Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 8,069
- 15,754
Kakuharibia wapi nakati huwezi kutaja listi ya makocha bora 10 duniani akakosekana MourinhoMourinho ametuharibia sana mpira kwa kupandikiza Mfumo huu wa kupaki Basi

Kakuharibia wapi nakati huwezi kutaja listi ya makocha bora 10 duniani akakosekana MourinhoMourinho ametuharibia sana mpira kwa kupandikiza Mfumo huu wa kupaki Basi

Shukrani mkuuHakika Mtoto halali na na chenchi, Liverpool mlipambana kibingwa hasa![]()
Hahaaa! Matokeo ndio yamekuboaSijui kwanini nimepoteza muda kuangalia game ya kiboya kama hii ...!!!!! Hivi hii kweli ni CL au Europa ,..bored game ..
Sijui kwanini nimepoteza muda kuangalia game ya kiboya kama hii ...!!!!! Hivi hii kweli ni CL au Europa ,..bored game ..
Duuuh leo kipindi cha kwanza tulikua sloppy yaaani pasi nyingi zilipotea mpaka Fabinho hakuanza powa upande wa pasi.Villarreal hawana mpira wakutufunga.game ilikuwa na inter milan pale tulibaatisha lakini hao Villarreal eti silaha yake kubwa kuzuia kupiga pasi mipira wanapoteza balaa hapo kumfunga Liverpool hawawezi Spain anakufa tena.
Villareal wana good game planWalikuwa wanamsifia Villarreal anajua kucheza kawafunga vilabu vikubwa.
Villarreal hana mpira wakutisha hata kidogo maana tulikuwa tunataka tuone Villarreal anamaajabu gani?
Ndio maana umeangalia kumbe kumbe Villarreal hakuna kitu hapo pasi kibao wanapoteza.tukutane fainali.
Nacheka saaaaana HahahahaSijui kwanini nimepoteza muda kuangalia game ya kiboya kama hii ...!!!!! Hivi hii kweli ni CL au Europa ,..bored game ..