Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Mkuu washa panic aisee Klopp ana kazi ngumu sana kuwatuliza kwanza na gemu plan mpya maana ya kipindi cha kwanza imefeli kabisaaa.Liverpunga tulieni game bado
Hizi klabu za Spain wanajua sana kucheza na refa yaani wakigiswa kidogo tu chini na uwanja leo umeteleza balaa hivyo hata long pass ni ishu..
Ngoja tuone 2nd half who will blink 1st.
YNWA



