Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Adjustments.jpg
 
Real Madrid vs Chelsea 5-4
Real Madrid vs City 6-5
Real Madrid vs Liverpool 7-6 (nadhani zitakuwa penalti)
Mwenzako akinyolewa wewe tia maji tu
RM kashamalizana na Laliga ana usongo na UCL, kaeni macho sana hiyo 28 May 2022

Ngoja nikuulize kama hutabadili msimamo wako kuhusu Real baada ya mechi na Chelsea.

Je, Real Madrid amewatoa Chelsea na Man City kwasababu aliwazidi uwezo au ni makosa tu ya kiufundi yalitokea?
 
Real Madrid vs Chelsea 5-4
Real Madrid vs City 6-5
Real Madrid vs Liverpool 7-6 (nadhani zitakuwa penalti)
Mwenzako akinyolewa wewe tia maji tu
RM kashamalizana na Laliga ana usongo na UCL, kaeni macho sana hiyo 28 May 2022
Tupo tayari ndugu waleteeeeeeeeeee.

Hua natoa ushauri sana kuhusu Liverpool ni muhimu kua na maneno ya akiba maana on a good day we are the best..

We gonna try and win the game its final one game the winner takes home the trophy we are ready for the fight.

Uzuri Real wenyewe wanafungika magoli mengi tu tazama mechi ya Chelsea na mechi ya Manchester City amepigika magoli ya kutosha inaonyesha ukuta wao sio imara kama enzi hizo.

YNWA
 
Tupo tayari ndugu waleteeeeeeeeeee.

Hua natoa ushauri sana kuhusu Liverpool ni muhimu kua na maneno ya akiba maana on a good day we are the best..

We gonna try and win the game its final one game the winner takes home the trophy we are ready for the fight.

Uzuri Real wenyewe wanafungika magoli mengi tu tazama mechi ya Chelsea na mechi ya Manchester City amepigika magoli ya kutosha inaonyesha ukuta wao sio imara kama enzi hizo.

YNWA
Nasikia Real Madrid wanampango wa kumkodisha Ramos kutoka PSG hiyo May 28, hapo vipi, Salah atacheza hatacheza?
 
Nasikia Real Madrid wanampango wa kumkodisha Ramos kutoka PSG hiyo May 28, hapo vipi, Salah atacheza hatacheza?
Kiongoz Salah siku hizi asipofunga wapo vijana watafumania nyavu. Kila kipind RM alituotea kwasababu tulikuwa hatuna wachezaji wa msingi benchi na mashambuoizi yalikuwa yanamtegemea zaid Salah.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom