Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

View attachment 2226845

Binafsi hua nasema Allison ndio usajili bora wa Klopp, huyu mwamba muda mwingi anatuweka mchezoni pale anapohitajika.
Asante sana Allison.


YNWA
As Roma walipata pesa sahihi kabisa kwa huyu kiumbe. Halafu sasa sio kipa tu umesahau pia anafunga na kutoa assist kuliko Lingard na Joginho
 
Kipara anapitia wakati mgumu sana.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Ni hatari sana kaka.

Mambo yamekua sio kabisa.

Bado wao ni favourite lakini cha moto wanakipata.

YNWA
 
As Roma walipata pesa sahihi kabisa kwa huyu kiumbe. Halafu sasa sio kipa tu umesahau pia anafunga na kutoa assist kuliko Lingard na Joginho
Ukumbuke huyu dogo kipindi kile yupo Roma alitakiwa na timu kama 3 hivi walikuwemo Chelsea nadhani na PSG lakini akasema nakwenda Merseyside na kweli hajutii kuja kwetu anachokosa sasa ni Kombe la Dunia kwenye mataji yake.

YNWA
 
Hakuna cha rotation wala kupumzisha Wachezaji Klopp aweke full Mkoko kwenye mechi zetu 2 za EPL mpaka sekunde ya mwisho 😂😂😂
Issue ya kuchoka na injuries mutajua wenyewe.
 
Adjustments.jpg
 
Atletico Madrid have now officially confirmed that Luis Suárez will leave the club on a free transfer in June. His contract won’t be extended. #Atleti

Suárez is not considering MLS bids as of today, his priority is to continue in Europe.
Atue Aston Villa kwa Steve shinda hapo ni mshahara.

YNWA
 
Boss mbele na nyuma tuko kamili, ila shida ni viungo , Thiago na Fab wanatakiwa wapate msaada pindi wanapokosekana. Naona kwa GINI tulipoteza mtu sahihi.

OX, KEITA, MILNER waachwe wakatafute timu tu.

GOMEZ na TAKUMI bado wanahitajika kwenye squad.
Hilo mkuu linaonekana wazi kwamba ubora finyu wa pale kati unafanya LB na RB waelemewa kwenye kutengeza nafasi z kufunga pindi tunavyobana tazama mechi ya Tottenham au Chelsea Wembley utaona pale kati ipo shinda ya MF mbunifu design kama Debruyne ama Fekir ambae ni game changer labda sasa dirisha hili Klopp atapatazama upya namna ya kuboresha alete mchezaji tofauti na waliopo.

Milner na Keita wana uhakika wa kupata mikataba mipya sasa kuliko Mane, Firmino na Salah yaaani ndii ujue haya mambo hua ni mazito sana.

Gomez anahitaji dakika za kutosha labda kwa vile sasa sub ni 5 msimu ujao Klopp ataweza kumshawishi abakie klabuni. Kwa Taikumi ni complicated maana dogo amekua freezed kabisa na hakua na msimu mbaya nadhani ama magoli 8 au 9 msimu huu.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom