Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Next season is 🔥🔥🔥🔥
 

Attachments

  • IMG_20220611_192248_846.jpg
    IMG_20220611_192248_846.jpg
    184.2 KB · Views: 15
Yaani mwaka jana kama Brighton wangekua na hiyo Paund 25 M wangemnunua Nunez 😁😁😁
 

Attachments

  • IMG-20220611-WA0023(1).jpg
    IMG-20220611-WA0023(1).jpg
    57.5 KB · Views: 20
wamepigwa kwa mdomoni ila kwa moyoni tunasikitika kinoma kumkosa huyu Christiano Ronaldo wa zama zijazo.
Huyu dogo akilelewa vizuri baada ya miaka 3 mbele atakua ndio mrithi halali wa Ronaldo.
Dogo futa hii umemkosea sana heshima gwiji letu CR7 kocha sio fala kumuacha aende.
 
wamepigwa kwa mdomoni ila kwa moyoni tunasikitika kinoma kumkosa huyu Christiano Ronaldo wa zama zijazo.
Huyu dogo akilelewa vizuri baada ya miaka 3 mbele atakua ndio mrithi halali wa Ronaldo.
😂 😂 😂 😂 Zama za Ronaldo na Messi sasa zipo hatarini kua historia. Wafuatao wanatajwa kua waridhi wa hawa magwiji wa kwanza ni Mbappe, wa pili ni Halaand na wa tatu ni Darwin Nunez.

Muda utasema ni nani sasa atasepa na kufamania nyavu kuanza kusaka rekodi mpya.

YNWA
 
Dogo futa hii umemkosea sana heshima gwiji letu CR7 kocha sio fala kumuacha aende.
CR7 kwa sasa ubora wake ni kibiashara zaidi kuliko uwajani maana zile gemu muhimu alionekana tu gemu ya Tottenham EPL. Huyu sio tegemeo kwa kurudi kwenye ubora wenu atawachelewesha sana.
Tetesi ni kwamba hakua chaguo la Ole maana hakuedana na mfumo wake lakini pale aliposema anahamia Manchester City basi akawachanganya chap kumrudisha Trafford ndio ikawa mwisho wenu EPL na sasa hata Big 4 mnaisaka kwa kushinda sana.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom