Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ikitokea man city kashinda dhidi ya westham, Basi game zetu zilizobaki wacheze akina Elliott,

Tupumzishe wachezaji hata kwa hizi siku chache zilizobaki kuelekea final, vijana wamechoka mno.
Hichi kitu ndio huwa nakiongea lakin Klopp hajui hilo.
 
Nahisi huyu jamaa ata retire akiwa man city
IMG_20220512_203851_1.jpg
 
Salah needs to be sold

ASAP

Mkuu hata akibaki tatizo liko wapi? Mbona OX ,Henderson na Jones wapo hausemi wauzwe kwamba wanakula mishahara ya bure?

Me naona salah abakie tu sijaona ulazima wa kuuzwa kuzidi hao niliokuambia hapo.

Tunajua tu salah hayuko sawa kwa sasa ila atakuwa sawa tu msimu ujao.

IMG_4359.jpg
 
Ikitokea man city kashinda dhidi ya westham, Basi game zetu zilizobaki wacheze akina Elliott,

Tupumzishe wachezaji hata kwa hizi siku chache zilizobaki kuelekea final, vijana wamechoka mno.

Vijana wamejitahidi sana msimu mzima mpaka saizi tumefungwa mechi 3 tu mashindano yote.

Mechi tatu hizo ndio tumetoka vichwa chini.

Vijana wamejituma sana na hamini msimu ujao tutafanya vizuri zaidi.
 
Tatizo ni upepo tu ngoja tukae sawa maana tushapata mmiliki tutaenda kushababisha matatizo kwenye timu nyingi msimu ujao
Bosi mpya atoe ela asilete uFSG hapo kwenu lazima afanye bonge la statement...

Naona dogo Declan Rise amegoma tena kuongeza mkataba kwa Wagonga nyundo sasa mchukueni ni home boy pale kati atawaweka sawa...

Itakua jambo njema mkae sawa muache kugawa pointi EPL ichangamke mchakamchaka..

YNWA
 
Huyu mColombia mwennzie ..Mimi chaMA langu Colombia Ila Diaz kakosea njia,, liverpool haikuwa timu sahihi kwake.
#CFC💙💙💙
😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛Yupo sana Diaz ametua ka saini miaka mitano na Klopp kashampa kibali acheze mpira wake asijibane ndio maana unaona ana shine...

YNWA
 
Walikuwepo ndio maana hamkuweza kuwafunga sio rahisi kwa liverpool kuifunga city iliyokamilika angalia epl mara ya mwisho kuwafunga ni lini.liverpool kwangu mimi ni bora sana ila kikwazo ni city basi
Acha maneno Mengi leta Head to Head tena kipindi hiki cha Kipara
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom