Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Italy ligi nyepesi kule ..alafu uyu dgo akipata kocha Kama Klopp au ata arteta Basi ata shain sana
#CFCπŸ’™πŸ’™πŸ’™
Hahaha Roma sioni wakamtoa hivi hivi ni kweli Arsenal walitajwa kumtazama lakini Mourinho itakua ngumu kumwachia.

Dogo ana kipaji na chini ya Mourinho ame improve sana.

Klopp sijajua lini atarejea kutumia namba 9 halisi kwa sasa naona hii false 9 inampa anachokitaka.

YNWA
 
Na ili tuchukue ubingwa lazima city Adroo na apate atleast hata moja nanikitu kisicho wezekana aisee, safar yetu imeishia hapo tusijipe matumain ambayo hayapo.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] anakusubiri nawee akakuinamishe, andaa pain killer, wafaransa unajua show zao? Ooooh usiseme sijakuambia.
Dogo unaushabiki mandazi hivi em acha matusi kwa wakubwa zako, yaan mashabiki wa man city mnashindwaga kutoa hoja za maana hadi mtukane? Huyo unaye mwambia akainamishwe huenda ni baba yako.
 
Mkuu ndio maana mimi nashauri ni bora tuachane na Epl tuwe tunapumzisha wachezaji muhimu ili tupamba ne na FA na UCL.
 
Kabisa mkuu, kumbe wewe umenielewa sasa.
 
Hana jipya ni utani tu kwamba ana mshauri Klopp tusiwafunge Real Madrid goli la kwanza ni mtego ili tutulie watuzime [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

YNWA
Nimecheka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]
 
Kwani Jota sio n.9 halisi?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…