SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,803
- 25,444
Hata ukienda Conference league huna uwezo wa kushinda.Umesikia lakini bodi nzima ya UEFA inalalamika kua mashindano hayawezi kua na mvuto endapo United hata shiriki?
Timu kubwa kibao zimelalamika hawatashiriki Uefa endapo hawataiona Manchester United kwenye hayo mashindano.
Ili kunusuru mashindano viongozi wa Uefa wamepanga kuja kupiga magoti kuiomba Man United ishiriki kwenye mashindano yao hata kama haijaingia kwenye top 4.
Hii ina maana Uefa inaihitajia zaidi Manchester kuliko United inavyohitaji Uefa.


Diaz ana mafanikio makubwa kuliko Harry Kane.
Hendo anamafanikio makubwa LFC kuliko Steven Gerrard.


,,Anyway..yupo Matip