Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liver mtashinda mechi zenu zote 2
City atashinda mechi zake zote 2
Bingwa ni Man Shit. Shida iko wapi
 
Hata afe mtu Chelsea tunachukua FA
RM wanachukua CL
Ninyi mbaki na Karabao ndio size yenu hata kama mna squad nzuri
This is football
Bahati
Kismati
Uwezo
Ubora
Ufundi
Nyota njema
Class
Form zote zinatumika kuleta ushindi kwa timu yeyote
 
Ni burudani tu huko kwenye grp la Man city. Tumeshajua mashabiki wa timu nyingine za EPL wana wivu sana na Man city.
Screenshot_20220512-102102_WhatsApp.jpg
Screenshot_20220512-102237_WhatsApp.jpg
Screenshot_20220512-102251_WhatsApp.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20220512-102102_WhatsApp.jpg
    Screenshot_20220512-102102_WhatsApp.jpg
    38.9 KB · Views: 17
  • Screenshot_20220512-102237_WhatsApp.jpg
    Screenshot_20220512-102237_WhatsApp.jpg
    39.4 KB · Views: 15
Kuwa muungwana kwenye michezo unaifunga city 3-2 ederson ,monster KDB,diaz ,stones ,cancelo,benarldo wote hawapo kikosi cha kwanza .Fikiri ingekuwa ingekuwa liverpool haina hao wachezaji ingekuwaje.Itoshe kusema mnayo bahati kubwa kutokutana na city champions league final na wachezaji wenu wanafuraha sana maana city kwenu kwa sasa ni gunia la misumari .
Bora uwaambie weweee,
 
Kuwa muungwana kwenye michezo unaifunga city 3-2 ederson ,monster KDB,diaz ,stones ,cancelo,benarldo wote hawapo kikosi cha kwanza .Fikiri ingekuwa ingekuwa liverpool haina hao wachezaji ingekuwaje.Itoshe kusema mnayo bahati kubwa kutokutana na city champions league final na wachezaji wenu wanafuraha sana maana city kwenu kwa sasa ni gunia la misumari .
Hicho kikosi kilichokamilika tumecheza nacho gemu mbili mbona hawakushinda.
 
Pep angekuwa serious na FA,asingepanga kile kikosi aisee.Sema aliipania Sana UCL mambo ndo hivyo yakawa tofauti.
Lakini licha ya kikosi kile kilicho cheza, Liverpool aliomba mpira uishe mapema kipindi Cha pili.Maana siyo Kwa moto ulee walio peleka Man city kipindi Cha pili. Kama shabiki WA Liverpool lazima usiamini amini kama umeshinda mbele ya city Kwa mechi inayo hitaji mshindi.
Kwahiyo Mnakubaliana na sisi kwamba Pep kushindwa kubeba UEFA hadi sasa ni failure kwake
 
Mlisema Newcastle wako vzuri watawazuia city wakala chuma 5-0

Oooh wanakutana na Leeds ambayo iko moto ,atawazuia kala chuma 4-0

Mara ,wolves hawezi kumuacha man city ,lazima wolves amfunge city kapigwa 5-1 .,...

Tunakuja kwa huyo westham Tena , endeleeni kuomba hivo hivo ni mwendo wa kutoa vipigo tu
Vipi tukumbushe na matokeo ya Bernabau tulitabiri vipi tena
 

Mpira ungekuwa unaangalia tu majina basi man city uefa angekuwa anachukua miaka yote,lakini mpira hauko hivyo Liverpool mara nyingi wachezaji ni wa bei rahisi tu lakini ndio wanaotupA makombe hayo,
Msimu huu Liverpool imecheza fainali makombe yote na wachezaji kawaida tu hakuna aliyekuja hapo Liverpool anajina hapo wote wamekuja kuwa bora baada ya kuja Liverpool mmoja wapo mo salah.

Robertson tulimchukua hull city iliyoshuka daraja watu walizarau kama wewe ,lakini leo hii top beki bora duniani, mpira ni uwanjani sio majingambo ya usajiri kabla ya mechi.wapi lukaku wa chelsea mbwembwe kibao kasajiriwa kwa gharama kiko wapi.

Watu ambao tunajua mpira huwezi kutundanganya kwa vitu kama hivyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom