Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
ππππππππππππππDiaz na Thiago ni habari nyingine kabisa.
YNWA
Ubaguzi tu, since akiwa Barcelona. Kumbuka ndiye aliyemuuza Toure.
AiseeeAccording to Toure ishu ni kama vile Pep hakuwapenda wachezaji wenye asili ya ki Africa hivyo kumpelekea Toure kukwaruzana nae mpaka kufikia Ethad kutompa mkataba huku bado akiwa na kiwango kizuri tu.
Toure alisema shinda ilianzia pale Barcelona kwa Pep kuwatenga Eto, Deco, Toure, Gaucho nk na mwishowe wote waliodoka. Kingine ni kwamba kwa vile Pep hakua straika enzi za uchezaji wake hao wachezaji walikua wanamdharau kama vile hana cha kuwapa pale mbele hivyo wakawa wanapinga baadhi ya mbinu zake wazi wazi jambo ambalo kwa Pep haiwezekani zaidi ya kuuzwa tu na hao wote waliuzwa na Toure hapo aliuzwa shingo upande hakutaka kuodoka Barcelona hivyo aliodoka na kinyongo.
Mara pap Pep akatua Ethad akakuta Yaya ana influence kubwa sana na Pep ifahamike sio wale makocha design ya Klopp, Fergie nk ambao ni wazuri on one on one situation ku wa handle wachezaji to the letter. Pep yeye hua ni team work bila kuulizwa maswali na kufuata tactics zake na ikishidikana basi anauza huyo mchezaji ama kum bench yule ambae anaona anamchelewesha kufikia ubora. Pep haoni tatizo kuwaudhi wachache kwa kusaka makombe hilo amefanikiwa sana huku pia akikwaruzana na Eto, Zlatan, Toure, Aguero, Jesus, Deco nk
Pazuri mwaka jana Toure ameomba radhi kwa Pep na kwa Manchester City kwa kumuita mbaguzi na kuomba aonane na Pep lakini mpaka sasa Pep hajajibu wala hajaonyesha nia ya kuonana na Toure labda sasa baada ya kipigo cha Real Madrid atamsaka Toure wayamalize maana sioni akipata hio UCL πππ
YNWA
ifike mahali kijana ujitambue na uwe na akili ,yaani the boss wetu pep guradiloa awapigie magoti sijui huyo kikaragosi wa YayaAccording to Toure ishu ni kama vile Pep hakuwapenda wachezaji wenye asili ya ki Africa hivyo kumpelekea Toure kukwaruzana nae mpaka kufikia Ethad kutompa mkataba huku bado akiwa na kiwango kizuri tu.
Toure alisema shinda ilianzia pale Barcelona kwa Pep kuwatenga Eto, Deco, Toure, Gaucho nk na mwishowe wote waliodoka. Kingine ni kwamba kwa vile Pep hakua straika enzi za uchezaji wake hao wachezaji walikua wanamdharau kama vile hana cha kuwapa pale mbele hivyo wakawa wanapinga baadhi ya mbinu zake wazi wazi jambo ambalo kwa Pep haiwezekani zaidi ya kuuzwa tu na hao wote waliuzwa na Toure hapo aliuzwa shingo upande hakutaka kuodoka Barcelona hivyo aliodoka na kinyongo.
Mara pap Pep akatua Ethad akakuta Yaya ana influence kubwa sana na Pep ifahamike sio wale makocha design ya Klopp, Fergie nk ambao ni wazuri on one on one situation ku wa handle wachezaji to the letter. Pep yeye hua ni team work bila kuulizwa maswali na kufuata tactics zake na ikishidikana basi anauza huyo mchezaji ama kum bench yule ambae anaona anamchelewesha kufikia ubora. Pep haoni tatizo kuwaudhi wachache kwa kusaka makombe hilo amefanikiwa sana huku pia akikwaruzana na Eto, Zlatan, Toure, Aguero, Jesus, Deco nk
Pazuri mwaka jana Toure ameomba radhi kwa Pep na kwa Manchester City kwa kumuita mbaguzi na kuomba aonane na Pep lakini mpaka sasa Pep hajajibu wala hajaonyesha nia ya kuonana na Toure labda sasa baada ya kipigo cha Real Madrid atamsaka Toure wayamalize maana sioni akipata hio UCL
YNWA

hivi unatuonaje mzee ...!Hao wameitese Sana epl mpaka pep akasema ni league nyepesi Sana kama unavuka barabara...na Kuna talent nyingine zinakuja kuwin CL come down ...!Kikosi chako kilikuwa na:-
1) Vicent Company
2) Fernandinyo
3) David Silva
4) Aguero
Jumlisha na baadhi ya hawa waliopo pia ukashindwa kubeba UCL.
Wanaofuata kukimbiwa na Umri na uwezo kuaza kushuka.
1) Walker
2) KDB
3) Sterling
4) Bernardo
Sasa hapo mzee baba unajipa matumaini lini hiyo CL itakuja wenyewe?![]()
Kila msimu wajipange wanachokosa ni uzoefu na hawazijui figisu za UCL hawajui kabisa angalia hata MADRID walivyocheza hawakuwa na Papara nyingi wao walitumia nguvu nyingi mnoKuanzia sasa atakua na maneno ya akiba zile bwebwe zote zimeisha jana.
Uefa ina wenyewe wa jipange tena msimu ujao.
YNWA
Kuwa tu, maisha mafupi haya.Natamani sana kuwa fan wa Liverpool hii happy nimeikosa kwa muda mrefu sana since 2006 congratulations guys