Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
YNWA
Msimu hakuna alietegemea utaisha hivi kwetu wengi walisema haoo nafasi ya nne hata huko UCL nako hivyo hivyo lakini vijana wetu wamejitoa sana kutupa burudani ya kutosha.Yaan Liverpool ndio huwa nawakubali hapa , Mnaamsha Amsha za kutosha.
Hongereni na poleni
Gunners msimu ujao tutakimbiza pia ngoja Arteta aweke mambo sawa. Hatutoruhusu mchukue point 6 tena.
Hii ishu imekaa kimtego sana yaaani.Next season
Virgil 30+
Frimino 30+
Salaha 30
Henderson 30+
Thiago 30+
Mane leaving.
Klabu isipojipanga yatawakuta ya Barcelona.
History tells us that Real Madrid walishawahi kubeba kombe la UCL fiveth times from 1955/1956 to 1959/1960 by that time Santiago Barnabeu was the president of Real Madrid.Ninyi mnazo nyingi wakati wengine wamelala, atleast Real Madrid wanaproove kwamba walistahili na zile za nyuma
Mabahiri sana acha aondoke tu akapate mpunga mrefu licha ni kuwa Liverpool ni timu yangu waache ubahiri.Uongozi wa liver Ni wakipumbavu Sana, wamegoma kumuongezea mshahara mane.
Achana nasisi kapambane na tim lako bovu hukoMsimu ujao nyie kuku ndio mnapoteana mazima kabisa, tena bora hata msimu huu mmeambulia makombe ya kuku.
Nottingham Forest will be competitive team kweli maana things have changed a lot these days but where is Sunderland [never won UCL] ? hahahaa They have been promoted to championship on they are way to EPL.
No Messi no Ronaldo hahahaa things are changing a lot.Kikosi bora cha Uefa msimu huu.
View attachment 2243676
Siwaoni Chelsea hapo. Asanteni kwa kushiriki jamani.
YNWA
Bayern siyo walipa mpunga mrefu.Mabahiri sana acha aondoke tu akapate mpunga mrefu licha ni kuwa Liverpool ni timu yangu waache ubahiri.
Huyu beki Liverpool mlipata mtu hana maneno mengi ila kazi anaifanya
Liverkuku akicheza mashabiki wake duniani kote wanatapika na kuharisha kama kuku mwenye kideri.

...Kumbe Liverpool pia umewatengenezea kibwagizo..