Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,365
- 21,743
[emoji91][emoji28][emoji28]
Msahau EPL kabisa nguvu za hamshaamsha zinaelekea kuisha. Msimu ujao ushindani utakuwa wa City na Newcastlenawaza sijui klop asajili watu gani ili 23 tunyanyue kwapa za epl,,
but i hope mwakani tutanyanyua, mana hata ule msimu wa 19 tulikosa kwa point 1, then 20 tukanyanyua.......
vijana wamefanya kazi nzuri sana mwaka huu
Baharia kwa mbali
Yule nilisoma mahala wanataka £100m kumuuza hivyo tatugusi hio bei. Angalau kwa Darwin naona angetufaa maana pia anaweza kucheza kama namba 10.Natamani wamuone dogo wa Napoli Osmihen😠😠
Definitely.That's why nimetumia neno unnecessary rotation
Pain killer hongera sana kwa kutwaa ubingwa hakika unastahili..next season yupo [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]View attachment 2234800
Tuna FA na Carabao.Farijianeni kwa maneno haya![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hamlambi kitu
Kama Madrid alivyochukuwa UEFA wakati team zinaalikwa kwa card kama za harusi miaka hiyo black and white.Oyaaa hivi hayo makombe 19 mliyochukua huku mkidai ni ya epl mnauhakika kweli mlichukua ,maana ilikuwa B.C miaka ya 1400huko [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] wahi Duka la dawa.Huoni aibu kuishabikia city?