Eti nawe una AKILI!!Kwani Epl inapatikana kwa penalty???
Hawa ni mabingwa wa penalty, unaweza waita mabingwa wa mchongo.



Ovyoo KABISAA,Bora ningepiga punyeto kuliko kuzaa litoto Kama hiliUmesikia lakini bodi nzima ya UEFA inalalamika kua mashindano hayawezi kua na mvuto endapo United hata shiriki?
Timu kubwa kibao zimelalamika hawatashiriki Uefa endapo hawataiona Manchester United kwenye hayo mashindano.
Ili kunusuru mashindano viongozi wa Uefa wamepanga kuja kupiga magoti kuiomba Man United ishiriki kwenye mashindano yao hata kama haijaingia kwenye top 4.
Hii ina maana Uefa inaihitajia zaidi Manchester kuliko United inavyohitaji Uefa.
japo ngumuChugga man hana neno kashakumbali Liverpool levo za juu.Ollachuga atakuwa alijisemea tu kuwa hapa tushapigwa![]()
Kepa jana hakutaka lawama katulia tuliiiiii kwa benchi yaaani hakua na ishu jana aliacha wakubwa wamalizane wenyewe...Wakawaza ule mpaisho wa kepa
Ma specialist wa fainali na penati hahahah.Kila lililo mbele yetu sisi ni kubeba tu
Westham kamaliza kazi niliyomtuma. BADO Aston Villawatakupa mrejesho, kuwa mpoleeee.
Endelea kuotaHii imekaa aje, mambo ya Play off ndani ya EPL.
Mara pap Liverpool na Manchester City tunamaliza kwa magoli sawa na pointi sawa itakua kwa mara ya kwanza hili kutokea maana head to head Liverpool vs Manchester City ipo sawa Anfield tulitoka 2 kwa 2 na Ethad nako ilikua ni 2 kwa 2 hivyo ikitokea ligi inaisha tupo pointi sawa na magoli pia tupo sawa basi tunakwenda kucheza play off pale Wembley kuamua nani bingwa. Hii ikitokea itakua ni mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwa EPL.
Hii msimu umekua na matokeo tusiyotegemea.
YNWA
Hii imekaa aje, mambo ya Play off ndani ya EPL.
Mara pap Liverpool na Manchester City tunamaliza kwa magoli sawa na pointi sawa itakua kwa mara ya kwanza hili kutokea maana head to head Liverpool vs Manchester City ipo sawa Anfield tulitoka 2 kwa 2 na Ethad nako ilikua ni 2 kwa 2 hivyo ikitokea ligi inaisha tupo pointi sawa na magoli pia tupo sawa basi tunakwenda kucheza play off pale Wembley kuamua nani bingwa. Hii ikitokea itakua ni mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwa EPL.
Hii msimu umekua na matokeo tusiyotegemea.
YNWA
Ndio sisi yaaniMa specialist wa fainali na penati hahahah.
YNWA
Bora alinawa.Kepa jana hakutaka lawama katulia tuliiiiii kwa benchi yaaani hakua na ishu jana aliacha wakubwa wamalizane wenyewe...
YNWA
Aendelee kutushabikia tuChugga man hana neno kashakumbali Liverpool levo za juu.
YNWA
Hahaha, tukamchinjie Wembley kama wenzao ChelsiHii imekaa aje, mambo ya Play off ndani ya EPL.
Mara pap Liverpool na Manchester City tunamaliza kwa magoli sawa na pointi sawa itakua kwa mara ya kwanza hili kutokea maana head to head Liverpool vs Manchester City ipo sawa Anfield tulitoka 2 kwa 2 na Ethad nako ilikua ni 2 kwa 2 hivyo ikitokea ligi inaisha tupo pointi sawa na magoli pia tupo sawa basi tunakwenda kucheza play off pale Wembley kuamua nani bingwa. Hii ikitokea itakua ni mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwa EPL.
Hii msimu umekua na matokeo tusiyotegemea.
YNWA
Na matumaini hata tuangusha kapteni fantasticThe only man who can save LiverpoolFC.
View attachment 2226054
Timu yako imepata kombe lipi msimu huu ambalo si la penalty?Mabingwa wa penalti
Epl nayo mshindi angekua inapatikana kwa penalty kila mwaka wangekua washindi.
Wazee wa makombe ya mchongo. View attachment 2225641
Acha kujichosha na mtu anayeshabikia timu za Europa na Conference league.EPL isingekuwa piority kwetu Man city angekuwa bingwa tayari mapema tu. Ivi Arse8 ana EPL ngapi miaka 18 iliyopita yaani watu wanazaliwa wanakuwa watu wazima hawajawai ona Arse8 akiwa Bingwa
Sent from my SM-A500H using JamiiForums mobile app