Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Adjustments.jpg
 
Jana umeshinda kipindi Cha ngapi mbele ya Everton ?

Mzee usifikili mpira ni kubwabwaja maneno ,hakuna game rahisi kabisa na usifikili makocha hawajui ....hao kina klop & pep maneno wanayoongea dressing room kuwasisitiza wacheza ni hatariiii ....


Jana tu umeona first half 0-0 klop alivokimbia dressing room?

Huko ndani Kuna maneno mazito zaidi hata matumain hewa unayojipa hapa .....


Keep watching Hadi may 22

Man City vs Everton!
FA iliwaomba msamaha Everton kwa kuwanyima penalty ya wazi dakika ya 90.
Au umesahau?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom