Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Screenshot_20220515_142601.jpg

🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛

Mtuache jamani angalau na sisi tufurahie huu uflame.

YNWA
 
Screenshot_20220515_143021.jpg

😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Wakati ni wetuuuuuuu.

Enjoy while we can.

YNWA
 
Umeshaambiwa hizi cups hazikuwa piority kama EPL na UEFA kipindi cha nyuma ila baada ya kushinda Yale na kikosi kuimarika kwanini asiyape haya makombe piority sasa na msimu ujao hata akipanga U23 hatutamlaumu

Sent from my SM-A500H using JamiiForums mobile app
So Liverpool ina EPL moja ndani ya miaka 32, kwanini priority isiwe huko, au hilo moja linatosha?
 
So Liverpool ina EPL moja ndani ya miaka 32, kwanini priority isiwe huko, au hilo moja linatosha?
EPL isingekuwa piority kwetu Man city angekuwa bingwa tayari mapema tu. Ivi Arse8 ana EPL ngapi miaka 18 iliyopita yaani watu wanazaliwa wanakuwa watu wazima hawajawai ona Arse8 akiwa Bingwa

Sent from my SM-A500H using JamiiForums mobile app
 
Kwani Epl inapatikana kwa penalty???
Hawa ni mabingwa wa penalty, unaweza waita mabingwa wa chongo.
Ronaldo mnamuabisha yani msimu ujao anacheza na wakina Bado limit, Fc Twente, Partizan Belgrade, CSKA Sofia huko conference league nacheka saaaaana hahaha hahaha kashindeni na nyie huko kwa mchongo

Sent from my SM-A500H using JamiiForums mobile app
 
Chambuzi la nyumbu
Huo sio uchambuzi wangu ni maneno ya Super Coach Pep Guardiola
"Liverpool ni wazuri katika mashindano yenye penalty kuanzia Carabao, FA na mashindano ya ulaya lakini sio EPL, ndio maana wameshinda mara moja tu kwa kipindi cha miaka 30"
 
Hapana! Issue sio kuufungua ukuta wala kushambuliwa, issue unapoangaliwa mpira unatakiwa uwe na Confidence + hope.
Sikuzote katika maisha haijalishi ni magumu kiasi gani unapitia but kuamini kama utashinda.
Sio jambo zuri kwa Mshabiki kuanza tu game tena ikawa mwanzo mwisho unatanguliza kauli za kufungwa tu.


Mimi kipindi nakaa home niliacha kuangalia mpira home kwasababu ya Baba yangu mzazi! Unajua kwanini?
Toka mpira unapoanza analalamika kufungwa mpaka inamaliza! Hata kama dakika ya 90' munaongoza 3 kwa 0 basi utamsikia 'Ahhh yatarudi muda wowote haya'.

Hivyo ukiangalia Mpira Jiamini na kuwa na Imani ndugu.
Sawa mkuu nimekuelewa aisee thanks
 
Ronaldo mnamuabisha yani msimu ujao anacheza na wakina Bado limit, Fc Twente, Partizan Belgrade, CSKA Sofia huko conference league nacheka saaaaana hahaha hahaha kashindeni na nyie huko kwa mchongo

Sent from my SM-A500H using JamiiForums mobile app
Umesikia lakini bodi nzima ya UEFA inalalamika kua mashindano hayawezi kua na mvuto endapo United hata shiriki?
Timu kubwa kibao zimelalamika hawatashiriki Uefa endapo hawataiona Manchester United kwenye hayo mashindano.
Ili kunusuru mashindano viongozi wa Uefa wamepanga kuja kupiga magoti kuiomba Man United ishiriki kwenye mashindano yao hata kama haijaingia kwenye top 4.
Hii ina maana Uefa inaihitajia zaidi Manchester kuliko United inavyohitaji Uefa.
 
Umesikia lakini bodi nzima ya UEFA inalalamika kua mashindano hayawezi kua na mvuto endapo United hata shiriki?
Timu kubwa kibao zimelalamika hawatashiriki Uefa endapo hawataiona Manchester United kwenye hayo mashindano.
Ili kunusuru mashindano viongozi wa Uefa wamepanga kuja kupiga magoti kuiomba Man United ishiriki kwenye mashindano yao hata kama haijaingia kwenye top 4.
Hii ina maana Uefa inaihitajia zaidi Manchester kuliko United inavyohitaji Uefa.
Hata kwa kutoa rushwa hamuendi kokote

Sent from my SM-A500H using JamiiForums mobile app
 
Ramli zenu na dua zenu naona zinaenda kama zilivyopangwa japo kuan watu hapa watakuja kujibu kuwa Liverpool ina uwezo wa kubeba EPL bila ya dua na ramli
 
Siamini kinachotokea huko, Westham 2-man city 0
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Refa maliza mechi iishe bana
😂😂🤣🤣
 
Huo sio uchambuzi wangu ni maneno ya Super Coach Pep Guardiola
"Liverpool ni wazuri katika mashindano yenye penalty kuanzia Carabao, FA na mashindano ya ulaya lakini sio EPL, ndio maana wameshinda mara moja tu kwa kipindi cha miaka 30"

Kila mtu ashinde mechi za priority kwake.

FH Score
Westham 2:0 Man City
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom