Mondela
JF-Expert Member
- Aug 20, 2021
- 2,567
- 3,793
TETESI ZA USAJILI BARANI ULAYA
[emoji599]Orodha fupi ya washambuliaji wanaohitajika na Klabu ya Arsenal msimu huu wa joto.
Lautaro Martinez -- Inter Milan
Gabriel Jesus __ Manchester city
Dominic Calvert-Lewin-- Everton
[emoji117]Arsenal wanatarajiwa kuwasaini washambuliaji wawili
[emoji117]Inter Milan wao wanataka kitita kati ya euro million €70 na €80 kwa Lautaro Martinez.
Chanzo: Times)
[emoji599]Everton itakuwa tayari kukubali dau la pound million £50 kwa timu inayotaka saini ya mshambuliaji wake Richarlison raia wa Brazil.
Kwa mjibu wa Football Insider)
[emoji599]Kiungo wa kati wa Ureno Ruben Nerves anatarajiwa kuondoka Wolves msimu huu wa joto, kipaumbele Cha kiungo huyo ni kujiunga na Klabu ya Barcelona.
Arsenal na Manchester United pia wanahutaji Saini yake.
Chanzo: Sport)
[emoji599]Tottenham Hotspur wameonyesha Nia ya kutaka kumsajili beki wa Klabu ya RB Leipzig Josko Gvardiol na beki wa kati wa Klabu ya Inter Milan Alessandro Bastoni.
Kwa mjibu wa Athletic)
[emoji599]Kiungo wa klabu ya RB Leipzig Konrad Laimer yupo kwenye rada za Bayern Munich, Liverpool, na Tottenham Hotspur.
Kwa mjibu wa Kicker)
[emoji599]Klabu ya Norwich City inatarajia beki wake wa kulia Max Aarons ataondoka klabuni hapo msimu huu wa joto mara baada ya klabu hiyo kushuka daraja.
Chanzo: Telegraph)
[emoji599]Cesar Azpilicueta na Marcos Alonso wote wanataka kujiunga na Klabu ya Barcelona msimu huu wa joto.
Chanzo: Mundo Deportivo)
[emoji599]Klabu ya Napoli imewaambia Arsenal kuwa itawagharimu taklibani pound million £100 Ili kupata Saini ya mshambuliaji Victor Osimhen msimu wa joto.
Chanzo: Sun Sport)
[emoji599]Ludovic Giuly anaongoza katika mbio za kuwa kocha wa klabu ya Barcelona B dhidi ya Javier Mascherano na Antonio Hidalgo.
Chanzo: Sport)
[emoji599]Manchester United imempa ofa Ousmane Dembele ya mshahara kati ya euro million €10 na 15 Ili kujiunga nao kwa uhamisho huru msimu huu wa joto.
PSG wao wamempa ofa ya mshahara wa euro million €17 kwa mwaka.
Chanzo: Dario Montero G)
[emoji599]Mkataba mpya wa kocha wa Liverpool Jurgen Klopp hautajumuisha ongezeko la mshahara lakini alihakikisha wasaidizi wake wanaongezwa.
Chanzo: David Oenstein)
[emoji599]Klabu ya Bayern Munich haitamuuza mshambuliaji wa Robert Lewandowski msimu huu wa joto na tayari wamemwambia mchezaji na wakala wake kuhusu uamuzi wao.
Chanzo: DiMarzio)
[emoji599]Romelu Lukaku anatarajiwa kukataa nafasi yeyote kutoka AC Milan msimu huu wa joto kutokana na uhusiano wake na Inter Milan
Chanzo: Evening Standard)
[emoji599]Orodha fupi ya washambuliaji wanaohitajika na Klabu ya Arsenal msimu huu wa joto.
Lautaro Martinez -- Inter Milan
Gabriel Jesus __ Manchester city
Dominic Calvert-Lewin-- Everton
[emoji117]Arsenal wanatarajiwa kuwasaini washambuliaji wawili
[emoji117]Inter Milan wao wanataka kitita kati ya euro million €70 na €80 kwa Lautaro Martinez.
Chanzo: Times)
[emoji599]Everton itakuwa tayari kukubali dau la pound million £50 kwa timu inayotaka saini ya mshambuliaji wake Richarlison raia wa Brazil.
Kwa mjibu wa Football Insider)
[emoji599]Kiungo wa kati wa Ureno Ruben Nerves anatarajiwa kuondoka Wolves msimu huu wa joto, kipaumbele Cha kiungo huyo ni kujiunga na Klabu ya Barcelona.
Arsenal na Manchester United pia wanahutaji Saini yake.
Chanzo: Sport)
[emoji599]Tottenham Hotspur wameonyesha Nia ya kutaka kumsajili beki wa Klabu ya RB Leipzig Josko Gvardiol na beki wa kati wa Klabu ya Inter Milan Alessandro Bastoni.
Kwa mjibu wa Athletic)
[emoji599]Kiungo wa klabu ya RB Leipzig Konrad Laimer yupo kwenye rada za Bayern Munich, Liverpool, na Tottenham Hotspur.
Kwa mjibu wa Kicker)
[emoji599]Klabu ya Norwich City inatarajia beki wake wa kulia Max Aarons ataondoka klabuni hapo msimu huu wa joto mara baada ya klabu hiyo kushuka daraja.
Chanzo: Telegraph)
[emoji599]Cesar Azpilicueta na Marcos Alonso wote wanataka kujiunga na Klabu ya Barcelona msimu huu wa joto.
Chanzo: Mundo Deportivo)
[emoji599]Klabu ya Napoli imewaambia Arsenal kuwa itawagharimu taklibani pound million £100 Ili kupata Saini ya mshambuliaji Victor Osimhen msimu wa joto.
Chanzo: Sun Sport)
[emoji599]Ludovic Giuly anaongoza katika mbio za kuwa kocha wa klabu ya Barcelona B dhidi ya Javier Mascherano na Antonio Hidalgo.
Chanzo: Sport)
[emoji599]Manchester United imempa ofa Ousmane Dembele ya mshahara kati ya euro million €10 na 15 Ili kujiunga nao kwa uhamisho huru msimu huu wa joto.
PSG wao wamempa ofa ya mshahara wa euro million €17 kwa mwaka.
Chanzo: Dario Montero G)
[emoji599]Mkataba mpya wa kocha wa Liverpool Jurgen Klopp hautajumuisha ongezeko la mshahara lakini alihakikisha wasaidizi wake wanaongezwa.
Chanzo: David Oenstein)
[emoji599]Klabu ya Bayern Munich haitamuuza mshambuliaji wa Robert Lewandowski msimu huu wa joto na tayari wamemwambia mchezaji na wakala wake kuhusu uamuzi wao.
Chanzo: DiMarzio)
[emoji599]Romelu Lukaku anatarajiwa kukataa nafasi yeyote kutoka AC Milan msimu huu wa joto kutokana na uhusiano wake na Inter Milan
Chanzo: Evening Standard)