Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

🤣🤣😂😂😂🤣Man city wajiandae kisaikolojia, tukishinda kesho, game yao na Aston villa watakua na presha kubwa sana.

Ambayo haitawaacha salama 🤣😂

Epl liverpool tunabeba
Hata Liver na Wolves hamtakuwa salama, mtelemko hautakuwepo kwa timu zote
 
Adjustments.jpg
 
Acha hasira basi, hii ni burudani, je ukikosa zote mbili sasa, si itabidi upigwe pingu
Sisi tumeshapata komber letu moja la Todd tunasubiri msimu ujao tuanze tena
Sina hasira Mkuu ni JOKESS tu.
 
Game ya mwisho Man City anacheza kwenye Dimba lake hivyo ni rahisi kushinda na kubeba Kombe
kabisa,
tusiweke matumaini sana.....

sema ni very technical hasa kwa klop, namna atapanga kikosi chake maana bado atasense nafasi ya ubingwa (still matumaini yapo japo kwa 1%)
 
kabisa,
tusiweke matumaini sana.....

sema ni very technical hasa kwa klop, namna atapanga kikosi chake maana bado atasense nafasi ya ubingwa (still matumaini yapo japo kwa 1%)
Aweke full kikosi, ubingwa tunabeba huu.

Nani alijua man city leo angedroo 🤣😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom