Penison
JF-Expert Member
- Nov 4, 2017
- 6,372
- 12,529
Wewe ubingwa wa cheltako upo wapi.Bado UBINGWA uko mikononi mwa The Citizen
Wewe ubingwa wa cheltako upo wapi.Bado UBINGWA uko mikononi mwa The Citizen
Tusiwape matumaini, ubingwa ni WA city. Ukweli usemwe jamaniMan city wajiandae kisaikolojia, tukishinda kesho, game yao na Aston villa watakua na presha kubwa sana.
Ambayo haitawaacha salama
Epl liverpool tunabeba
Acha hasira basi, hii ni burudani, je ukikosa zote mbili sasa, si itabidi upigwe pinguWewe ubingwa wa cheltako upo wapi.
Hata Liver na Wolves hamtakuwa salama, mtelemko hautakuwepo kwa timu zote🤣🤣😂😂😂🤣Man city wajiandae kisaikolojia, tukishinda kesho, game yao na Aston villa watakua na presha kubwa sana.
Ambayo haitawaacha salama 🤣😂
Epl liverpool tunabeba
Kila lililo mbele yetu sisi ni kubeba tuView attachment 2225169
Damn we are this lucky to witnesses this once in a lifetime greatness.
Thank you Jurgen.
YNWA
Acha hasira basi, hii ni burudani, je ukikosa zote mbili sasa, si itabidi upigwe pingu
Sisi tumeshapata komber letu moja la Todd tunasubiri msimu ujao tuanze tena





Sina hasira Mkuu ni JOKESS tu.kabisa,Game ya mwisho Man City anacheza kwenye Dimba lake hivyo ni rahisi kushinda na kubeba Kombe
Wakawaza ule mpaisho wa kepa
Tutaona 😂🤣Hata Liver na Wolves hamtakuwa salama, mtelemko hautakuwepo kwa timu zote
Ollachuga atakuwa alijisemea tu kuwa hapa tushapigwa

Aweke full kikosi, ubingwa tunabeba huu.kabisa,
tusiweke matumaini sana.....
sema ni very technical hasa kwa klop, namna atapanga kikosi chake maana bado atasense nafasi ya ubingwa (still matumaini yapo japo kwa 1%)
Hivi nyie man u aka kikundi cha panyaroad mnatoa wapi jeuri ya kusema ushindi wa mchongo wakati nyie hata penalty za mchongo hamuwezagi kupigaMabingwa wa penalti
Epl nayo mshindi angekua inapatikana kwa penalty kila mwaka wangekua washindi.
Wazee wa makombe ya mchongo. View attachment 2225641
La pili Hilo tumenyanyua kwapaRamli zenu na dua zenu naona zinaenda kama zilivyopangwa japo kuan watu hapa watakuja kujibu kuwa Liverpool ina uwezo wa kubeba EPL bila ya dua na ramli

Game ya mwisho Man City anacheza kwenye Dimba lake hivyo ni rahisi kushinda na kubeba Kombe