Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hii tuzo wamempa tu hakustahili huyu mtu

Mafanikio yetu tunayopata sasa Hivi mnaanza kutuchukia pasipokuwa na sababu za msingi,sasa huyo ana clean sheet 20, kwanini asipewe golden globe? Golden glove anapewa kipa mwenye clean sheet nyingi.

Unataka apewe nani? Yaani ni chuki pasipokuwa na sababu za msingi.mafanikio yetu sasa yanawachanganya sana.
 
Mafanikio yetu tunayopata sasa Hivi mnaanza kutuchukia pasipokuwa na sababu za msingi,sasa huyo ana clean sheet 20, kwanini asipewe golden globe? Golden glove anapewa kipa mwenye clean sheet nyingi.

Unataka apewe nani? Yaani ni chuki pasipokuwa na sababu za msingi.mafanikio yetu sasa yanawachanganya sana.
Mafanikio yenu sisi hayatuhusu Wala hatuna chuki na ninyi maana kila timu inatamba kwa wakati wake na msimu ukiwaendea vizuri. Ninyi mafanikio yenu Ni ya muda tu hata ivyo mumefika mbali kiasi hongereni
#CFC💙💙
 
Liverpool mnaongea saaana huu msimu hata man u hajawahi kuwa proud kama nyie
Sasa mjiandae city atachukua makombe mfululizo hadi haaland atakapo ondoka city
Just mark my words
All in all we're together on UEFA final
But ata mkipigwa ni poa tu coz mnaongoza kwa shombo/shit

Shombo na shit gani watu wa Liverpool wanaongea?

Namba zinaongea Liverpool wamefungwa mechi 3 tu mashindano yote mpaka sasa kwenye Epl hapo mechi mbili Na uefa mechi 1, hakuna timu iliyofanya hivyo kwenye ligi tano bora duniani.

Sasa na kwa hilo utasema Liverpool wanajisifia lakini ndio ukweli huo.

Liverpool imekuwa bora licha ya kuzaraulika wakati msimu unaanza.

Sasa hivi mnakuwa mnatuchukia pasipokuwa na sababu za msingi kabisa, na hii kutokana timu zenu kule hakuna cha kushangilia tena maana mkienda kule mnafungwa mnaona mje huku kuongea ujinga.

Uzuri Epl huwezi kuingia Na matokeo yako mfukoni tusubirie tuone uzuri wa Epl hakuna aliyekuja na jina hapo hakaonekana.

Muache chuki zenu hizo,na mkubali uhalisia Liverpool ndio timu bora.
 
Shombo na shit gani watu wa Liverpool wanaongea?

Namba zinaongea Liverpool wamefungwa mechi 3 tu mashindano yote mpaka sasa kwenye Epl hapo mechi mbili Na uefa mechi 1, hakuna timu iliyofanya hivyo kwenye ligi tano bora duniani.

Sasa na kwa hilo utasema Liverpool wanajisifia lakini ndio ukweli huo.

Liverpool imekuwa bora licha ya kuzaraulika wakati msimu unaanza.

Sasa hivi mnakuwa mnatuchukia pasipokuwa na sababu za msingi kabisa, na hii kutokana timu zenu kule hakuna cha kushangilia tena maana mkienda kule mnafungwa mnaona mje huku kuongea ujinga.

Uzuri Epl huwezi kuingia Na matokeo yako mfukoni tusubirie tuone uzuri wa Epl hakuna aliyekuja na jina hapo hakaonekana.

Muache chuki zenu hizo,na mkubali uhalisia Liverpool ndio timu bora.
Bro usitumie nguvu Kubishana na hizi nzi zina stress ya timu zao
 
Adjustments.jpg
 
Kuna ile Kauli iliyoasisiwa na Man United na badala yake ikaongezewa nguvu na Arsenal then Chelsea wakaiongezea Nguvu ya kuwa EPL imeanzishwa 1992 naona karibuni itapotea.

  • Man United waliianzisha kauli hii wakati Liverpool ana Makombe 18 ya Ligi huku wao wakiwa na Makombe machache, kutokana na hilo wakaona njia pekee ya kuwaziba mdomo Liverpool ni kuanza kuhesabu Makombe kuanzia mwaka 1992 ili Liverpool asiwe na kombe hata 1 wao wabaki na Makombe ya kuanzia 1992.
  • Na kuanzia mwaka 1997 Arsenal walipoanza tena kubeba Makombe wakaunga Mkono kauli ya Manchester United hivyo wao wakawa na Makombe 3 wakati Liverpool hana hata moja.
  • Kuanzia mwaka 2005 na Chelsea akaunga Mkono kauli ya Manchester United akafikisha Makombe 5 wakati Liverpool hana hata 1.
  • Ikumbukwe hao wote walianzisha hiyo kauli ili wamkomoe Liverpool tu na wao kujisifia.

Kwa bahati mbaya sasa Man City ameibuka na Tayari ameshabeba EPL 6 kumzidi Arsenal 3 na Chelsea 5. Hii inamaana Man City kwa hali anayokwenda nayo si muda mrefu ataifikia Rekodi ya Man United na kuipitia.
  • Ikumbukwe kuwa Man United alianzisha propaganda hiyo ili awe Bingwa anayeshika Rekodi ya kubeba EPL mara nyingi na sio Liverpool.
  • Sasa Man City akitimiza Makombe 13 ya EPL hapo Man United atakuja kubadili kauli yake ya kuwa EPL imeanzishwa mwaka 1992 na atasema Mpira haukuanza 1992 ili yahesabiwe Makombe yake yafike 20.
Endelea kubishana na wenye ligi wenyewe
20220522_235702.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom