Sio mashabiki tu wanaoteseka Hadi klopp mwenyewe anateseka haaland kutua city










Yaani watu wakumbuke mechi ya Liverpool team C vs Real Madrid team A. Embu acha kusumbua watu



unazidi kutesekaWakombozi wetu halali Ni Westham na Aston Villa hao wengine walikuwa mamluki





watakupa mrejesho, kuwa mpoleeee.Huu mwaka liverpool wanaweza pata aibu kubwa Sana.Aiseee mwaka Jana mlitolewa kirahisi kabisa ,ila Kuna kuku zimekaza fuvu "quadraple"View attachment 2221293
Tupe rekodi ya liverpool EPL.Tupe record ya City UEFA
Leo munategemea wakombozi wachovu wawakomboe ..hii liverpool ni Atari Sana lazima ibebe ubingwa EPL bila ukombozi wowoteWakombozi wetu halali Ni Westham na Aston Villa hao wengine walikuwa mamluki
Liverpool 19 EPL trophies. Wewe chelwowo hivi unangapi vileTupe rekodi ya liverpool EPL.
Wewe na mimi nani anateseka mpaka mmeona mumlete na Halland a jaribu kumuondelea Pep aibuunazidi kuteseka
EPL 1 Izo 18 ni second division ambapo ligi ilikuwa ya mchangani.Liverpool 19 EPL trophies. Wewe chelwowo hivi unangapi vile
Wewe na mimi nani anateseka mpaka mmeona mumlete na Halland a jaribu kumuondelea Pep aibu





kwan nyie mlikwama wapi kumchukua huyo halland? Mnateseka eeeeh/Nyie Chelsea league kwenu si ilianza 2000EPL 1 Izo 18 ni second division ambapo ligi ilikuwa ya mchangani.

Pia tulisema huwezi kufika final uefaMlisema Newcastle wako vzuri watawazuia city wakala chuma 5-0
Oooh wanakutana na Leeds ambayo iko moto ,atawazuia kala chuma 4-0
Mara ,wolves hawezi kumuacha man city ,lazima wolves amfunge citykapigwa 5-1 .,...
Tunakuja kwa huyo westham Tena , endeleeni kuomba hivo hivoni mwendo wa kutoa vipigo tu
