Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kaka sisi hatuna pressure yoyote,city yupo pale juu akitoa tu sare anakuwa ana wasiwasi.

Wolves anakuja anfield pale,anfield wanapajua wenyewe hapo wanamiaka hawajawahi kuchukua point hapo.
 
Umesikia lakini bodi nzima ya UEFA inalalamika kua mashindano hayawezi kua na mvuto endapo United hata shiriki?
Timu kubwa kibao zimelalamika hawatashiriki Uefa endapo hawataiona Manchester United kwenye hayo mashindano.
Ili kunusuru mashindano viongozi wa Uefa wamepanga kuja kupiga magoti kuiomba Man United ishiriki kwenye mashindano yao hata kama haijaingia kwenye top 4.
Hii ina maana Uefa inaihitajia zaidi Manchester kuliko United inavyohitaji Uefa.
Ovyoo KABISAA,Bora ningepiga punyeto kuliko kuzaa litoto Kama hili
 
ubingwa upo mikononi mwa City ila pia they can bottle it japo ni ngumu , ngoja tusubiri henda kipara akamaliza kapa japo ngumu

mie mechi ntayoitazama ni Fainal tarehe 28 na ya jana kombe kibindoni

Carabao
FA
UEFA
itaondoa machungu ya kupoteza EPL kwa point 1 kwa mara ya pili

hope msimu ujao tutakuja imara zaidi
 
Hii imekaa aje, mambo ya Play off ndani ya EPL.

Mara pap Liverpool na Manchester City tunamaliza kwa magoli sawa na pointi sawa itakua kwa mara ya kwanza hili kutokea maana head to head Liverpool vs Manchester City ipo sawa Anfield tulitoka 2 kwa 2 na Ethad nako ilikua ni 2 kwa 2 hivyo ikitokea ligi inaisha tupo pointi sawa na magoli pia tupo sawa basi tunakwenda kucheza play off pale Wembley kuamua nani bingwa. Hii ikitokea itakua ni mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwa EPL.

Hii msimu umekua na matokeo tusiyotegemea.


YNWA
 
Hii imekaa aje, mambo ya Play off ndani ya EPL.

Mara pap Liverpool na Manchester City tunamaliza kwa magoli sawa na pointi sawa itakua kwa mara ya kwanza hili kutokea maana head to head Liverpool vs Manchester City ipo sawa Anfield tulitoka 2 kwa 2 na Ethad nako ilikua ni 2 kwa 2 hivyo ikitokea ligi inaisha tupo pointi sawa na magoli pia tupo sawa basi tunakwenda kucheza play off pale Wembley kuamua nani bingwa. Hii ikitokea itakua ni mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwa EPL.

Hii msimu umekua na matokeo tusiyotegemea.


YNWA
Endelea kuota
 
Hii imekaa aje, mambo ya Play off ndani ya EPL.

Mara pap Liverpool na Manchester City tunamaliza kwa magoli sawa na pointi sawa itakua kwa mara ya kwanza hili kutokea maana head to head Liverpool vs Manchester City ipo sawa Anfield tulitoka 2 kwa 2 na Ethad nako ilikua ni 2 kwa 2 hivyo ikitokea ligi inaisha tupo pointi sawa na magoli pia tupo sawa basi tunakwenda kucheza play off pale Wembley kuamua nani bingwa. Hii ikitokea itakua ni mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwa EPL.

Hii msimu umekua na matokeo tusiyotegemea.


YNWA

Haiwez kutokea hata kidogo
 
Hii imekaa aje, mambo ya Play off ndani ya EPL.

Mara pap Liverpool na Manchester City tunamaliza kwa magoli sawa na pointi sawa itakua kwa mara ya kwanza hili kutokea maana head to head Liverpool vs Manchester City ipo sawa Anfield tulitoka 2 kwa 2 na Ethad nako ilikua ni 2 kwa 2 hivyo ikitokea ligi inaisha tupo pointi sawa na magoli pia tupo sawa basi tunakwenda kucheza play off pale Wembley kuamua nani bingwa. Hii ikitokea itakua ni mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwa EPL.

Hii msimu umekua na matokeo tusiyotegemea.


YNWA
Hahaha, tukamchinjie Wembley kama wenzao Chelsi
 
The only man who can save LiverpoolFC.
IMG_20220515_202848.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom