 
Ni ajabu unamuacha Gini na Mane lakini unamng'ang'ania Milner na Henderson yaaaaani 2 super bums... Damn Pep bingwa tena na tena.

YNWA
Mkuu huwa kuna sheria ya angalau wachezaji wazawa 6 (sina uhakika na idadi) kwa timu za kiingereza..
Walifanya hivyo kulinda vipaji vyao..

Usishangae kuona Milner anakaa hapo.. Japo alishastaafu timu ya taifa lakini anabalance idadi ya wachezaji wazawa
 
Liverpool are planning to prepare an opening, verbal bid for Darwin Núñez to test water with Benfica. Proposal could be around €80m with add-ons. Manchester United also in contact with Núñez’s agent. #LFC

Both clubs guarantee they have no intention to enter into bidding war.

Badala wafanye bid moja kwa moja wao wana test water yaani hii tim bhana , najua tu Liverpool hawawezi toa €80m FSG mabahili mno , tukizubaa Man U watamchukua huyu mwamba.
 
Liverpool are planning to prepare an opening, verbal bid for Darwin Núñez to test water with Benfica. Proposal could be around €80m with add-ons. Manchester United also in contact with Núñez’s agent. #LFC

Both clubs guarantee they have no intention to enter into bidding war.

Badala wafanye bid moja kwa moja wao wana test water yaani hii tim bhana , najua tu Liverpool hawawezi toa €80m FSG mabahili mno , tukizubaa Man U watamchukua huyu mwamba.
Tayali ishakuwa official proposal na sio Wana plan.
Screenshot_20220608-193327_1.jpg
 
Mkuu huwa kuna sheria ya angalau wachezaji wazawa 6 (sina uhakika na idadi) kwa timu za kiingereza..
Walifanya hivyo kulinda vipaji vyao..

Usishangae kuona Milner anakaa hapo.. Japo alishastaafu timu ya taifa lakini anabalance idadi ya wachezaji wazawa
Aisee hakuna namna kasha saini huyu ni wetu mpaka June 2023.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom