Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kila nikiangalia vitanda vya wagonjwa na kumuona mgonjwa pekee ni Bobby huwa na

Maana najua namna gani tulikuwa tunasumbuliwa na hilo tatizo, na naamini kwa uzima huu basi Kuna jambo.

Eti siku hizi anatoka chuma anaingia chuma hasa kule mbele, acha tu enjoy bhana

#imaginebeingus
 
Hivi sisi tuna game mkononi?
Screenshot_20220426_213139.jpg


EPL tumebakisha gemu 5 tu na Manchester City nae kabakisha gemu 5.

Tuna gemu ya mbili za Champions League dhidi ya Villarreal. Tunaanza nyumbani kesho na wiki ijayo tunamaliza ugenini Uhispania tukipite pale haooo fainali.

Tuna fainali ya FA cup dhidi ya Chelsea tarehe 14 Mei.

YNWA
 
Leo Ni mechi ya kisasi kwetu Liverpool,Maana Kocha wa Villarreal Unai Emery Alikuwa Sevilla na walitufunga kwenye final ya Europa Ligi.!!
Leo Ni kisasi na natamani Sana game tuimalize Anfield though Villarreal sio team ya kubeza.
 
Tunatakiwa kuwa very clinical mbele ya goli tukipata 4+ bila kuruhusu itakuwa vyedi sana.maana tukifanya hvyo 2nd leg itakuwa nyepesi na tutawekeza nguvu kubwa kwenye EPL
Ni Kama ambavyo tulishinda nyingi v Benfica then ikawa nyepesi ya marudiano.
Ingawa semi final haijawai kuwa nyepesi
 
Tunatakiwa kuwa very clinical mbele ya goli tukipata 4+ bila kuruhusu itakuwa vyedi sana.maana tukifanya hvyo 2nd leg itakuwa nyepesi na tutawekeza nguvu kubwa kwenye EPL
Ni Kama ambavyo tulishinda nyingi v Benfica then ikawa nyepesi ya marudiano.
Ingawa semi final haijawai kuwa nyepesi

Everton na ubovu wake umeshindwa kupata goli 3+ Sasa unataka kupata goli 4 mbele ya solid defence ya Villarreal ilivo compact,, 😅
 
Leo Ni mechi ya kisasi kwetu Liverpool,Maana Kocha wa Villarreal Unai Emery Alikuwa Sevilla na walitufunga kwenye final ya Europa Ligi.!!
Leo Ni kisasi na natamani Sana game tuimalize Anfield though Villarreal sio team ya kubeza.

Liverpool hutoka kwenye Makundi au kwenye 16 Bora, haina Utamaduni wa kutolewa Semi Fainal.

Kikubwa tujipange namna ya kumuadhibu Real Madrid kwenye Fainali.
 
Tunatakiwa kuwa very clinical mbele ya goli tukipata 4+ bila kuruhusu itakuwa vyedi sana.maana tukifanya hvyo 2nd leg itakuwa nyepesi na tutawekeza nguvu kubwa kwenye EPL
Ni Kama ambavyo tulishinda nyingi v Benfica then ikawa nyepesi ya marudiano.
Ingawa semi final haijawai kuwa nyepesi
Osiiie, hii vyedi watu wameilewa kweli?
 
man city angekua na game ngumu weekend ingekua poa sana, maana asingeweza kuweka full mkoko.......
hata hivyo sio vibaya, wametumia nguvu nyingi sana jana, na bado wana mlima kule madrid....
Weekend wanakutana na leeds iliyochangamka lolote laweza kutokea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom