Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Kabisaaa Klopp sasa aseme mwenyewe anahitaji vijana wake wabakie Anfield ama wasepe hapa sasa atasikilizwa tu.
YNWA
Dah..! Umewaza kama mimi bro!Kama naanza Kujenga Imani na Pep Lijnders kumrithi Klopp after his time at Liverpool is over.

Kusema ukweli yule jamaa anajua sana, naamini chini ya Klopp angekuwa bora sana kama tunavyovuna matunda ya Thiago Alcantara kwasasa..Master pass Hahaha.
Pale kweli walituokoa sanaaaaaaa na si kindogo.
YNWA
KING SALAH ALREADY BAGGING PERSONAL ACCOLADES
View attachment 2205240
Yaaani msimu haujaisha na Salah kashanyakua TUZO ya mchezaji bora wa waandishi wa habari za michezo.
YNWA
Nimemaanisha katika makundi aliyoyaweka,wakuondoka amuondoe milner amuweke Firmino.Umetisha mkuu,yaani Milner abaki,firmino aondoke, noma sana. Halafu ox abaki?
Bobby ni mzembe sana uwanjani,hayupo makini, anapoteza mipira hovyo na hawezi kupambania mipira.Gomez ni mzuri ila nafasi imekuwa finyu kwake,ni bora kutolewa aidha kwa mkopo kwa ajili ya kupata nafasi na kuboresha kiwango chake.Nampenda Bobby ila naona tumuachie, keita abaki hata kwa mkataba wa 2 yr, Gomez still anamuda wa kurudi kwenye kiwango chake, milner hata leo aondoke tunashukuru kwa kazi yake.
Kuna uwezekano Mane nae akapata yake huku Allison akinyakua kipa bora wa msimu.Them accolades
Hakika chini ya Klopp hakuna anaeshidikana kung'aa kabisa.Kusema ukweli yule jamaa anajua sana, naamini chini ya Klopp angekuwa bora sana kama tunavyovuna matunda ya Thiago Alcantara kwasasa..
Sent from my SM-N960U using JamiiForums mobile app
Sheria ya goli la ugenini ilikwisha ondolewa.Hapana, hakuna goli la ugenini kwasasa. Ili madrid apite inabidi ashinde mbili bila