Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Aisee kwa hio Steve G ndio apambane na Villa yake kwa sasa.

Huyo mwamba aodoke tu 2030 au mnaona aje yaaani akitoka Liverpool ni kustaafu hakuna kingine.

YNWA
david ornstein anasema mkataba mpya wa klopp utaishia 2026 kwa maana utakuwa ni ongezeko la miaka 2. huyu fala david ornstein akikwambia demu wako anachepuka na daemushin wewe unachopaswa kufanya ni kumuamini.
 
Adjustments.jpg
 
david ornstein anasema mkataba mpya wa klopp utaishia 2026 kwa maana utakuwa ni ongezeko la miaka 2. huyu fala david ornstein akikwambia demu wako anachepuka na daemushin wewe unachopaswa kufanya ni kumuamini.
😂 😂 😂 😂 😂 Ina maana pengine kutokana na performance kadhaa basi mkataba wake unaji renew wenyewe miaka miwili, yaaani huyu Norbert atulie mpaka 2030 mie nina amani kabisa.

Tetesi ni kwamba wenye timu yao wamepata somo kutompa Salah mkataba mapema hivyo hawataki kwa Klopp wakwame ndio maana wameanza mazungumzo mapema hivi pazuri ni kwamba wakala wa Klopp alikuwepo mechi ya jana pale Anfield na pia boss wake Klopp Gordon anaedili na haya mambo alikuwepo kutazama mechi ya jana hivyo ngoja tuone ataongeza mingapi.

Liverpool is made for Klopp and Klopp definitely is for Liverpool.. Quite a match.

YNWA
 
Steve G ni Bora aje akae Chini ya Klopp awe Assistant wake kwa Misimu 4 mpaka 5 ndiyo akabidhiwe Timu.

Hapo tayari atakuwa amejifunza mengi kutoka kwa Klopp kama Arteta alivyojifunza kutoka kwa Pep.
Mkuu hilo niliwai kujiuliza kama vile njia pekee ya kupata uhakika wa ku mridhi Klopp pale Liverpool ingekua powa akiwa msaidizi wa Klopp hata kwa misimu 3 au 4 hivi atakua kashaiva vya kutosha kuvaa viatu vya Klopp otherwise kule Aston Villa atasubiri sana aisee.

Muda utasema aisee otherwise kwa hawa FSG hawapo kabisa kumfurahisha mtu yeyote wapo kikazi zaidi na kwa sasa Klopp anawaingizia pesa nyingi sana huku brand ya Liverpool ikizidi kukua kila siku hivyo Klopp labda aseme yeye amechoka lakini kama bado ana njaa ana nguvu ya kufanya kazi basi huyu tunae.

YNWA
 

Mkuu hilo niliwai kujiuliza kama vile njia pekee ya kupata uhakika wa ku mridhi Klopp pale Liverpool ingekua powa akiwa msaidizi wa Klopp hata kwa misimu 3 au 4 hivi atakua kashaiva vya kutosha kuvaa viatu vya Klopp otherwise kule Aston Villa atasubiri sana aisee.

Muda utasema aisee otherwise kwa hawa FSG hawapo kabisa kumfurahisha mtu yeyote wapo kikazi zaidi na kwa sasa Klopp anawaingizia pesa nyingi sana huku brand ya Liverpool ikizidi kukua kila siku hivyo Klopp labda aseme yeye amechoka lakini kama bado ana njaa ana nguvu ya kufanya kazi basi huyu tunae.

YNWA
Sijajua kwa nini mna imani kubwa na Gerrard kwamba atakuja kuwa kocha bora na mzuri. Uzoefu unaonyesha siyo kucheza kwa kiwango cha juu kutakufanya kuwa kocha bora. Wengi wamefail maeneo hayo. Wachache wamefanikiwa.
Tunapaswa kusign kocho kulingana na wakati. Uingerea haijawahi kutoa kocha mzuri.
 
Sijajua kwa nini mna imani kubwa na Gerrard kwamba atakuja kuwa kocha bora na mzuri. Uzoefu unaonyesha siyo kucheza kwa kiwango cha juu kutakufanya kuwa kocha bora. Wengi wamefail maeneo hayo. Wachache wamefanikiwa.
Tunapaswa kusign kocho kulingana na wakati. Uingerea haijawahi kutoa kocha mzuri.
Nasimama na wewe ndugu yangu ni simpo ni legend best of best lakini ikija suala la Meneja wa Klabu hii pendwa lazima apatikane mwenye maono kama ya Klopp ili kuyaedeleza yale anayofanya sasa ama aliebora zaidi ya Klopp.

Mridhi wa Klopp hatapatikani kirahisi kwani huyu babu ni Meneja, ni rafiki, ni mshauri wa wachezaji yaaani ni kila kitu pale Liverpool hakika ndio maana wale wachezaji wakiingia uwanjani wanafanya kila linalowezekana kumpa heshima yake kwa ushindi.

Pazuri ameongeza hii miwili mpaka 2026 na kwa ishara hii ni kwamba hata sokoni watampa sapoti anayohitaji kujenga kikosi sasa cha kuchukua makombe maana ukitazama vyema kutokana na kua na kikosi cha kueleweka hajashida makombe ya kutosha sasa naona tunaelekea pazuri sana.

YNWA
 
Hee
Sasa kama lake atapewa mkataba huo basi akina Mane wapewe mkataba wa maisha.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂You have made my day.

Mane apate mkataba wa maisha hahaha

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom