Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Binafsi final ya Uefa naiona ni 50/50, Real madrid hawakuwa favourite toka mwanzo ila wameonesha utofauti ni wababe wa ulaya, watu wa Liverpool mjiandae kwa matokeo yoyote, ukiangalia Liverpool & City ni timu zilizo kwenye daraja moja kwa ubora, utofauti City wanahitaji perfection zaidi kwenye system kuliko Liverpool. Real Madrid kupoteza final ya Uefa itahitaji Liverpool kuwa na ubora mkubwa zaidi.
 
Nyie liverkuku mna ubora gani mzee mbona mnajiona kama exceptional Sana ,mna Nini nyie

Huna lolote kaa pembeni ,huo upepo si uwachukue na nyie Sasa ,mna cheza Europa na kina villareal ,benefica mnajiona et mnaweza fala Nini ile ndio uefa kama hujui ....na tumetoka semi final ya uefa sio hizo janja janja za Europa league Villarreal ,Jana dunia nzima ilikuwa inamtazama ze cityzen tumetolewa kibabe sawa lakin mpira wetu unaonekana usijfanye wewe sijui unakikosi boraaa mnapita pita njia za panya mnajiona vidume ,aiseee
I can feel your pain mr pain killer.
 
Adjustments.jpg
 
Nyie liverkuku mna ubora gani mzee mbona mnajiona kama exceptional Sana ,mna Nini nyie

Huna lolote kaa pembeni ,huo upepo si uwachukue na nyie Sasa ,mna cheza Europa na kina villareal ,benefica mnajiona et mnaweza fala Nini ile ndio uefa kama hujui ....na tumetoka semi final ya uefa sio hizo janja janja za Europa league Villarreal ,Jana dunia nzima ilikuwa inamtazama ze cityzen tumetolewa kibabe sawa lakin mpira wetu unaonekana usijfanye wewe sijui unakikosi boraaa mnapita pita njia za panya mnajiona vidume ,aiseee
Njia za panya kivipi? Wewe ungepangiwa na Bayern angekuwa kakutoa zamaaani lakini huyo Villarreal unae msema ni europa kamtoa bayern alafu unasema tumepita kwa janja janja hamna lolote nyie.
 
Nyie liverkuku mna ubora gani mzee mbona mnajiona kama exceptional Sana ,mna Nini nyie

Huna lolote kaa pembeni ,huo upepo si uwachukue na nyie Sasa ,mna cheza Europa na kina villareal ,benefica mnajiona et mnaweza fala Nini ile ndio uefa kama hujui ....na tumetoka semi final ya uefa sio hizo janja janja za Europa league Villarreal ,Jana dunia nzima ilikuwa inamtazama ze cityzen tumetolewa kibabe sawa lakin mpira wetu unaonekana usijfanye wewe sijui unakikosi boraaa mnapita pita njia za panya mnajiona vidume ,aiseee
Yani unaonyesha kabisa kichwa kimebeba boga, kazi ya wanaume wavulana hawawezi.YNWA
 
Nyie liverkuku mna ubora gani mzee mbona mnajiona kama exceptional Sana ,mna Nini nyie

Huna lolote kaa pembeni ,huo upepo si uwachukue na nyie Sasa ,mna cheza Europa na kina villareal ,benefica mnajiona et mnaweza fala Nini ile ndio uefa kama hujui ....na tumetoka semi final ya uefa sio hizo janja janja za Europa league Villarreal ,Jana dunia nzima ilikuwa inamtazama ze cityzen tumetolewa kibabe sawa lakin mpira wetu unaonekana usijfanye wewe sijui unakikosi boraaa mnapita pita njia za panya mnajiona vidume ,aiseee
Kwahiyo unajifariji kuwa Liverpool amepitia njia rahisi kufika fainali?Hivi umejishahaulisha kuwa Villarreal alimtoa Bayern Munich ambaye huwa kwako Ni mbabe na pia hujui kwamba Liverpool amefika fainali FA kwa kumtoa Man City?kwa maana hiyo Ni sawa na kusema kwamba Kama Liverpool huwa anapangiwa nusu fainali timu nyepesi Basi City na Villarreal zote Ni timu nyepesi maana zote zimetolewa na Liverpool kwenye nusu fainali mbili tofauti au ulidhani refa wa Jana angekuwa Ni Yule aliyechezesha mechi yenu ya epl na Everton
 
Nyie liverkuku mna ubora gani mzee mbona mnajiona kama exceptional Sana ,mna Nini nyie

Huna lolote kaa pembeni ,huo upepo si uwachukue na nyie Sasa ,mna cheza Europa na kina villareal ,benefica mnajiona et mnaweza fala Nini ile ndio uefa kama hujui ....na tumetoka semi final ya uefa sio hizo janja janja za Europa league Villarreal ,Jana dunia nzima ilikuwa inamtazama ze cityzen tumetolewa kibabe sawa lakin mpira wetu unaonekana usijfanye wewe sijui unakikosi boraaa mnapita pita njia za panya mnajiona vidume ,aiseee

Haya pia ni maajabu ya Dunia! Umeweka emoji za Kucheka wakati umeandika huku unalia kwa kukumbuka maumizi aliyokupatia Sheikh Mufti Al-Haji Ustaadh Karim Ibn Benema.

Anyway! Kucheza na Vellareal unaimba kama kwamba ni Kosa la Liverpool wakati hatukuwatuma Juventus na Bayern Munich wapoteze dhidi ya Villarreal.


Pole sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom