Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Manishiti mbona ameshatoka! Jamaa likifunga kagoli kamoja tu kwisha habari yake! Hivi UEFA bado wanahesabu faida ya goli la ugenini?
Hapana, hakuna goli la ugenini kwasasa. Ili madrid apite inabidi ashinde mbili bila
 
Ngumu kumeza wamebana wataachia
Naona Unai alitazama vyema gemu ya Everton huyu si bure maana wametulia tulii kipindi cha kwanza...

Kipindi cha pili naona akifunguka kiasi wasake angalau goli moja...

Gemu kama hii inahitaji mashuti ya nje ya 18 kama anavyopiga Diaz mbona wataachia tu..

Juventus na Bayern ilikua mpango kama huu duuh kweli kinachofanya kazi komaa nacho hivyo hivyo na hapa nimemwelewa Unai vizuri...

Team Talk ya Klopp itabadili huu upepo kwani kashaona wapi tunakwama...

Let's gooooo

YNWA
 
Sisi kama Arsenal tunaitakia Liverpool kila la kheri. Tunaomba Liverpool achkue makombe yote manne msimu huu.

Tunaichukia Manchester United kama timu na imesababisha tuuchukie mji wa Manchester na kila kinachohusiana na mji huo.

#wasagakungunikazini
Ile sumu ya goli 8 alizokugonga siku ile inaweza kuchukua miaka 100 mbele ndio itoke na walau kuanza kupunguza chuki kidogo ya kitu kinachoitwa Manchester.
Wewe kuipenda Manchester ni sawa na binti kigoli kumpenda mwanaume aliembaka kwa nguvu mpaka akumuharibu sehemu zake za Siri.
Katu haitatokea mbakwaji kumpenda aliembaka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom