Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
View attachment 2211259
Game zote ambazo mane kafunga salah either kafunga au ka assist sasa anakuwaje kapotea?
Huyu mwamba usikutane nae sasa yaaani ni balaa mnooo akishalinusa kombe anachowaza ni kufunga.
Asante Mane pindi Salah kapotea UCL yeye anafanya mambo yake kimya.
YNWA
Kwa hiyo alikua anaombea timu yake ifungwe 😂😂Ni majeruhi yupo Villarreal.
YNWA
View attachment 2211264
Double impact, boy is on fire....... yaaani mabeki mbona hata hawaelewi wamkabe vipi maana mbio anazo, chenga kifundi ndio usiseme yaaani hapa tuna jembe la kazi si utani.
YNWA
Mkuu kuna watu wanahisi maoni yao ndio hali halisi. Ilivyotolewa list ya wachezaji kabla game kuanza nikatoa maoni yangu ni bora angeanza diaz badala ya jota na nikasema Diaz ni msumbufu balaa kuna mtu akanijibu eti hatutaki usumbufu tunataka ushindi sasa sijui alielewa nini nilivyosema msumbufu
Hapa kuna shida sehemu! Mimi naishia hapa.
Jana alikua kote kote Hahaha.Kwa hiyo alikua anaombea timu yake ifungwe 😂😂
Hanaga noma yule dogo hana muda wa kupoteza ujue.Akianguka anaamka haraka