Bora uwaambie weweee,Kuwa muungwana kwenye michezo unaifunga city 3-2 ederson ,monster KDB,diaz ,stones ,cancelo,benarldo wote hawapo kikosi cha kwanza .Fikiri ingekuwa ingekuwa liverpool haina hao wachezaji ingekuwaje.Itoshe kusema mnayo bahati kubwa kutokutana na city champions league final na wachezaji wenu wanafuraha sana maana city kwenu kwa sasa ni gunia la misumari .





Nitumie links ya hili Group, plz fanya kweli.Ni burudani tu huko kwenye grp la Man city. Tumeshajua mashabiki wa timu nyingine za EPL wana wivu sana na Man city.View attachment 2221369View attachment 2221370View attachment 2221371
Hicho kikosi kilichokamilika tumecheza nacho gemu mbili mbona hawakushinda.Kuwa muungwana kwenye michezo unaifunga city 3-2 ederson ,monster KDB,diaz ,stones ,cancelo,benarldo wote hawapo kikosi cha kwanza .Fikiri ingekuwa ingekuwa liverpool haina hao wachezaji ingekuwaje.Itoshe kusema mnayo bahati kubwa kutokutana na city champions league final na wachezaji wenu wanafuraha sana maana city kwenu kwa sasa ni gunia la misumari .
Kwahiyo Mnakubaliana na sisi kwamba Pep kushindwa kubeba UEFA hadi sasa ni failure kwakePep angekuwa serious na FA,asingepanga kile kikosi aisee.Sema aliipania Sana UCL mambo ndo hivyo yakawa tofauti.
Lakini licha ya kikosi kile kilicho cheza, Liverpool aliomba mpira uishe mapema kipindi Cha pili.Maana siyo Kwa moto ulee walio peleka Man city kipindi Cha pili. Kama shabiki WA Liverpool lazima usiamini amini kama umeshinda mbele ya city Kwa mechi inayo hitaji mshindi.
Tupe record ya City UEFA
Malizia na makombe mengine aliyobeba Klopp alafu ufananishe na ya Kipara aliyejaza carabao cups Kabatini hahaha
Vipi tukumbushe na matokeo ya Bernabau tulitabiri vipi tenaMlisema Newcastle wako vzuri watawazuia city wakala chuma 5-0
Oooh wanakutana na Leeds ambayo iko moto ,atawazuia kala chuma 4-0
Mara ,wolves hawezi kumuacha man city ,lazima wolves amfunge citykapigwa 5-1 .,...
Tunakuja kwa huyo westham Tena , endeleeni kuomba hivo hivoni mwendo wa kutoa vipigo tu
We can't compete!View attachment 2221173

Wakombozi wetu halali Ni Westham na Aston Villa hao wengine walikuwa mamlukimkombozi wenu Wolves amewapa habari?
Yaani watu wakumbuke mechi ya Liverpool team C vs Real Madrid team A. Embu acha kusumbua watu